Kauli ya Waziri Mkuu imebeba ujumbe mzito si ya kubeza. Jaribu kufikiri kwa upana

Kauli ya Waziri Mkuu imebeba ujumbe mzito si ya kubeza. Jaribu kufikiri kwa upana

Watanzania tunakoelekea siko. Tumefika mahali pa kushuku vibaya kila kitu kitokacho nje. Watu wanaoitwa mabeberu kwetu ni wabaya kiasi kwamba hakuna jema wanaloweza kufanya. Mimi nakubaliana na wazo kuwa mabeberu ambao nadhani kwa kingereza ni imperialists nia yao ni kutunyonya. Lakini ili watunyonye wanahitaji tuwe hai na ikiwezekana wenye afya. Kama vile wamiliki wa watumwa enzi hizo walikuwa wanawalisha watumwa na kuwapa tiba ili waweze kuzalisha kwa ufanisi. Wangetaka kutuua wangefanya hivyo siku nyingi kupitia chanjo mbalimbali na misaada mingine ya afya kama vile vidonge vya ukimwi tunavyopata. Kwa kweli kama wangetaka tuteketee hata vidonge vya kupunguza makali ya ukimwi wasingetupa. Inashangaza kuwa msaada wa HIV tunaona ni sawa lakini linapokuja suala la Covid 19 tunatoa hoja kuwa wanataka kutuua. Miaka karibia 20 baada ya Uhuru tunatakiwa tuwe tunatoa maamuzi ya kisayansi badala ya hisia na imani. Tumefika mahali tumakuwa paranoid na kuhisi hujuma kwa kila jambo hata kama jambo lenyewe ni kwa maslahi mapana ya nchi na watu wetu.
Hili la kushuku limepata nguvu kutokana na msimamo wa nchi yetu kuhusu korona.Kila mtu kila nchi kila shirika wema kwa wabaya wanaitolea Tz macho.

Ni km tuko kwenye target ya kufanyiwa chochote.
 
Nimezungumzia vita ya uchumi kwa maana ya mauzo ya chanjo ya korona. Umesahau kuwa uchumi wetu Ni rasilimali zetu,unafikiri mzungu hawazihitaji.KWANINI TUNA GESI ASILIA LAKINI LEO HII HATUYAONI MANUFAA YAKE.Kama umesoma kwa makini.

Kuhusu uhai wa kirusi, sayansi, teknolojia imekua sana hakuna linaloshindikana. Mbona Ni jambo jepesi tu.

Conspiracy theorist, wewe na wenzio ni watu hatari sana!! Hupaswi tu kusema “barakoa zina virusi” halafu ukaishia hapo. Sasa hivi una taarifa za corona na madhila yake, ni kwa sababu kuna watu wasiokuwa wewe walifanya utafiti. Nini utafiti wako kuwa barakoa hizi zina virusi??

Unajenga tabia ya kulaumu wengine kwa madhaifu yako mwenyewe. Usizime taa ya umeme ili mshumaa wako usemwe una mwanga mkubwa zaidi! Hakuna mnalojua zaidi ya kusema kuna vita ya kiuchumi, tunaonewa wivu nk??? Unaweza kusema hata kitu kimoja ambacho nchi za wengine wamekopi kwetu??
 
Conspiracy theorist, wewe na wenzio ni watu hatari sana!! Hupaswi tu kusema “barakoa zina virusi” halafu ukaishia hapo. Sasa hivi una taarifa za corona na madhila yake, ni kwa sababu kuna watu wasiokuwa wewe walifanya utafiti. Nini utafiti wako kuwa barakoa hizi zina virusi??

Unajenga tabia ya kulaumu wengine kwa madhaifu yako mwenyewe. Usizime taa ya umeme ili mshumaa wako usemwe una mwanga mkubwa zaidi! Hakuna mnalojua zaidi ya kusema kuna vita ya kiuchumi, tunaonewa wivu nk??? Unaweza kusema hata kitu kimoja ambacho nchi za wengine wamekopi kwetu??
Umesoma andiko langu na hukuelewa chochote.Labda ukadome Tena.

Kimsingi hakuna taifa lolote ulimwenguni hapa ambalo haliko ktk vita ya uchumi.Hilo Ni taifa mfu.Labda ili bongo ndogo ziweze kuelewa tutumie neno mapambano ya kiuchumi.

Rasilimali zetu kila mtu anazitaka. Hujiulizi kwanini siku zote Kenya huwa wanajinasibu kuwa Mlima Kilimanjaro uko kwao. Au mbuga ya Serengeti iko Kenya.Unafikiri Ni bahati mbaya.

Hujiulizi kwanini India, Kenya, SA walikuwa wao ndio wenye akiba na wauzaji wakubwa wa Tanzanite duniani ilhali madini hayo yanapatikana Tz pekee.

Ni kwanini Misri hataki Ethiopia wajenge bwawa la kufua umeme ktk mto Nile ilihali mto huo umepita Ethiopia.

