Kauli ya Waziri Mkuu imebeba ujumbe mzito si ya kubeza. Jaribu kufikiri kwa upana

Wewe unayegoma kulishwa ujinga ni mjinga tangia hapo.aliyetengeneza hichi kirus unamjua.anaweza kikiwekea mazingira ya kusurvive anavyotaka yeye. Tatizo watu hamwelewi nia nisikio la kufa.kila mara mnaambiwa hichi kirus kinaundergo mutation kila kikiwa kwenye mazingira mapya mbona husutuki ili na unasema umegoma kulishwa ujinga.shida hapa ni uelewi na umeshiba utaki kijibidisha kusoma.kirus kilianza covid 19 sasa hivi ni kipya kina n480 kutoka n218 na sasa ni covid 21 hujastuka tu
 
Labda kama.wanataka kinyang'anya Mlima Kilimanjaro au Serwngeti
 
Maneno maneno tu yasiyo na substance yanaifanya mada kuwa mfu.
Siku hizi seikali inaendeshwa kwa hisia?
Kama mnonjwa anaweza kupimwa hospitali kuwa ana covid, barakoa zinazoingizwa toka nje je zenenyewe haziwezi kupimwa?
Tunaingiza siasa hata pasipostahili.
This is a non issue.
 
Ili mtu aelewe kwanza anatakiwa aondoe chuki au kupenda kulikopitiliza ndipo afanye judgement. Wengi hapa wanatafuta cha kukosoa au kusifia wakiongozwa na hisia juu ya muhusika si uhalisia wa fikra.

Mtu anauliza kirusi kinakaa muda gani kwenye nguo, mtu haoni hata umuhimu wa uwepo wetu kwenye uchumi wa dunia. Hawazi kama hatuna impact kwenye uchumi kwann tuna mikopo mikubwa kutoka bank ya dunia? Kwann maamuzi yetu ya kiuchumi huwa yanatolewa maoni hata na wanauchumi wa mataifa makubwa? Kwann leo tukiamua tuzaliane bila kujali uzazi wa mpango dunia nzima itatushukia?
 

Ni kweli.
 
Huijui nchi yako ndo maana unauliza umuhimu wa uchumi wake duniani kama upo au la? Ungekuwa hauna umuhimu usingewahi kuwa koloni. Kwenye vita vya kugawana makoloni hata nchi yako ilikuwa sehemu ya mgawo kwa wakubwa. Hilo swali la Tz tuna nn huwa linakera sana esp likitoka kwa mzawa.

Hata hujiulizi watu m50+ ni soko la viwanda vingapi huko duniani na wakikuza uchumi wataimpact vp soko la dunia. Madhara ni yapi na faida ni zipi kwa watu m50+ kuamua wanaloamua juu ya uchumi wao.
 
TBS wanapima kila unit iliyopo kwa kontena yote au wanapima sampo tu. Na hii Ni spesho kesi kwa wakat maalumu.
 
Ondoa upumbavu wako wewe! Watanzania kama wewe ni hasara kubwa kwa Taifa.
Umemaliza hoja,hujui hata sayansi ya virusi.hujui hata kirusi Cha Covid 19 kilikuja kwa code gani na Sasa kimeupgrade kiasi gani.

Wapumbavu ndiyo wanaita watu wajinga au wapumbavu km wao.

Hujui chochote kuhusu Covid 19 na Sasa Ni Covid 21,kwa hili we Ni mwanafunzi wangu.Nyie mnadhani rais au Pm wanaropoka tu.
Pamoja na kwamba Wana matatizo ya kiungozi ktk kupambana na korona. Siwatetei,Ila hii Ni sayansi.
 
Ondoa upumbavu wako wewe! Watanzania kama wewe ni hasara kubwa kwa Taifa.
Kwa Mara nyingine acha nikupe pole kwasababu huna ujualo Zaid ya hisia zako.pole mkuu.
 
Wewe Ni wa kucheka kabisa eti kinakaa kwa nguo kwa muda gani.
Elimu
Elimu
Elimu
 
Tuna gesi asilia na hatuoni manufaa yake kwa sababu ya viongozi tuliowapa mamlaka ya usimamizi kujali matumbo yao tu na ubinafsi, siyo kwa sababu ya mzungu. Hivi mbona tumezidi kuwasingizia wazungu kwa matatizo tuanzishayo wenyew?
 
Tuna gesi asilia na hatuoni manufaa yake kwa sababu ya viongozi tuliowapa mamlaka ya usimamizi kujali matumbo yao tu na ubinafsi, siyo kwa sababu ya mzungu. Hivi mbona tumezidi kuwasingizia wazungu kwa matatizo tuanzishayo wenyew?
Unajaa mulemule mkuu,Ni nani anayefanya hiyo lobing ili apate hizo rasilimali.Ni mzungu anazitamani rasilimali zetu na anazijua akili za viongozi wetu hivyo ni rahisi kuwaingiza mkenge.
Pili huna teknolojia huna mitambo wataachaje kukupiga kwa mfano.Wazungu wanaokuja hapa kimkakati .Huwezi kuwatetea kwa lolote.Labda basi uniambie duniani ukoloni na ubepari haupo.Basi tutaelewana kuwa wazungu ni watu wazuri hawana tatizo na rasilimali zetu.

Mpaka leo mahali popote duniani inapogundulika almasi basi dunia nzima inajua hiyo Ni mali ya kina Williamson. Wamehodhi.
 
Ondoa upumbavu wako wewe! Watanzania kama wewe ni hasara kubwa kwa Taifa.
Usipaniki mkuu,leta hoja,kwamba sisi lazima tuwasikie wazungu kwanza ndiyo tuongee kwasababu hatuna tujualo. Kila kitu wafanye wengine kwanza.

Hii Ni Slavery Mentality.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…