we ni nguruwe wa lumumba huna lolote ,kafie mbele hukoPeleka Unyumbu wako Ufipa ! Sina mda wa kubishana ! na takakataka!. Hoja hamna mmekalia propaganda!.
Serikali itatoa Ajira ngapi wewe ?? Hata akiajiri bado watu wengi watabaki mtaani. Tatizo la ajira halijaanza leo! Mbona zimetolewa ajira za madaktari na walimu , hamulioni Hilo!. Miuondombinu inayojengwa si kuna ajira zinazalishwa mule?? Acheni kujitia upofu!.Vijana wasio na ajira ni wangapi? Hao tu hawana sababu ya kumshabikia Magufuli sababu hajawasaidia lolote miaka hii 5 zaidi aliwadanganya kuhusu ajira million 2.
Bado wakulima ambao nao kila sehemu ni kilio kuanzia korosho mpaka pamba. Watu wanazalisha ila masoko changamoto na serikali haisaidii lolote. Embu nipe sababu ya hao watu kumchagua magufuli?
Very minor Propaganda Pia namuona Rais Magufuli anawapungia mamilioni ya watanzania ambao wanamsubiria kwa hamu alihutubie TaifaWabaguzi wawili wanakutana leo! Huyu anabagua wanawake na yule anabagua Waislam!
Achana na Mimi! Nyie si mnajifanyaga vipofu hamuoni !! Tunawapiga spana tu mpaka akili ziwakae sawa!.we ni nguruwe wa lumumba huna lolote ,kafie mbele huko
Mimi ni mwana CCM damu, Lakini kuna mengi Raisi wangu anayoyafanya siyakubali. Raisi kama Raisi huhitaji kufatwa na mbunge akuombe kuyatatua matatizo ya jimboni kwake, Una Meya an hata Mkuu wa Mkoa, wote hawa pia wanukuletea habari, mbona huzitimizi, kwa katiba yetu sio Haramu kumchagua kiongozi wa chama cha upinzani, kama ni tatizo basi fungeni vyama vya upinzani tuwe na chama kimoja kama zamani.Jua linachomoza, madimbwi yamekauka kwa Upendo wa Mungu na watu kwa maelfu wanaelekea viwanja vya Kawe Tanganyika packers kumsindikiza kipenzi cha watanzania Dr Magufuli.
Karibuni nyote.
Rip Mwalimu Nyerere
Up dates;
DKT: MAGUFULI: VYAMA VYENYE BENDERA VYENYE RANGI NYEKUNDU VINAASHIRIA MABAYA
Katika Mkutano wa kampeni wa mgombea wa urais wa kupitia CCM, Dkt. Magufuli amesema baba wa Tiafa mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipata uhuru wa nchi hii bila kumwaga damu
Leo tunaadhimisha miaka 21 tangu kifo chake. Lakini anakumbukwa kwa kulipatia uhuru taifa la Tanzania bila mtu yoyote kufa katika harakati za kuutafuta uhuru
Amesema hiyo ndio sababu bendera ya nchi yetu haina rangi nyekundu, tofauti na nchi nyingi za Afrika ambazo zina rangi nyekundu
Amesema kuna baadhi ya vyama vya siasa vina rangi nyekundu, ambavyo haviashirii dalili nzuri. Dkt. Magufuli ameyasema hayo alipokuwa Tegeta kwa Ndevu akielekea Kawe kufanya mkutano wa Kampeni
DKT. MAGUFULI: ALIYEKUWA MBUNGE WA HAPA HAKUWAHI KUNIOMBA
Mgombea urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Magufuli amesema Oktoba 13, alipigiwa simu na Mgombea Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM kuhusu adha za wananchi wa Basihaya
Amesema aliyekuwa mbunge wa Kawe, jimbo ambalo Bashaya ni sehemu yake, hakuwahi kumuomba kuhusu shida ya mitaro ambayo ilifanya makazi waingiliwe na maji kwa mvua iliyonyesha jana
Aidha amemtaja Gwajima kuwa aliwatembelea wananchi hao na kusaidia kuokoa vitu vyao vilivyokuwa vikichukuliwa na maji
Magufuli ameahidi kutenga Tsh bilioni 5 katika bilioni 32 iliyotengwa kwa ajili ya ukarabati wa mitaro mkoani Dar es Salaam
Dkt. Magufuli akizungumza na wananchi wa Kunduchi, Mtongani
Ndugu zangu wa Mtongani. Mnafahamuβ¦Tunahitaji kufanya mabadiliko makubwa. Jimbo hili linmechelewa sana.
Aliyeongoza kwenye kura za maoni ni mtoto wangu, mtoto wa dada yangu. Anaitwa Furaha. Lakini nikasema hapana. Aliyefuatia aliwahi kuwa Mbunge wa East Africa, nikasema hapana. Nimewaletea Gwajima aje afufue maendeleo ya Kawe.
Wana Kawe musilete mambo ya ubaguzi ya udini na maeneo. Nimekuwa nikiwatetea pembeni pembeni, nikiuliza matatizo ya Kawe wala sipewi.
Mara unaona mtu haingii Bungeni, au anaingia Bungeni akiwa ameziba mdomo. Nataka wanaofungua mdomo ili wanieleze shida za wana Kawe.
