Hapo mimi nime subscribe kote ila hizo 2 za mwanzo ni kama chakula changu...everyday lazima gambe na ku*a ama kimoja wapo ynayonniNgono
Pombe
Vita
Hizi ni njia za mwanaume, lazima utakatiza mojawapo
Walwa, nyama na NyoChama linaitwa "PONYAKU"
1. POMBE
2. NYAMA
3. KU.A
Hapo watu wengi tumo humo.
Mwanaume siku zote tokea enzi na enzi, ngono kwake ni zoezi la kuendeleza "ufalme wa kiume"...
Tena siku hizi ni kama tumepunguza kasi hadi kwenye kuoa imekuwa ni mwanamke mmoja tu...
Umejuaje km mie sio mwanaume?Wewe sio mwanaume, how come you interfere our issues?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Harafu hawachagui hata chokoraa wanapiga.
Na siku zote wao hawana hela maisha ni magumu
Unatusingiziamadokta
😂😂😂😂 mbona muda mrefu sana.., me ni sekunde 1.5Wastani mwanaume kamili huwaza ngono kila baada ya sekunde nne.Ushahidi ni mimi mwenyewe.🤔
WWWNgono
Pombe
Vita
Hizi ni njia za mwanaume, lazima utakatiza mojawapo
Tumepunguzwa nguvu na mitindo ya maisha pamoja na madawa yao wanayoweka kwenye vyakula toka vikiwa shambani na kwenye processed foods.Mwanaume siku zote tokea enzi na enzi, ngono kwake ni zoezi la kuendeleza "ufalme wa kiume"...
Tena siku hizi ni kama tumepunguza kasi hadi kwenye kuoa imekuwa ni mwanamke mmoja tu...
Kabisa yaanHarafu hawachagui hata chokoraa wanapiga.
Na siku zote wao hawana hela maisha ni magumu
nafikiri ni hulka binafsi ya mtu
Hawapo kwenye hili kundi.madokta
nakubali kutokubaliana na weweMy sister ni a doc anasema wazi kuwa hao sio watu wazuri
,, sio mara moja sio mara,1 2 au 3 nampeleka mama mtu hospital they end up kutongoza
Umejuaje? Ni kipimo kipi au uchunguzi gani ulioufanya hadi kufikia conclusion hiyo?Yani usipime, ngono ni kama ibada, sio wote lakini ni wengi
Madereva wa malori, tipa,
wachimbaji wa madini
wajenzi wa nyumba
100%Ukiwa na maono ya utajiri na mafanikio,mawazo ya ngono zembe yatakuwa hayana nafasi,ila wenzangu na mimi kula kulala,akina kajamba nani,hao muda wote ni kuwaza zinaa tu kama chai yaani.