Kawe leo hii kuanzia Saa 1 hadi Saa 3 Usiku kulitokea nini hadi MP wa JWTZ Kufurika, Kukamata Watu, Kutembeza Kichapo na Kuzua taharuki?

Kawe leo hii kuanzia Saa 1 hadi Saa 3 Usiku kulitokea nini hadi MP wa JWTZ Kufurika, Kukamata Watu, Kutembeza Kichapo na Kuzua taharuki?

Duh sometime Cheo ni Kikubwa ila kuna watu wana nguvu na hawana cheo cha muhim ukiona umri umeenda kuna mahali tumia hekima maana kuna vijana hawana cha kupoteza wapo tayari kwa lolote
Bisi bisi noma sanaaa, awo vijana wana vifaa vidogo vidogo vya hatari ukizubaa tuu wanakuswekaa

Madereva wengi wana kasilaha fulani wanatembea nachoo
 
Akasome wapi wamewakuta Raia wapole ingekua kama Disouza watu nao wana siraha wangeenda kupiga watu na mikanda yao Watanzania sio violent hata kwenye haki yake hapo unamkuta abiria mgonjwa hajui hili wala lile nae anapigwa tuu...waendelee kuwapiga ila ipo siku watajuta kufanya huo utoto wao...
Mimi nimemjibu kulingana na majukumu aliyoyaulza sasa haya maelezo yako yana husiana vipi na nilichokijibu mkuu
 
Inasemekana ( kwa aliyenipa Taarifa Kamili kuwa ) Dereva Bajaji jana Usiku katika Baa Moja maarufu iliyo kwa ndani ( Mafichoni kidogo ) mkabala na Petro Station ya PUMA Kawe alipishana Kauli na Mwanajeshi ( tena Mkubwa wa Cheo cha Kanali ) kuhusu Kuzibiana njia ya kupita.

Ambapo Afande Kanali alikuwa Kapaki Gari lake lililokuwa limezuia njia kwa mbele na Dogo ( Dereva Bajaji ) kuhoji kwanini Afande aliziba njia hali iliyomkwaza Afande ( wa Cheo cha Kanali Muro kama sijalikosea Jina lake ) ambapo Afande Kanali akatoka ndani ya Gari lake na Kumzaba Makofi Dereva Bajaji huyo.

Kisha nae ( Dereva Bajaji ) kwa Hasira akaamua kwenda kuchukua Bisibisi Bajajini Kwake na kuja Kumchoma nayo Afande Kanali upande wa Moyo hali iliyomfanya akimbizwe Lugalo Hospital kwa Matibabu na Umauti kumkuta huko huko Wodini.

Kumbe Kanali alianzisha yeye mwenyewe mtiti uliomshinda...

Ubabe mwingi, ona kauawa kwa kidude kidogo misichoweza hata kutoboa mbao...
 
R.I.p kanali.............
Inavyosemekana dereva bajaji anaundugu na kigogo mkubwa tu hapa bongo.....so ngoma inaenda kua drooo........waswahili wanasema ukiyajuaaa ya mbele wenzako wanajua ya nyuma....
Na uyo kigogo kasema dogo asiguswe hata na kidole ataua mtu............
 
Inasemekana ( kwa aliyenipa Taarifa Kamili kuwa ) Dereva Bajaji jana Usiku katika Baa Moja maarufu iliyo kwa ndani ( Mafichoni kidogo ) mkabala na Petro Station ya PUMA Kawe alipishana Kauli na Mwanajeshi ( tena Mkubwa wa Cheo cha Kanali ) kuhusu Kuzibiana njia ya kupita.

Ambapo Afande Kanali alikuwa Kapaki Gari lake lililokuwa limezuia njia kwa mbele na Dogo ( Dereva Bajaji ) kuhoji kwanini Afande aliziba njia hali iliyomkwaza Afande ( wa Cheo cha Kanali Muro kama sijalikosea Jina lake ) ambapo Afande Kanali akatoka ndani ya Gari lake na Kumzaba Makofi Dereva Bajaji huyo.

Kisha nae ( Dereva Bajaji ) kwa Hasira akaamua kwenda kuchukua Bisibisi Bajajini Kwake na kuja Kumchoma nayo Afande Kanali upande wa Moyo hali iliyomfanya akimbizwe Lugalo Hospital kwa Matibabu na Umauti kumkuta huko huko Wodini.
Lakini wakati mwingine hawa mandava wanakoseaga! Wakiwa uraiani wanataka kuabudiwa! Wanavunja sheria wakitaka waogopwe! Hayo mambo ya kutishatisha watu uraiani yamepitwa na wakati! Raia wamevurugwa!
 
Nakubaliana nawe 100% ila Dereva Bajaji hakujua kuwa Jamaa alikuwa ni Mjeda tena Kanali kama inavyodaiwa.
Hata kama angejua wao Wana nafasi ya kuwa polite kwa raia na wafanye maamuzi ya busara Sana, huwa wanakosea hapo Tu kuwa wanaweza Fanya chochote eneo lolote bila kujali wanasumbua raia pia. Binadamu tuna Julia tofauti Sana, kama inawezekana wapigwe stika usoni isema JWTZ mpaka akizeeka
 
Mimi nimemjibu kulingana na majukumu aliyoyaulza sasa haya maelezo yako yana husiana vipi na nilichokijibu mkuu
OK sawa mkuu ila hata kama pana vifungu vipo hivyo ni vya hovyo au wewe unaonaje unadhani hivyo vifungu vinaweza kutumika hata hapo DRC Jeshi lichape raia hovyo kama hapa uone kama patakalika...
 
Huyo bajaji man atateswa sanaaaa kabla ya kupotezwa..atapata kifo Cha mateso otherwise mamlaka za juu za jeshi ziingilie ....maana hiyo kesi najua haitaenda polisi itamalizwa hapo jeshini....
Na ndugu wa huyo dogo nao hawatakubali kwahiyo wataisha wengi
 
Wacheza karate, Boxing, anaye miliki silaha, mwanajeshi, polisi, usalama wa taifa na hawa field force ni kundi la watu ambao hata ukimkanyaga mguuni bahati mbaya wakati unapanda daladala lazima atataka akuthibitishie kwamba ye ni nani(sio wote baadhi)...

Sasa uraiani watu maisha yamewachanganya, ukitaka kuleta habari zako za ubabe wa kishamba utamalizwa unajiona.
Broo sio kweli kuhusu karateka sisi ni watu waungwana mno hatufanani na hao wapuuzi wengine
 
Ubishi muda mwingine bhana, ona sasa kaacha cheo chake kizembe

Apumzike panapo mstahili ila tu naomba hii kesi iendeshwe kwa uwazi maana huyo dereva wanaweza kumzima pia

Ikumbukwe hayo ni mauaji kama mauaji mengine tu anastahili kupelekwa mahakama za kawaida tu na sio za kijeshi,

Pole sana dereva bajaji huko uliko kama nakuona hivi ambavo washakufanya hamna.
Mi ningekuwa familia ya askari, nisingeenda mahakamani, ningewaroga ukoo mzima wapukutike kama mkungu wa ndizi unaoozea mtini
 
Back
Top Bottom