Kauli ya Waziri Mkuu imebeba ujumbe mzito si ya kubeza. Jaribu kufikiri kwa upana

Mpumbavu wewe,zilizoenda shule ni zipi ulizoweka humu? Km siyo kuharisha kwa mdomo halafu HUNA lolote la tofauti.

Kumwita mtu mjinga halafu huwezi kuthibitisha ujinga wake kwa hoja zilizoshiba ,HUNA jina jingine zaid ya mpumbavu uliyetopea.Stupid!!!
Mkuu you just proving something we didnt know earlier, that you are an idiot.
 
Ukikua utaelewa maana
Hivi huwa hamuwazi kwa nn watu wengi wanahoji kitu ukiona hvo ujue kina mashaka na vizazi vya sasa hvi sio vya kupelekwa pelekwa Tekinolojia imekuwa sana watu kupata taarifa ni haraka sana na hata kutafuta ni haraka san vitabu vipo
 
Muache kujipendekeza kwa wachina na boss wenu
 
Anafanya kama alivyofanya kwenye uchaguzi mkuu hakuna hekima yoyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…