Kaya 644 Magomeni kota zagomea kusaini mkataba kununua nyumba

Kaya 644 Magomeni kota zagomea kusaini mkataba kununua nyumba

Nashauri bei iongezwe ili hao masikini wakajengewe nje ya mji huko kimbiji, chekeni mwasonga, kimanzichana ama mohoro.

Hapo mjini wacha wakae matajiri wenye pesa ili mji uzidi kupendeza.

Unamuuziaje mtu city center kwa m50?
Hizo nyimba wapewe wenye uwezo nazo. Wakiwapa watu wasio na uwezo kesho hapatamaniki hapo maana maisha waliyozoea kuishi ya kiswahiliswahili uchafu mtupu.

Hizo nyumba sio za msaada bali biashara, asieweza kulipa aende kuishi kimanzichana.

Huna kipato unataka ukae city center ili usumbue watu? Si uende kijijini ukalime huko

Hakuna kuoneana huruma kwenye biashara.

Wazee wengi wa hapo kota walikuwa watumishi wa serikali ambao maisha yao yote ilikuwa ni kula bata mpaka kiinua mgongo wakalia bata, wachache sana walikuwa na akili ya kujenga.

Kuna mzee mmoja ni jamaa yangu alikuwa mtumishi serikalini ye maisha yake ilikuwa ni bata tu mpaka kiinua mgongo. hakuwahi jenga kwa sababu kota ilikuwa kodi sawa na bure.
Acha ushamba pimbi wewe, Magomeni ni City Center tangu lini?

Au ndio elimu ya MEMKWA?
 
Uondoke kwenye hizo nyumba mapema, hizi kelele zako hazitakisaidia chochote, zama zimebadilika.
Mngeijua mipango ya Mungu juu ya TANZANIA msingeendelea na dhuluma Kwa raia maskini.

Amin nakuambia, upanga utaponyooshwa juu ya nchi,

Mtalia Kwa machozi ya Damu lakini hapatakuwa na REHEMA tena.

Ukimnyanyasa maskini na yatima au mjane, unapambana na Mungu mwenyewe.

Vita hiyo ni kubwa msiingie, ni hatari kwenu na vizazi vijavyo nyuma yenu.

Aaaamen
 
View attachment 2508191

Dar es Salaam. Wakazi 644 wa Magomeni Kota wamegomea kusaini mkataba wa kuanza kununua nyumba hizo, kwa madai kwamba bei waliyoletewa sio rafiki na haiendani na hali ya uchumi wao.

Aidha wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan aingilie kati kwa kuwa bei ya Serikali iliyowasilishwa ni kati ya Sh48 milioni na Sh56 milioni ni kiwango kikubwa wanachochukulia kama mtego wa kutaka kuwafukuza.

Kwa mujibu wa taarifa iliyowasilishwa juzi na serikali kupitia kwa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) ambaye ni msimamizi wa mradi huo, mkataba huo unaanza kutumika kuanzia Februari 8 mwaka huu hivyo Kaya hizo zinapaswa kusaini kwa bei waliyoletewa.

Mwanasheria wa wakazi hao, Twaha Taslima akisoma barua iliyoandikwa na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), Daud Kandoro, kwenda kwa wakazi hao, jana siku ambayo walifanya kikao mkoani Dar es Salaam, alisema bei iliyowasilishwa na serikali awali ilikuwa ndogo.

“Bei ambayo ilipendekezwa na Serikali awali ilikuwa ni Sh12 milioni hadi Sh17 milioni, iliyotolewa Juni mwaka jana, haikukidhi thamani ya eneo, haikujumuisha faida wala huduma za maeneo yanayozunguka makazi hayo ambayo ni jumuishi,” amesema.

Taslima amesema, "Njia mojawapo ya kuchukua ni kuiomba Serikali au kwenda mahakamani. Bei ya chumba na sebule kwa Sh48. 5 milioni na vyumba viwili na sebule Sh56.8 milioni inaweza isiwe rafiki na mnunuzu asimudu," alisema Taslima.

Mwenyekiti wa Wakazi wa Magoneni Koti, George Abel, amesema kwamba bei zilizokokotolewa siyo rafiki kwa wakazi hao, licha ya Serikali kuongezewa mkataba wa kulipa na kuishi kutoka miaka 10 hadi 15.

Amesema kuwa bei hiyo inatakiwa kila mkazi alipie Sh300,000 kwa mwezi hivyo kwa mwaka ni Sh3.6 milioni akisema kiasi hicho ni kikubwa ikizingatiwa baadhi ya wakazi tayari ni wazee na wastaafu.