Vita ya uchumi Ina maana na uwanja Moana sana. ILA ukiwaza kitanzania utabaki kumuwaza Magufuli tu.
 
Wametengeneza tatizo na wao ndiyo wanaokuja na suluhisho. Suluhisho Ni chanjo ambayo itawaingizia matrilioni ya shilingi, na pengine chanjo yenyewe si salama., Tukajikuta tunanunua mauti yetu kwa pesa zetu.

Tatu, Waziri Mkuu Ni mtu nwenye access ya habari nyeti za ndani na nje ya nchi, hivyo yuko informed vya kutosha kuhusu kinachoendelea hata kwa nchi majirani. Si nchi zote jirani zinakubaliana na msimamo wa serikali yetu. Wanaweza kutumika pia.
Kuna barakoa za light blue zilionekana zimetoka China, nani aliruhusu ziingie na kwanini hakuwajibishwa kama msimamo wetu ni kutumia za kwetu
 
Kuruka ruka kwa maharage ndo kuiva kwake..Mwanzoni hakuna Koonaa..Baadaye kuna watu walichanjwa huko wametuletea Koona...Baadaye kwanza baakoa zina Koonaaa...Mwishoo tutumie baakoa zilizotengenezwa nchini.......Msambaa mimi nasubiri kitachofuataaa😀😀
 
Nyie watu wajinga wajinga, scientifically illiterate, mnafikiri spin za kijinga kila mtu anazikubali.
Kaongee na wakulima Bahi huko.
[/QUOTE
Hapa hamna siasa uchwara hii Ni sayansi.

Unafikiri barakoa haiwezi kuambukizwa na ikaletwa hapa ukavaa na ukaambukizwa.kirusi kikipata host HUWA kinaendelea kuwa hai hata miaka milioni.Ndiyo maana Covid 19 iliundergo mutation kutoka n218 na kubadilika kuwa n480 na kuwa Covid 21.Hiki kirus kinabadilika kila kinapoingia ktk mazingira mapya na kuadopt.
 
Ukivaa barakoa huna imani
Wanakubeza
Unapuuzwa
Kama mh alivyowapa makavu live masister waliovaa barakoa zao UCHWARAView attachment 1708217
Huyu Baba!!!

Watanzania hebu tuwe waelewa malumbano ya nini asemacho bwana huyu hayatatuokoa katika janga hili. JIFIKIRIE wewe mwenyewe, JALI na KULINDA uwapendao. Nimejifunza kitu kwa familia za hawa waliofiliwa na wapendwa wao hususani ambao ni waajiriwa au watumishi........Ikumbukwe tu kuwa pale tu taarifa za kifo chako zinapofika ofisini au kwa mwajiri wako tayari kiti chako kinapewa wa kuki-replace... kama ndio uko nyumba ya serikali barua ya kuitaka familia yako ikabidhi nyumba hiyo inaanza kuandaliwa. Maumivu na mashaka ya maisha ya baadae wanayafeel watu wako wa karibu/familia yako. Sasa wewe kaa kusubiria bwana huyu akupe maelekezo.
 
kauli ya mkuu ina walakin lakini vile vile ukifikwa na wanayopitia wafiwa utapata kuelewa kuchukua hatua ni muhimu
 
Waziri Mkuu ametilia shaka barakoa kutoka nje kuwa tujishonee wenyewe. Kuna watu wanabeza hii kauli, Kuna wanaodhihaki hata kutoa kauli chafu, kuna wanaotetea hii kauli kwasababu tu imetolewa na mwenzetu ktk serikali au chama. Kuna wanaoongea kwa hofu kwanini PM atoe kauli hii.

Kuna wanaofikiri nje box ambao Ni wachache na mimi ni mmoja wao.

Mosi, Watu wanahoji TBS kazi yao Ni nini km Waziri Mkuu anatoa kauli ya mashaka kama hii. Waziri mkuu anajua uwezo wa TBS katika kupima na kujiridhisha ubora wa bidhaa km hii. Hapa kuna mambo mawili ambayo mashaka ya Waziri Mkuu hayajagusia:
a. Je, Ni barakoa SALAMA lakini tatizo tu hazina ubora kwa maana hazina uwezo wa kuzuia kirusi kupenya.
b. Ni barakoa zenye UBORA lakini tayari zina maambukizi na si salama kwa matumizi.
Haya ndiyo ambayo unaweza kuyafikiria na kujiuliza Je, TBS wana uwezo wa kudhibiti yote mawili? Ubora na Usalama.

Pili, simsemei Waziri Mkuu, lakini fikra zangu zinanielekeza kuona kwamba hii ni kauli ya tahadhari kwasababu msimamo wa serikali yetu kimataifa unaeleweka juu ya suala la korona. Ni msimamo ambao si kuwafurahisha. Korona ni suala lenye malengo ya kiuchumi ndani yake, lengo ambalo Tanzania tunalikwamisha. Kwahiyo wanaweza kutumia njia ya kuingiza barakoa zisizo salama ili maambukizo yawe juu, vifo viwe vingi ili kuonyesha dunia kuwa tumefeli, na hivyo kwenda kusujudu kwao na kupokea chanjo ambayo pengine nayo si Salama.

