kawanini kazi hizi wanaume huwaza sana ngono, ni utamaduni wao au?

Madereva wa Malori na wanajeshi, hawa huwaga hawachagui papuchi na huwaga hawanaga time ya kusikiliza ushauri, wao kiwanja chochote kiwe kina mbigili au hakina wanacheza tena peku.

Madereva wa Malori ni mabingwa wakujilipua kwa kuwaoa mabamedi.
 
umewasahau maafisa usafirishaji(bodaboda) muda wote pumbu zipo kwenye tenki la mafuta wasiwaze tu ngono

Nb sio wote lakini[emoji1787]
Hawa ndo kweliii, yaan boxer mkononiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani usipime, ngono ni kama ibada, sio wote lakini ni wengi

Madereva wa malori, tipa,
wachimbaji wa madini
wajenzi wa nyumba
Police
Wakufunzi
Wahadhiri
Wauza nyama bucha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…