"Tumepokea barua hii ikiwa zimebaki siku tatu tu kwamba tusaini mkataba wa manunuzi, tukutane tujadiliane kabla ya tarehe 8, Februari, mwaka huu, hizi bei si rafiki haziendani na hali za wakazi walio wengi," amesema Abel.

Mmoja wa wakazi wa nyumba hizo, Salama Goronga (65), amesema barua hiyo iliyosomwa kwao, ikionyesha bei hiyo imewahuzunisha kwa kuwa haiendani na hali zao kimaisha.

"Mimi nina wajukuu, na iliposomwa barua machozi tu yameanza kunitoka hiyo pesa nitatoa wapi, nitaondoka hapa niende wapi," amesema Salama.

Mkazi mwingine, Mwajuma Hamisi (82), amesema ana watoto wawili wa walioolewa ndio wanaomtunza kwa kumnunulia chakula na mahitaji mengine, hivyo itawawia vigumu leo hii waanze kumtafutia kodi mara atakapoondoka kwenye makazi hayo kutokana na kushindwa kulipia.

"TBA wanaotaka hizo nyumba, leo bei hii, kesho hii, tutalipaje mimi mzee, wanitoe hapa si aibu kwangu, mamilioni hayo nitayatoa wapi," amesema Mwajuma.

Alipoulizwa Kaimu Mkurugenzi kutoka idara ya miliki TBA, Said Mndeme amesema “Masuala hayo aulizwe mkuu wa taasisi ndiye anayejua,” amesema.

Mwananchi
wao wana bei gani sasa, mbona ni kama wanataka wapewe bure.
mimi nadhani iangaliwe bei ya soko ya kupanga maeneo hayo wapangishwe
wasikilizwe anyway
 
Ndo nasema jengeni zenu Kwa pesa mlizikopa na mzifanye za biashara mpate faida.

Hizo Zina maelekezo ya marehemu kuwa wapewe hao maskini waliopo kipaumbele.

Sasa kuwapandishia Bei Ili muwafukuze, hizo ni HILA.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
View attachment 2508191

Dar es Salaam. Wakazi 644 wa Magomeni Kota wamegomea kusaini mkataba wa kuanza kununua nyumba hizo, kwa madai kwamba bei waliyoletewa sio rafiki na haiendani na hali ya uchumi wao.

Aidha wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan aingilie kati kwa kuwa bei ya Serikali iliyowasilishwa ni kati ya Sh48 milioni na Sh56 milioni ni kiwango kikubwa wanachochukulia kama mtego wa kutaka kuwafukuza.

Kwa mujibu wa taarifa iliyowasilishwa juzi na serikali kupitia kwa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) ambaye ni msimamizi wa mradi huo, mkataba huo unaanza kutumika kuanzia Februari 8 mwaka huu hivyo Kaya hizo zinapaswa kusaini kwa bei waliyoletewa.

Mwanasheria wa wakazi hao, Twaha Taslima akisoma barua iliyoandikwa na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), Daud Kandoro, kwenda kwa wakazi hao, jana siku ambayo walifanya kikao mkoani Dar es Salaam, alisema bei iliyowasilishwa na serikali awali ilikuwa ndogo.

“Bei ambayo ilipendekezwa na Serikali awali ilikuwa ni Sh12 milioni hadi Sh17 milioni, iliyotolewa Juni mwaka jana, haikukidhi thamani ya eneo, haikujumuisha faida wala huduma za maeneo yanayozunguka makazi hayo ambayo ni jumuishi,” amesema.

Taslima amesema, "Njia mojawapo ya kuchukua ni kuiomba Serikali au kwenda mahakamani. Bei ya chumba na sebule kwa Sh48. 5 milioni na vyumba viwili na sebule Sh56.8 milioni inaweza isiwe rafiki na mnunuzu asimudu," alisema Taslima.

Mwenyekiti wa Wakazi wa Magoneni Koti, George Abel, amesema kwamba bei zilizokokotolewa siyo rafiki kwa wakazi hao, licha ya Serikali kuongezewa mkataba wa kulipa na kuishi kutoka miaka 10 hadi 15.

Amesema kuwa bei hiyo inatakiwa kila mkazi alipie Sh300,000 kwa mwezi hivyo kwa mwaka ni Sh3.6 milioni akisema kiasi hicho ni kikubwa ikizingatiwa baadhi ya wakazi tayari ni wazee na wastaafu.

"Tumepokea barua hii ikiwa zimebaki siku tatu tu kwamba tusaini mkataba wa manunuzi, tukutane tujadiliane kabla ya tarehe 8, Februari, mwaka huu, hizi bei si rafiki haziendani na hali za wakazi walio wengi," amesema Abel.

