Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Nimemsikiliza Waziri wa Mambo ya Ndani na nimesoma sheria inayotoa vitambulisho vya NIDA sijaona sehemu ambayo Waziri ana mamlaka yaku-extend validity ya kitambulisho cha NIDA Bila kuprint kitambulisho kipya.
Niombe wanasheria watusaidie legal gap endapo kitambulisho kilichomalizika muda wa matumizi kitatumika kuweka dhamana, kufanya bank transaction au any legal activity! Nauliza haya kwa Sababu siamini kama kitambulisho chenye uhai kinapoisha muda wa matumizi kinaendelea ku save the same purpose.
Lakini pia serikali natambua inakwepa gharama za uzalishaji vitambulisho jambo ambalo kwangu mimi nI la msingi hasa tukizingatia mdororo wa uchumi Duniani. Basi pamoja na nia nzuri kauli ya Waziri ipate backup ya government gazette inayokidhi au tibu mwanya wa kisheria uliopo.
Tukiendelea kufanya kazi au kutoa tamko bila proper citations za sheria itafika mahali utakuwepo mgongano wa hoja mahakamani kuhusu matumizi ya NIDA ID na mahakama inaweza kutoa hukumu ambayo itashangaza serikali.
Tumsaidie Waziri lakini pia taasisi zinazoathiriwa na vitambulisho hivi kwenye huduma ebu kuweni makini msiingizwe mkenge mwisho tamko lisiwasaidie.
Kama mnaamini kauli hii ina legal stand basi let us proceed.
Niombe wanasheria watusaidie legal gap endapo kitambulisho kilichomalizika muda wa matumizi kitatumika kuweka dhamana, kufanya bank transaction au any legal activity! Nauliza haya kwa Sababu siamini kama kitambulisho chenye uhai kinapoisha muda wa matumizi kinaendelea ku save the same purpose.
Lakini pia serikali natambua inakwepa gharama za uzalishaji vitambulisho jambo ambalo kwangu mimi nI la msingi hasa tukizingatia mdororo wa uchumi Duniani. Basi pamoja na nia nzuri kauli ya Waziri ipate backup ya government gazette inayokidhi au tibu mwanya wa kisheria uliopo.
Tukiendelea kufanya kazi au kutoa tamko bila proper citations za sheria itafika mahali utakuwepo mgongano wa hoja mahakamani kuhusu matumizi ya NIDA ID na mahakama inaweza kutoa hukumu ambayo itashangaza serikali.
Tumsaidie Waziri lakini pia taasisi zinazoathiriwa na vitambulisho hivi kwenye huduma ebu kuweni makini msiingizwe mkenge mwisho tamko lisiwasaidie.
Kama mnaamini kauli hii ina legal stand basi let us proceed.