raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Nchi hii aiseee 😆😆😆😆😆R.I.p kanali.............
Inavyosemekana dereva bajaji anaundugu na kigogo mkubwa tu hapa bongo.....so ngoma inaenda kua drooo........waswahili wanasema ukiyajuaaa ya mbele wenzako wanajua ya nyuma....
Na uyo kigogo kasema dogo asiguswe hata na kidole ataua mtu............
Mzee ukicheka na nyani siku zote utavuna mabua ukiwachekea waliofanya tukio matukio hayatoisha nishakutana na muuza chips mmoja anatamba kwamba yeye haogopi mwanajeshi mwanajeshi akimletea anampoteza na usisahau wale wana taratibu zao hawajafanya bila kufuata utaratibu, raia mnawadharau sana na kuwachukulia poa ndio maana wanatia adabuBusara itumike, marehem kauwawa nje ya jeshi. Huko busara ingetumika kijana angekamatwa still na wala yeye asingejeruhiwa .
Jeshi limekuwa too soft nowadaysNa eneo walilokuwa wanadili nalo ni kuanzia Ukwamani hadi Kanisani na MP ndiyo walikuwa Wengi huku Wakikamata Watu ( hasa hasa Vijana Wahuni ) wa maeneo hayo.
Ila kama nilichokisikia ni kweli Kwanza nitoe Pole kwa Mhusika na Taasisi yake ila Niwaase pia Vijana ( hasa Waendesha Bodaboda na Bajaji ) kuacha kutumia Bangi na Pombe kisha zinawalevya na Kuwachanganya Akili mpaka Kufikia ama Kujeruhi au Kuua kabisa Watu wanaohitilafiana nao Barabarani.
Ujinga plus kigogo ni nani mbele ya Jeshi yaan kigogo umtume bodaboda akaue mwanajeshi alafu unavimba kua akiguswa utaua wewe nani useme akiguswa utaua mamlaka hayo unayatoa wapi?R.I.p kanali.............
Inavyosemekana dereva bajaji anaundugu na kigogo mkubwa tu hapa bongo.....so ngoma inaenda kua drooo........waswahili wanasema ukiyajuaaa ya mbele wenzako wanajua ya nyuma....
Na uyo kigogo kasema dogo asiguswe hata na kidole ataua mtu............
Raia wakipigwa wanalialia that's why na wanawadharau sana wanajeshi to the extent inatia uchungu sana, how come mnawadharau walinzi wa Nchi yenu nyie mazuzu?Jeshi limekuwa too soft nowadays
Kikubwa nacho jifunza ni kua humble ukiwa na cheo heshimu watu sio una block njia kisa kanali wa Jwtz unajiona MUNGU mtu....Inasemekana ( kwa aliyenipa Taarifa Kamili kuwa ) Dereva Bajaji jana Usiku katika Baa Moja maarufu iliyo kwa ndani ( Mafichoni kidogo ) mkabala na Petro Station ya PUMA Kawe alipishana Kauli na Mwanajeshi ( tena Mkubwa wa Cheo cha Kanali ) kuhusu Kuzibiana njia ya kupita.
Ambapo Afande Kanali alikuwa Kapaki Gari lake lililokuwa limezuia njia kwa mbele na Dogo ( Dereva Bajaji ) kuhoji kwanini Afande aliziba njia hali iliyomkwaza Afande ( wa Cheo cha Kanali Muro kama sijalikosea Jina lake ) ambapo Afande Kanali akatoka ndani ya Gari lake na Kumzaba Makofi Dereva Bajaji huyo.
Kisha nae ( Dereva Bajaji ) kwa Hasira akaamua kwenda kuchukua Bisibisi Bajajini Kwake na kuja Kumchoma nayo Afande Kanali upande wa Moyo hali iliyomfanya akimbizwe Lugalo Hospital kwa Matibabu na Umauti kumkuta huko huko Wodini.
Ni ushamba tu, hayo mambo huwa wanafanya wale wasiokuwa na cheo, sasa kanali mzima!!! Hapo mwenye hasara ni Kanali, ndii amepoteza, hyo wa bajaji hata anyongwe hana hasara.Duh sometime Cheo ni Kikubwa ila kuna watu wana nguvu na hawana cheo cha muhim ukiona umri umeenda kuna mahali tumia hekima maana kuna vijana hawana cha kupoteza wapo tayari kwa lolote
Acha nidhamu ya uoga kikubwa ni kuheshimianaSasa mkuu wanajeshi wetu tunawapenda sana wakisema wawe wanatumia Nguvu kila sehemu si watatumaliza?