Mmoja wa wakazi wa nyumba hizo, Salama Goronga (65), amesema barua hiyo iliyosomwa kwao, ikionyesha bei hiyo imewahuzunisha kwa kuwa haiendani na hali zao kimaisha.

"Mimi nina wajukuu, na iliposomwa barua machozi tu yameanza kunitoka hiyo pesa nitatoa wapi, nitaondoka hapa niende wapi," amesema Salama.

Mkazi mwingine, Mwajuma Hamisi (82), amesema ana watoto wawili wa walioolewa ndio wanaomtunza kwa kumnunulia chakula na mahitaji mengine, hivyo itawawia vigumu leo hii waanze kumtafutia kodi mara atakapoondoka kwenye makazi hayo kutokana na kushindwa kulipia.

"TBA wanaotaka hizo nyumba, leo bei hii, kesho hii, tutalipaje mimi mzee, wanitoe hapa si aibu kwangu, mamilioni hayo nitayatoa wapi," amesema Mwajuma.

Alipoulizwa Kaimu Mkurugenzi kutoka idara ya miliki TBA, Said Mndeme amesema “Masuala hayo aulizwe mkuu wa taasisi ndiye anayejua,” amesema.

Mwananchi
Poleni San wakza Anza kukumbia mji alekeeni kibaha huko ndani Ni Bora kuliko kuishi hapo magomeni pisheni vijan wauuza unga waingie hapo
 
Siyo nyumba, ni apartment, kuna tofauti kati ya nyumba na apartment.
Hamna tofauti. Labda useme condominium.

Pale ni karibu na mjini mtu hawezi kuuziwa bei ya chanika. Maana hata wakipewa kwa millioni 12, wataenda kuvuliwa na matajiri kwa ela ndefu tu. Kama mtu anaona hiyo hela ni kubwa ahamishiwe sehemu ambayo ata afford. Simple
 
Wote hao waarabu, wapemba na wahindi ni watanzania na wana haki sawa sawa na watanzania wengine, tusipaguane kwa rangi ya ngozi zetu. Kama kwa hulka na tamaduni zao wanapenda kukaa katikati ya miji, kubanana maghorofani na wako tayari kulipa gharama zote za kuweza kumiliki hizo apartment basi tuwaheshimu kwa hulka walioichagua.
Sahihi...umeona juzi kuna mdada kutoka bara,ndizi zake za biashara zimemwagwa?...na ni marufuku kuingiza ndizi Zenj?...huyu sio mtanzania?.
 
Sahihi...umeona juzi kuna mdada kutoka bara,ndizi zake za biashara zimemwagwa?...na ni marufuku kuingiza ndizi Zenj?...huyu sio mtanzania?.
Umejenga hoja muhimu lakini iko nje ya mjadala huu. Lakini nitakujibu hapa hapa.

Kikatiba muungano wetu una shida kubwa, na mara zote unambagua mtanganyika anapokuwa Zanzibar. Huenda kilichomkuta huyo mtu mpaka ndizi zake kutupwa ni matokeo ya muungano mbovu.

Upande wa pili, huenda mhusika alileta ndizi kinyume na utaratibu, hivyo sheria ikachukua mkondo wake!

Mwisho huenda mhusika amefanyiwa hayo yote kwa kubaguliwa kwa kuwa ni mtu kutoka bara, suluhisho ni kuupinga huo ubaguzi kwa nguvu zote na sio kulipiza ubaguzi kwa watu wengine.
 
Hali ya kiuchumi ya wapangaji hao ukilinganisha na mwaka 2015 imeporomoka mara dufu.

Hizo gharama walizoomba wauziwe ml 17 zilitakiwa zishuke Hadi ml 12 na walipe Kwa miaka Hadi 20.

Narudia, mkitaka faida, Serikali haipo Kwa ajili ya kumake PROFIT, IPO kusaidia raia.

Jengeni nyumba zenu binafsi ndo mpange faida,

Ukipewa nafasi ktk kuutumikia Umma wa Watanzania, tanguliza maslah ya umma mbele.

Aaamen
Hujui lolote kuhusu uchumi bora ukae kimya!
 
Embu jamani tuwe wa kweli na halisi. Apartment za mijijini, zilizojengwa kisasa tena muundo wa ghorofa ni makazi yanayowafaa watu wa kipato cha juu na kipato cha kati, maskini haziwafai.
Kwanini? Sababu ziko hapa.
1. Unahitaji kulipa pesa nyingi zaidi kuweza kupangisha au kuzinunua.

2. Zimewekwa kwenye maeneo strategic kuwalenga watumishi na wafanyabiashara wanaofanya mishe miche zao maeneo karibu au kuelekea katikati ya miji.

