Kauli za Rais Samia Suluhu na watangulizi wake ni kama hazina tofauti.

Kauli za Rais Samia Suluhu na watangulizi wake ni kama hazina tofauti.

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Huyu mama alianza kazi akiwa na lugha flani hivi tamu mpaka wakati mwingine akawa anamponda aliyekua boss wake (Magufuli ila sasa hivi kaacha) kwa vijembe.baadhi ya watu wakiongozwa na chadema wakampenda na kumpa sifa zote.

Sasa leo anatoa kauli ya kejeli kama hii,anatofauti gani na yule aliyesema wanafunzi wa shule za msingi na secondary wanapata mimba kwa sababu ya viherehere vyao?

Screenshot_20230917-145817_Instagram.jpg
 
Huyu mama alianza kazi akiwa na lugha flani hivi tamu mpaka wakati mwingine akawa anamponda aliyekua boss wake (Magufuli ila sasa hivi kaacha) kwa vijembe.baadhi ya watu wakiongozwa na chadema wakampenda na kumpa sifa zote.
Sasa leo anatoa kauli ya kejeli kama hii,anatofauti gani na yule aliyesema wanafunzi wa shule za msingi na secondary wanapata mimba kwa sababu ya viherehere vyao?
Hiyo kauli hakuwaambia wananchi, kawaambia watu wa galmashauri wasiowatumikia wananchi. Ilikuwa kuhusu jengo la x Ray.

Tusiwe tunapotosha kilichoongewa.
Siasa majitaka (gutter politics)hizo hazifai, ni ujinga.
 
Huyu mama alianza kazi akiwa na lugha flani hivi tamu mpaka wakati mwingine akawa anamponda aliyekua boss wake (Magufuli ila sasa hivi kaacha) kwa vijembe.baadhi ya watu wakiongozwa na chadema wakampenda na kumpa sifa zote.
Sasa leo anatoa kauli ya kejeli kama hii,anatofauti gani na yule aliyesema wanafunzi wa shule za msingi na secondary wanapata mimba kwa sababu ya viherehere vyao?
Uchaguzi umekaribia.
 
Huyu mama alianza kazi akiwa na lugha flani hivi tamu mpaka wakati mwingine akawa anamponda aliyekua boss wake (Magufuli ila sasa hivi kaacha) kwa vijembe.baadhi ya watu wakiongozwa na chadema wakampenda na kumpa sifa zote.
Sasa leo anatoa kauli ya kejeli kama hii,anatofauti gani na yule aliyesema wanafunzi wa shule za msingi na secondary wanapata mimba kwa sababu ya viherehere vyao?
eehh,
kwani kuna ubaya gani kwenye hiyo kauli kwa Mfano?

na mfanano au utofauti wa kauli ya huyu au yule unasaidia nini kwa mfano?
 
Kama alivyoita Katiba ni kitabu kasahau kwamba yuko pale kwa sababu ya Katiba😕
 
Kama alivyoita Katiba ni kitabu kasahau kwamba yuko pale kwa sababu ya Katiba😕
Wacheni uongo nyinyi. Kuweni wabunifu kisiasa, muwe na sera zenu, siyo kudandia hoja za CCM na serikali ya CCM.
 
Back
Top Bottom