Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wote lakini wengi huwa na tabia ya kuhamasishana umalaya,
wajenzi wa nyumba
wachimbaji wa madini
wavuvi
mafundi gereji
mafundi simu
Msitusahau na sie wa tanesco aisee mtuweke juu kabisa kwenye hii list😂Madereva na mameneja wa bar je?
Chama linaitwa "PONYAKU"Ngono
Pombe
Vita
Hizi ni njia za mwanaume, lazima utakatiza mojawapo
😂😂😂Chama linaitwa "PONYAKU"
1. POMBE
2. NYAMA
3. KU.A
Hapo watu wengi tumo humo.
Hii imekaa poa sana hasa hasa ya kiuchumiVita
kwa nini mkuuMadoctor ni konyo[emoji91]
dronedrake tujisajili huku aiseeChama linaitwa "PONYAKU"
1. POMBE
2. NYAMA
3. KU.A
Hapo watu wengi tumo humo.
Sisi wazee wa miradi tunakaa kundi gani?Yani usipime, ngono ni kama ibada, sio wote lakini ni wengi
Madereva wa malori, tipa,
wachimbaji wa madini
wajenzi wa nyumba
nyie si mko kwenye kataa ndoa chukua sheria mkononidronedrake tujisajili huku aisee
kwa nini mkuu
Wacha we!!Mwanaume siku zote tokea enzi na enzi, ngono kwake ni zoezi la kuendeleza "ufalme wa kiume"...
Tena siku hizi ni kama tumepunguza kasi hadi kwenye kuoa imekuwa ni mwanamke mmoja tu...
Umewasahau wa jf.Yani usipime, ngono ni kama ibada, sio wote lakini ni wengi
Madereva wa malori, tipa,
wachimbaji wa madini
wajenzi wa nyumba