Kauli ya Waziri Mkuu imebeba ujumbe mzito si ya kubeza. Jaribu kufikiri kwa upana

Kauli ya Waziri Mkuu imebeba ujumbe mzito si ya kubeza. Jaribu kufikiri kwa upana

Nimezungumzia vita ya uchumi kwa maana ya mauzo ya chanjo ya korona. Umesahau kuwa uchumi wetu Ni rasilimali zetu,unafikiri mzungu hawazihitaji.KWANINI TUNA GESI ASILIA LAKINI LEO HII HATUYAONI MANUFAA YAKE.Kama umesoma kwa makini.

Kuhusu uhai wa kirusi, sayansi, teknolojia imekua sana hakuna linaloshindikana. Mbona Ni jambo jepesi tu.
Huna unachokijua zaidi ya kuwa kipaza sauti cha hao unaowasujudia!
 
Bosi wake leo kasema nchi wanaovaa barakoa ndio wanakufa zaidi kwa corona, sasa nchi waliokufa zaidi ni boss wa mabeberu, USA, yeye sijui anatumiwa corona kwenye barakoa na nani?
Kwani tanzania tuna takwimu kamili, hata hivo USA kuna watu million 600 ulitaka wafe wangapi?
 
Mtoa mada

Tufanye hisia zako na za wakuu wetu ni sawa, sasa nikuswalike

1. Ni nchi gani hiyo inayotumia COVID-19 kama biashara?.

2. Je hizo barakoa zote zinazoingia nchini zinatoka kwenye nchi hiyo tu?

3. Na hizo chanjo pia zote zinatoka Huko?.

4. China ni marafiki zetu tangu uhuru, je na wao barakoa zao na chanjo zao nazo zina lengo la kutudhuru.

Mimi nipo na msemo wa JK wa akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Huna unachokijua zaidi ya kuwa kipaza sauti cha hao unaowasujudia!
Wewe umeandika nini Cha maana. Acha wenye akili na uwezo watoe mawazo positive.Hizi si hoja za wavulana km wewe. Nenda jukwaa la utanashati utakuta wavulana wenzio humo.
 
UPUUZI MTUPU! Kuna nchi gani duniani imetoa kauli ya kipuuzi kama hii?
Waziri Mkuu ametilia shaka barakoa kutoka nje kuwa tujishonee wenyewe. Kuna watu wanabeza hii kauli, Kuna wanaodhihaki hata kutoa kauli chafu, kuna wanaotetea hii kauli kwasababu tu imetolewa na mwenzetu ktk serikali au chama. Kuna wanaoongea kwa hofu kwanini PM atoe kauli hii.

Kuna wanaofikiri nje box ambao Ni wachache na mimi ni mmoja wao.

Mosi, Watu wanahoji TBS kazi yao Ni nini km Waziri Mkuu anatoa kauli ya mashaka kama hii. Waziri mkuu anajua uwezo wa TBS katika kupima na kujiridhisha ubora wa bidhaa km hii. Hapa kuna mambo mawili ambayo mashaka ya Waziri Mkuu hayajagusia:
a. Je, Ni barakoa SALAMA lakini tatizo tu hazina ubora kwa maana hazina uwezo wa kuzuia kirusi kupenya.
b. Ni barakoa zenye UBORA lakini tayari zina maambukizi na si salama kwa matumizi.
Haya ndiyo ambayo unaweza kuyafikiria na kujiuliza Je, TBS wana uwezo wa kudhibiti yote mawili? Ubora na Usalama.

Pili, simsemei Waziri Mkuu, lakini fikra zangu zinanielekeza kuona kwamba hii ni kauli ya tahadhari kwasababu msimamo wa serikali yetu kimataifa unaeleweka juu ya suala la korona. Ni msimamo ambao si kuwafurahisha. Korona ni suala lenye malengo ya kiuchumi ndani yake, lengo ambalo Tanzania tunalikwamisha. Kwahiyo wanaweza kutumia njia ya kuingiza barakoa zisizo salama ili maambukizo yawe juu, vifo viwe vingi ili kuonyesha dunia kuwa tumefeli, na hivyo kwenda kusujudu kwao na kupokea chanjo ambayo pengine nayo si Salama.

