Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #41
Hapa na mimi ameniacha njiani, lakini Rais alifahamu kuwa Chalamila ni petrol na haikupita muda petrol imelipuka.
Kwani huyu RC chalamila yupo wapii? hadi muda huu, kwann asizikanushe hizi tuhuma zinazozushwa juu yake
Sasa nadhani kwakuwa kwenye hoja yako umejiuliza maswali. Hili lilipaswa pia Mona ya maswali la kujiuliza.Kwa nini iwe Mwanza isiwe mahali pengine Kama Simiyu, Geita n.k?
labda naye yupo TISSSerikali iwe makini wakati mwingine, hasa TISS vinginevyo watu Kama hawa wanaharibu Sana nchi
Haya ni matokeo ya kusema kabla ya kufikiri kwa kina, au kusema bila ya kuwa na uwezo wa kufikiri kwa kina.
Kama Jiwe alikuwa nayo sembuse huyoChalamila eti na yeye ana PhD
Kwani hukuwahi msikia mwendazake akiwaambia watu wa Mwanza, akielezea kuwa anawateua "wehu" wenzake kwenye serikali yake?Hivi inakuwaje mtu wa namna hii anateuliwa nafasi Kama hiyo?
Sasa nadhani kwakuwa kwenye hoja yako umejiuliza maswali. Hili lilipaswa pia Mona ya maswali la kujiuliza.
Ila kumbuka alisema hilo kwakuwa Rais anatarajia kwenda Mwanza. Sasa siku Rais akitaka kwenda Simiyu na kama mkuu wa mkoa wa Simiyu naye ni chizi Kama Chalamila tungeskia hilo pia. ( Japo sasa kwakuwa Chalamila ameshatumbiwa kwa uchizi wake huo, basi hata mikoa mingine yenye machizi hayatasema siku Mama akitaka kuitembelea).
Hapana, I feel sad for his wife, ningekuwa mke wake ningemuacha mchana kweupeunataka uolewe naye, embu jaribu kama utampiku aliyenaye!!
Kwani hukuwahi msikia mwendazake akiwaambia watu wa Mwanza, akielezea kuwa anawateua "wehu" wenzake kwenye serikali yake?
Hivi unadhani kweli "upstairs" zake ziko sawa huyu Chalamila??
Nimemuwazia mke wake kuishi na furushi kama hiloHahaha!
Kwa nini Mkuu unauliza swali hili?
Huyu Ni mleviCHALAMILA KAULI ZAKE ZINAZUA MASWALI MENGI.
Na Robert Heriel.
Nani aliyemuambia wananchi wa Mwanza Wanakinyongo na Kifo cha Magufuli?
Chalamila hajamaliza hata wiki mbili tangu awe Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, sasa je aliwezaje kuzipata taarifa za Wakazi wa Mwanza kwa muda mfupi tuu kuwa watu Wanakinyongo na Kifo cha Magufuli?
Je Chalamila alikuwa akiisemea nafsi yake au alikuwa akiwasilisha vinyongo vya watu wanaomzunguka kuhusu Kifo cha Magufuli?
Je Chalamila hakuwepo wakati msiba wa Magufuli na hakusikia Sababu zilizosababisha Umauti umfikie JPM?
Je nini dhamira ya Chalamila kusema kauli hiyo?
Chalamila kusema watu Waende na Mabango yenye jumbe zozote hata za MATUSI, alikuwa anajaribu Kueleza Uhuru wa namna gani?
Chalamila akiwa Mbeya aliwahi kusema hataki Mabango ya Aina yoyote yenye jumbe za hovyo, je nini kimebadilika alipofika Mwanza?
Nilishawahi kusema, Wale wote waliokuwa wakisapuza na kuhamasisha JPM aongezewe muda wa kuongoza wanapaswa waondolewe katika nafasi walizonazo. Na Kama ni wabunge mwaka 2025 wasirudi bungeni.
Bahati nzuri wanafahamika, na wanajifahamu. Hatuwezi kuwa na taifa la viongozi wasioweza kutumia akili zao vizuri.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa MOROGORO
View attachment 1816057
Huyu Ni mlevi
Mara nyingi anaongea pombe ikiwa kichwani
Kigogo2014 kamshauri apige biyaaaaaaa
Nimemuwazia mke wake kuishi na furushi kama hilo
Hamna cha tiss, magu akiamua hakuna jinsi!Serikali iwe makini wakati mwingine, hasa TISS vinginevyo watu Kama hawa wanaharibu Sana nchi
Hapa tunaweza kuwa tukakubaliana kwenye kufikiria vyema. Ila haiondoi ukweli wa kile ambacho yeye kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa wa Mwanza anaweza kuwa alikuwa anakijua kuhusu watu wa Mwanza.Hakufikiri vyema,
Na huenda alisema Jambo linalopatana na akili yake hata Kama amepewa taarifa
Imefanyika Sana chini ya tawala dhalimu.Unaumiza watu unaowatumikia, ajabu Sana hii
Imefanyika Sana chini ya tawala dhalimu.
Mahakimu walishindana kuwanyima wapinzani Dhamana Ili kumfurahisha mwendazake Ili afurahi awape teuzi ya ujaji.
Mapolisi walishindana kukamata wapinzani na intelligence zisizoisha mbona siku hizi hizo intellegencia ya viashiria vya vurugu atusikii kwenye mikutano ya wapinzani.Wapo waliopewa teuzi baada ya kutishia kuwaua wapinzani.
Hakika tumepita kwenye bonde la uvuli wa mauti.
Mungu yu mwema Hakuna mwanadamu yeyeto aliyewahi ibeba dunia.