Wametengeneza tatizo na wao ndiyo wanaokuja na suluhisho. Suluhisho Ni chanjo ambayo itawaingizia matrilioni ya shilingi, na pengine chanjo yenyewe si salama., Tukajikuta tunanunua mauti yetu kwa pesa zetu.

Tatu, Waziri Mkuu Ni mtu nwenye access ya habari nyeti za ndani na nje ya nchi, hivyo yuko informed vya kutosha kuhusu kinachoendelea hata kwa nchi majirani. Si nchi zote jirani zinakubaliana na msimamo wa serikali yetu. Wanaweza kutumika pia.

Chakula ulichopika mwenyewe nyumbani Ni salama kuliko cha hotelini au mghahawani.

Wakati mwingine kuna kauli zinatolewa na serikali Ni kwasababu ya tahadhari na nia njema. Kwa hali km hii Ni vyema tukadoubt kila kitu juu ya korona na tukachukua tahadhari.

Ushauri: Serikali inapaswa kutoka hadharani na kutangaza hadharani korona ipo na inauwa.Inatamkwa tu kuchukua tahadhari bila kukiri uwepo wake.

Kuna mwananchi kila kitu lazima asikie serikali inasema ndiyo anaona ni jambo siriazi.

Serikali ina plani gani baada pengine hii ya kujifukiza na tiba asili kufeli. Imejipanga kiasi gani?

Watanzania tuchukue tahadhari, tuache mzaha, si lazima kila kitu uambiwe na serikali.
Mambo ni mengi muda ni mchache
 
Unafikiri barakoa haiwezi kuambukizwa na ikaletwa hapa ukavaa na ukaambukizwa.kirusi kikipata host HUWA kinaendelea kuwa hai hata miaka milioni.Ndiyo maana Covid 19 iliundergo mutation kutoka n218 na kubadilika kuwa n480 na kuwa Covid 21.Hiki kirus kinabadilika kila kinapoingia ktk mazingira mapya na kuadopt.
Concentrate at what you are good at-polishing your apple.
Mambo ya wanasayansi waachie wenyewe.
Mnatuaibisha kwa arguments zenu za kijinga zisizoenda shule.
Hata maabara hamjui ziko wapi.
 
Mjinga kila kitu anaona ni ujinga,hujakosea.Huna ujualo kuhusu virus so hiki Cha korona tu hujui chochote kuhusu virus.
Ndio maana nmekuambia...ACHA UJINGA


huyu waziri wako, na Mkubwa wake, hao wote wanategemea Taarifa sahihi kutoka Kwetu sisi watu wa Afya.


Hayo mengine ni porojo
 
Ndio maana nmekuambia...ACHA UJINGA


huyu waziri wako, na Mkubwa wake, hao wote wanategemea Taarifa sahihi kutoka Kwetu sisi watu wa Afya.


Hayo mengine ni porojo

Mtu wa afya ambaye hata ufahamu kuhusu kovidi HUNA ndiyo rais akutegemee mpumbavu km wewe kupata taarifa , acha vituko.

Kwa hiyo mpaka sasa hivi umeshatoa taarifa sahihi zipi. Total trash
 
Concentrate at what you are good at-polishing your apple.
Mambo ya wanasayansi waachie wenyewe.
Mnatuaibisha kwa arguments zenu za kijinga zisizoenda shule.
Hata maabara hamjui ziko wapi.
Mpumbavu wewe,zilizoenda shule ni zipi ulizoweka humu? Km siyo kuharisha kwa mdomo halafu HUNA lolote la tofauti.

Kumwita mtu mjinga halafu huwezi kuthibitisha ujinga wake kwa hoja zilizoshiba ,HUNA jina jingine zaid ya mpumbavu uliyetopea.Stupid!!!
 
Kirusi cha corona kina kaa kwenye nguo kwa mda wa siku ngap na barakoa zinasafirishwa n kutufikia kwa siku ngap vitu vingine tujiulize maelezo mengii kma ni vita ya uchumi ni kwetu tu au Tanzania kuna nn cha pekee mpka tupigwe vita ya kiuchumi kenya tu hatuwawez kiuchumi ndio tuje tuwe n vita n wazungu akili yang imegoma kulishwa ujinga
Ukikua utaelewa maana
 
TBS wanapima kila unit iliyopo kwa kontena yote au wanapima sampo tu. Na hii Ni spesho kesi kwa wakat maalumu.
Aiseee! Kwa hiyo barakoa zenye korona zinakuwa zimejificha kiasi kwamba TBS, TFDA na TMDA wote wasizipate?
Kama ndivyo, hizi taasisi ni redundant, zifutiliwe mbali kama ilivyofutwa CDA!
 
Back
Top Bottom