Wametengeneza tatizo na wao ndiyo wanaokuja na suluhisho. Suluhisho Ni chanjo ambayo itawaingizia matrilioni ya shilingi, na pengine chanjo yenyewe si salama., Tukajikuta tunanunua mauti yetu kwa pesa zetu.

Tatu, Waziri Mkuu Ni mtu nwenye access ya habari nyeti za ndani na nje ya nchi, hivyo yuko informed vya kutosha kuhusu kinachoendelea hata kwa nchi majirani. Si nchi zote jirani zinakubaliana na msimamo wa serikali yetu. Wanaweza kutumika pia.

Chakula ulichopika mwenyewe nyumbani Ni salama kuliko cha hotelini au mghahawani.

Wakati mwingine kuna kauli zinatolewa na serikali Ni kwasababu ya tahadhari na nia njema. Kwa hali km hii Ni vyema tukadoubt kila kitu juu ya korona na tukachukua tahadhari.

Ushauri: Serikali inapaswa kutoka hadharani na kutangaza hadharani korona ipo na inauwa.Inatamkwa tu kuchukua tahadhari bila kukiri uwepo wake.

Kuna mwananchi kila kitu lazima asikie serikali inasema ndiyo anaona ni jambo siriazi.

Serikali ina plani gani baada pengine hii ya kujifukiza na tiba asili kufeli. Imejipanga kiasi gani?

Watanzania tuchukue tahadhari, tuache mzaha, si lazima kila kitu uambiwe na serikali.
 
Mtoa mada

Tufanye hisia zako na za wakuu wetu ni sawa, sasa nikuswalike

1. Ni nchi gani hiyo inayotumia COVID-19 kama biashara?.

2. Je hizo barakoa zote zinazoingia nchini zinatoka kwenye nchi hiyo tu?

3. Na hizo chanjo pia zote zinatoka Huko?.

4. China ni marafiki zetu tangu uhuru, je na wao barakoa zao na chanjo zao nazo zina lengo la kutudhuru.

Mimi nipo na msemo wa JK wa akili za kuambiwa changanya na zako.
Kwa akili yako wewe unafikiri chanjo zinatolewa bure?

Pili,wewe unadhani hii mipango ya kutuangamiza siyo collective?

Kwa akili zako wewe kabisa unafikiri na unathubutu kusema mchina ni rafiki yako. Kuna bebari rafiki na maskini. Akikupa 5 lazima anajua atachukua 10.Jaribu kuwaza tofauti. Jielimishe pia jinsi uchumi wa kibepari ulivyo na zaidi Ni nini China anataka kwa ulimwengu wa leo.
 
Waziri Mkuu ametilia shaka barakoa kutoka nje kuwa tujishonee wenyewe. Kuna watu wanabeza hii kauli, Kuna wanaodhihaki hata kutoa kauli chafu, kuna wanaotetea hii kauli kwasababu tu imetolewa na mwenzetu ktk serikali au chama. Kuna wanaoongea kwa hofu kwanini PM atoe kauli hii.

Kuna wanaofikiri nje box ambao Ni wachache na mimi ni mmoja wao.

Mosi, Watu wanahoji TBS kazi yao Ni nini km Waziri Mkuu anatoa kauli ya mashaka kama hii. Waziri mkuu anajua uwezo wa TBS katika kupima na kujiridhisha ubora wa bidhaa km hii. Hapa kuna mambo mawili ambayo mashaka ya Waziri Mkuu hayajagusia:
a. Je, Ni barakoa SALAMA lakini tatizo tu hazina ubora kwa maana hazina uwezo wa kuzuia kirusi kupenya.
b. Ni barakoa zenye UBORA lakini tayari zina maambukizi na si salama kwa matumizi.
Haya ndiyo ambayo unaweza kuyafikiria na kujiuliza Je, TBS wana uwezo wa kudhibiti yote mawili? Ubora na Usalama.