Maana kuna wakati tunakutana kwenye demu moja na kavaa kiraia au yuko kwenye Daladala konda anataka nauli yake.
Kuna mwanajeshi mkubwa nimekutana nae asubuhi hii yupo very frustrated how come raia mnakua na uadui na wanajeshi wa Nchi yenu why muwadharau watu wanaowalinda why mnawaonyesha dharau kiasi cha kuanza kuwaua wakianza kujibu mapigo mtaanza kulialia maana hawashindwi Ila taratibu na kanuni zao zinawabana, sio fair hata kidogo kwanini usimsikilize hata km kablock njia na mmepishana kauli ndio uchukue maamuzi ya kumuua?Kikubwa nacho jifunza ni kua humble ukiwa na cheo heshimu watu sio una block njia kisa kanali wa Jwtz unajiona MUNGU mtu....
Pia hata Hawa vijana wa bajaji na bodaboda wapo wenye kauli mbovu na matusi na lugha zisizo faa kiasi kwamba mtu asie weza ku apply MEASUREMENTS AND EVALUATION SKILLS anaweza kujikuta anafanya ya bwana kanali ama Yale ya DITOPILE MZUZURI kumpiga pistol dereva wa daladala....
Kwa Sasa ni hayo R.i.p Afande kanali
Nidhamu ya uoga unaijua wewe? Ushawahi kutumia hata Shot Gun Pump Action au unaropoka tu hata Magazine Chamber hujui inafananaje
Kwahiyo ukimezeshwa sumu ndio uende kuua ?
Kila mtu mwenye ugumu wa maisha akisema awe violent nchi itakalika?
Hawa bodaboda Huwa wanajiona
HakikaKikubwa nacho jifunza ni kua humble ukiwa na cheo heshimu watu sio una block njia kisa kanali wa Jwtz unajiona MUNGU mtu....
Pia hata Hawa vijana wa bajaji na bodaboda wapo wenye kauli mbovu na matusi na lugha zisizo faa kiasi kwamba mtu asie weza ku apply MEASUREMENTS AND EVALUATION SKILLS anaweza kujikuta anafanya ya bwana kanali ama Yale ya DITOPILE MZUZURI kumpiga pistol dereva wa daladala....
Kwa Sasa ni hayo R.i.p Afande kanali
Kutokana na maelezo,inasema kulipotokea mtifuano majibizanoKuna mwanajeshi mkubwa nimekutana nae asubuhi hii yupo very frustrated how come raia mnakua na uadui na wanajeshi wa Nchi yenu why muwadharau watu wanaowalinda why mnawaonyesha dharau kiasi cha kuanza kuwaua wakianza kujibu mapigo mtaanza kulialia maana hawashindwi Ila taratibu na kanuni zao zinawabana, sio fair hata kidogo kwanini usimsikilize hata km kablock njia na mmepishana kauli ndio uchukue maamuzi ya kumuua?
Ndio maana nimesema wao wana nguvu na hakuna anayeweza kupambana nao. Kwanza hatuna hiyo azma ya kupambana na jeshi letu.
Endelea kunasa vibao wanaume wenzio tuUnapigwa vizuri usipokuja kistaarabu , uwezi tunisha msuli kwa mwanaume mwenzio alafu ye awe mpole, vijana wa sasa hawana adabu unwza kits alimfuata mzee akaanza kumkaripia
Wewe utakuwa ni mmoja wao. Unatetea ujinga. Mimi nashauri busara itumikeMzee ukicheka na nyani siku zote utavuna mabua ukiwachekea waliofanya tukio matukio hayatoisha nishakutana na muuza chips mmoja anatamba kwamba yeye haogopi mwanajeshi mwanajeshi akimletea anampoteza na usisahau wale wana taratibu zao hawajafanya bila kufuata utaratibu, raia mnawadharau sana na kuwachukulia poa ndio maana wanatia adabu
Shida inakuja kwamba nitajuaje huyu naye bishana naye kama ni Mwanajeshi? Especially kama amevaa kiraia.Kuna mwanajeshi mkubwa nimekutana nae asubuhi hii yupo very frustrated how come raia mnakua na uadui na wanajeshi wa Nchi yenu why muwadharau watu wanaowalinda why mnawaonyesha dharau kiasi cha kuanza kuwaua wakianza kujibu mapigo mtaanza kulialia maana hawashindwi Ila taratibu na kanuni zao zinawabana, sio fair hata kidogo kwanini usimsikilize hata km kablock njia na mmepishana kauli ndio uchukue maamuzi ya kumuua?