Dkt. Magufuli akiwa Boko Basihaya
Ningeweza kutoka Ikulu na kwenda moja kwa moja kwenda Tanganyika Packers. Lakini jana Gwajima pamoja na Diwani waliniambia kuwa kuna sehemu za Kawe zimeharibika kutokana na mvua, nikasema nitapita kuona.
Na mimi nafahamu hapa huwa kunakuwa na maji mengi. Watu wanapata shida. Lakini sijawahi kuombwa hata siku moja kwamba wananchi wa hapa wanapata shida.
Tumetenga bilioni 32 kwaajili ya kushughulikia mitaro [jijini Dar Es Salaam]. Bilioni 5 nitazileta kuja kushughulikia hapa. Lakini tukubaliane, musinichanganyie [na viongozi wa Upinzani]. Huwa naumia sana. Miaka 10 bado hamuelewagi tu?
Tegeta Kwa Ndevu
Marais wote waliopita kabla yangu hawakumwaga damu. N mimi katika miaka yangu mitano sikumwaga damu. Amani nchini Tanzania ni kitu kikubwa sana.
Kama miradi yote hii iliyojengwa hukupata ajira ujue wewe ni wale wale ambao wanawza zile ajira za kukaa ofisini kama walivyoambiwa na mababu zao> Mimi nipo kwenye ajira miaka 16 ila kipato cha nje ya ajira ni kikubwa hadi huwa najiuliza huu utumwa wa vyeti ulinipotezea muda sana, njoo kanda ya ziwa kwenye migodi ya wachimbaji wadogo wadogo uone wenzako graduates wa vyuo vyenye heshima kama MUHAS wanavyokamua pesa wewe!Vijana wasio na ajira ni wangapi? Hao tu hawana sababu ya kumshabikia Magufuli sababu hajawasaidia lolote miaka hii 5 zaidi aliwadanganya kuhusu ajira million 2.
Bado wakulima ambao nao kila sehemu ni kilio kuanzia korosho mpaka pamba. Watu wanazalisha ila masoko changamoto na serikali haisaidii lolote. Embu nipe sababu ya hao watu kumchagua magufuli?
Hadith yako inatufundisha niniKuna Coaster niliikuta Bunju imebeba wana CCM tupu ndani, huku kila mmoja akipewa 5000 kuwa ni nauli ya kurudi toka kwa "Mheshimiwa".
Wamesombwa kama wote wa mbagala. Kisarawe n.kVipi leo mnasomba watu kama ng'ombe kutoka wapi, juzi hapa kinyerezi walilazimisha kila mwenyekiti wa mtaa alazimishe watu 30 na makosta yanabeba,kama mnapendwa watu watakuja wenyewe kwanini mnaforce watu?yaani mnajitekenya aibu gani hii kwa chama tawala ,mmekosa mvuto
Wabunge ambao wanafunga plaster midomo yao, wanajiweka karanti baa na konyagi pembeni zikiwazidi wanaanguka na kuumia na kuuambia umma kuwa wamepigwa na wasiojulikana!Mimi ni mwana CCM damu, Lakini kuna mengi Raisi wangu anayoyafanya siyakubali. Raisi kama Raisi huhitaji kufatwa na mbunge akuombe kuyatatua matatizo ya jimboni kwake, Una Meya an hata Mkuu wa Mkoa, wote hawa pia wanukuletea habari, mbona huzitimizi, kwa katiba yetu sio Haramu kumchagua kiongozi wa chama cha upinzani, kama ni tatizo basi fungeni vyama vya upinzani tuwe na chama kimoja kama zamani.
Pili Mheshimiwa Raisi, Wana kawe hawana Udini na hawaleti udini, Mtu mdini hapa ni huyu GWAJIMA aliyekuwa chaguzi lako, na udini wake uko recorded. Pia unampigia campaign tofauti na wengine, tunashindwa kukuelewa.
Wakati wa Kikwete mbona aliajiri kila mwaka? Hilo ndio jukumu la serekali kuhakikisha ustawi wa jamii.Serikali itatoa Ajira ngapi wewe ?? Hata akiajiri bado watu wengi watabaki mtaani. Tatizo la ajira halijaanza leo! Mbona zimetolewa ajira za madaktari na walimu , hamulioni Hilo!. Miuondombinu inayojengwa si kuna ajira zinazalishwa mule?? Acheni kujitia upofu!.
Haiba Yake Imepotea Machoni Mwa Wananchi!!πππHana sera ana ajenda ya kuendelea kuitawala nchi kidikteta.
spana anapigwa magu ndo maana bila baada ya kampeni lazima aingie gereji ,nye mbuzi katoliki kweliAchana na Mimi! Nyie si mnajifanyaga vipofu hamuoni !! Tunawapiga spana tu mpaka akili ziwakae sawa!.
Kikwete alijitahidi kuajiri! lakini bado watu wengi tu walikua hawana ajira mtaani..msifikiri tatizo la ajira kalileta Jpm ! Mbona kaajiri walimu na madaktari hamlioni hilo?? .Wakati wa Kikwete mbona aliajiri kila mwaka? Hilo ndio jukumu la serekali kuhakikisha ustawi wa jamii.
Kama haiwezi kuajiri wapishe wanaoweza