Pili, simsemei Waziri Mkuu, lakini fikra zangu zinanielekeza kuona kwamba hii ni kauli ya tahadhari kwasababu msimamo wa serikali yetu kimataifa unaeleweka juu ya suala la korona. Ni msimamo ambao si kuwafurahisha. Korona ni suala lenye malengo ya kiuchumi ndani yake, lengo ambalo Tanzania tunalikwamisha. Kwahiyo wanaweza kutumia njia ya kuingiza barakoa zisizo salama ili maambukizo yawe juu, vifo viwe vingi ili kuonyesha dunia kuwa tumefeli, na hivyo kwenda kusujudu kwao na kupokea chanjo ambayo pengine nayo si Salama.

Wametengeneza tatizo na wao ndiyo wanaokuja na suluhisho. Suluhisho Ni chanjo ambayo itawaingizia matrilioni ya shilingi, na pengine chanjo yenyewe si salama., Tukajikuta tunanunua mauti yetu kwa pesa zetu.

Tatu, Waziri Mkuu Ni mtu nwenye access ya habari nyeti za ndani na nje ya nchi, hivyo yuko informed vya kutosha kuhusu kinachoendelea hata kwa nchi majirani. Si nchi zote jirani zinakubaliana na msimamo wa serikali yetu. Wanaweza kutumika pia.

Chakula ulichopika mwenyewe nyumbani Ni salama kuliko cha hotelini au mghahawani.

Wakati mwingine kuna kauli zinatolewa na serikali Ni kwasababu ya tahadhari na nia njema. Kwa hali km hii Ni vyema tukadoubt kila kitu juu ya korona na tukachukua tahadhari.

Ushauri: Serikali inapaswa kutoka hadharani na kutangaza hadharani korona ipo na inauwa.Inatamkwa tu kuchukua tahadhari bila kukiri uwepo wake.

Kuna mwananchi kila kitu lazima asikie serikali inasema ndiyo anaona ni jambo siriazi.

Serikali ina plani gani baada pengine hii ya kujifukiza na tiba asili kufeli. Imejipanga kiasi gani?

Watanzania tuchukue tahadhari, tuache mzaha, si lazima kila kitu uambiwe na serikali.
Watanzania tunakoelekea siko. Tumefika mahali pa kushuku vibaya kila kitu kitokacho nje. Watu wanaoitwa mabeberu kwetu ni wabaya kiasi kwamba hakuna jema wanaloweza kufanya. Mimi nakubaliana na wazo kuwa mabeberu ambao nadhani kwa kingereza ni imperialists nia yao ni kutunyonya. Lakini ili watunyonye wanahitaji tuwe hai na ikiwezekana wenye afya. Kama vile wamiliki wa watumwa enzi hizo walikuwa wanawalisha watumwa na kuwapa tiba ili waweze kuzalisha kwa ufanisi. Wangetaka kutuua wangefanya hivyo siku nyingi kupitia chanjo mbalimbali na misaada mingine ya afya kama vile vidonge vya ukimwi tunavyopata. Kwa kweli kama wangetaka tuteketee hata vidonge vya kupunguza makali ya ukimwi wasingetupa. Inashangaza kuwa msaada wa HIV tunaona ni sawa lakini linapokuja suala la Covid 19 tunatoa hoja kuwa wanataka kutuua. Miaka karibia 20 baada ya Uhuru tunatakiwa tuwe tunatoa maamuzi ya kisayansi badala ya hisia na imani. Tumefika mahali tumakuwa paranoid na kuhisi hujuma kwa kila jambo hata kama jambo lenyewe ni kwa maslahi mapana ya nchi na watu wetu.
 
Mtoa mada

Tufanye hisia zako na za wakuu wetu ni sawa, sasa nikuswalike

1. Ni nchi gani hiyo inayotumia COVID-19 kama biashara?.

2. Je hizo barakoa zote zinazoingia nchini zinatoka kwenye nchi hiyo tu?

3. Na hizo chanjo pia zote zinatoka Huko?.

4. China ni marafiki zetu tangu uhuru, je na wao barakoa zao na chanjo zao nazo zina lengo la kutudhuru.

Mimi nipo na msemo wa JK wa akili za kuambiwa changanya na zako.
na barakoa zote zinatoka china.
 
Watanzania tunakoelekea siko. Tumefika mahali pa kushuku vibaya kila kitu kitokacho nje. Watu wanaoitwa mabeberu kwetu ni wabaya kiasi kwamba hakuna jema wanaloweza kufanya. Mimi nakubaliana na wazo kuwa mabeberu ambao nadhani kwa kingereza ni imperialists nia yao ni kutunyonya. Lakini ili watunyonye wanahitaji tuwe hai na ikiwezekana wenye afya. Kama vile wamiliki wa watumwa enzi hizo walikuwa wanawalisha watumwa na kuwapa tiba ili waweze kuzalisha kwa ufanisi. Wangetaka kutuua wangefanya hivyo siku nyingi kupitia chanjo mbalimbali na misaada mingine ya afya kama vile vidonge vya ukimwi tunavyopata. Kwa kweli kama wangetaka tuteketee hata vidonge vya kupunguza makali ya ukimwi wasingetupa. Inashangaza kuwa msaada wa HIV tunaona ni sawa lakini linapokuja suala la Covid 19 tunatoa hoja kuwa wanataka kutuua. Miaka karibia 20 baada ya Uhuru tunatakiwa tuwe tunatoa maamuzi ya kisayansi badala ya hisia na imani. Tumefika mahali tumakuwa paranoid na kuhisi hujuma kwa kila jambo hata kama jambo lenyewe ni kwa maslahi mapana ya nchi na watu wetu.
sio watanzania, hizo ni akili za magufuri, siasa pekee anazojua ni zile za enzi za kudai uhuru na wakati wa vita baridi mambo ambayo yako nyuma sana ya muda wa sasa.
 
Ni vichaa wasiokuwa na akili wanabeza kauli za viongozi wa serikali. Kuna muda watu China walikusanya barakoa zenye maambukizi wakazileta Afrika, ila mijinga eti inabeza, eti inafurahia serikali ifunge kila kitu,
 
UPUUZI MTUPU! Kuna nchi gani duniani imetoa kauli ya kipuuzi kama hii?
Kwa hiyo viongozi wetu wanatakiwa kufuata kile wanachofanya au kuongea wengine.

Kama hakuna nyingine basi ipo moja nayo ni Tanzania.

Kwahiyo sisi km Watanzania hatuna tujualo lazima litoke nje.

Mtazamo wa mtu mjinga sana huu.Kauli ya kujidharau,kauli ya mtu asiyejiamini anayeamini kila kitu lazima aambiwe au asikie kwa wengine ndiyo adandie.Ingekua Ni Muingereza au Mmarekani hapo sawa na sisi tinatakiwa kufuata.

Hawa ndiyo Watanzania.
 
Labda ,Kuna kitu najiuliza Sana,pengine kuna kitu hata Rais hataki kukisema wazi.JPM ana discourage kila mtu aliyevaa barakoa kunani?

Leo akiwa kanisani amekiri korona ipo tuchukue tahadhari.Lakini hapo hapo anawabeza masister wawili waliovaa barakoa na kumsifu yule ambaye hajavaa.

Nahisi kuna jambo la ziada zaidi ya ubora, usalama na imani ambalo rais analijua. Yeye anasisitiza imani kumtegemea Mungu tu lkn mengine yote anayaignore.

Sijui km kuna mtu anawaza km mimi.

Herd immunity
 
Ondoa upumbavu wako wewe! Watanzania kama wewe ni hasara kubwa kwa Taifa.
Kwa hiyo viongozi wetu wanatakiwa kufuata kile wanachofanya au kuongea wengine.

Kama hakuna nyingine basi ipo moja nayo ni Tanzania.

Kwahiyo sisi km Watanzania hatuna tujualo lazima litoke nje.

Mtazamo wa mtu mjinga sana huu.Kauli ya kujidharau,kauli ya mtu asiyejiamini anayeamini kila kitu lazima aambiwe au asikie kwa wengine ndiyo adandie.Ingekua Ni Muingereza au Mmarekani hapo sawa na sisi tinatakiwa kufuata.

Hawa ndiyo Watanzania.
 
Back
Top Bottom