3. Kuna gharama nyingine kadhaa za kijumuiya (service charges) zinamuhitaji mhusika kuzilipa kila mwezi, kama ulinzi, Parking, Usafi, Umeme, maji nk. Na mtanzania maskini hataweza daima.

4. Kanuni na masharti kibao ya kulinda ustaarabu wa kuweza kuishi kwenye jumuiya yanaorodheshwa na huwa ni kikwazo kwa jamii za maisha ya kimaskini.
 
View attachment 2508191

Dar es Salaam. Wakazi 644 wa Magomeni Kota wamegomea kusaini mkataba wa kuanza kununua nyumba hizo, kwa madai kwamba bei waliyoletewa sio rafiki na haiendani na hali ya uchumi wao.

Aidha wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan aingilie kati kwa kuwa bei ya Serikali iliyowasilishwa ni kati ya Sh48 milioni na Sh56 milioni ni kiwango kikubwa wanachochukulia kama mtego wa kutaka kuwafukuza.

Kwa mujibu wa taarifa iliyowasilishwa juzi na serikali kupitia kwa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) ambaye ni msimamizi wa mradi huo, mkataba huo unaanza kutumika kuanzia Februari 8 mwaka huu hivyo Kaya hizo zinapaswa kusaini kwa bei waliyoletewa.

Mwanasheria wa wakazi hao, Twaha Taslima akisoma barua iliyoandikwa na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), Daud Kandoro, kwenda kwa wakazi hao, jana siku ambayo walifanya kikao mkoani Dar es Salaam, alisema bei iliyowasilishwa na serikali awali ilikuwa ndogo.

“Bei ambayo ilipendekezwa na Serikali awali ilikuwa ni Sh12 milioni hadi Sh17 milioni, iliyotolewa Juni mwaka jana, haikukidhi thamani ya eneo, haikujumuisha faida wala huduma za maeneo yanayozunguka makazi hayo ambayo ni jumuishi,” amesema.

Taslima amesema, "Njia mojawapo ya kuchukua ni kuiomba Serikali au kwenda mahakamani. Bei ya chumba na sebule kwa Sh48. 5 milioni na vyumba viwili na sebule Sh56.8 milioni inaweza isiwe rafiki na mnunuzu asimudu," alisema Taslima.

Mwenyekiti wa Wakazi wa Magoneni Koti, George Abel, amesema kwamba bei zilizokokotolewa siyo rafiki kwa wakazi hao, licha ya Serikali kuongezewa mkataba wa kulipa na kuishi kutoka miaka 10 hadi 15.

Amesema kuwa bei hiyo inatakiwa kila mkazi alipie Sh300,000 kwa mwezi hivyo kwa mwaka ni Sh3.6 milioni akisema kiasi hicho ni kikubwa ikizingatiwa baadhi ya wakazi tayari ni wazee na wastaafu.

"Tumepokea barua hii ikiwa zimebaki siku tatu tu kwamba tusaini mkataba wa manunuzi, tukutane tujadiliane kabla ya tarehe 8, Februari, mwaka huu, hizi bei si rafiki haziendani na hali za wakazi walio wengi," amesema Abel.

Mmoja wa wakazi wa nyumba hizo, Salama Goronga (65), amesema barua hiyo iliyosomwa kwao, ikionyesha bei hiyo imewahuzunisha kwa kuwa haiendani na hali zao kimaisha.

"Mimi nina wajukuu, na iliposomwa barua machozi tu yameanza kunitoka hiyo pesa nitatoa wapi, nitaondoka hapa niende wapi," amesema Salama.

Mkazi mwingine, Mwajuma Hamisi (82), amesema ana watoto wawili wa walioolewa ndio wanaomtunza kwa kumnunulia chakula na mahitaji mengine, hivyo itawawia vigumu leo hii waanze kumtafutia kodi mara atakapoondoka kwenye makazi hayo kutokana na kushindwa kulipia.

"TBA wanaotaka hizo nyumba, leo bei hii, kesho hii, tutalipaje mimi mzee, wanitoe hapa si aibu kwangu, mamilioni hayo nitayatoa wapi," amesema Mwajuma.

Alipoulizwa Kaimu Mkurugenzi kutoka idara ya miliki TBA, Said Mndeme amesema “Masuala hayo aulizwe mkuu wa taasisi ndiye anayejua,” amesema.

Mwananchi
Hili swala la nyumba hizi Serikali wasipokuwa makini litakuja kuwachafua; na hasa katika kipindi hiki ambacho tunaelekea uchaguzi mkuu, ukizingatia kuwa muasisi wa wazo hilo hayupo tena, ameshatangulia mbele ya haki.

Hawa watu walikuwa na makazi yao pale ambayo yalibomolewa na hatimaye nyumba hizo kujengwa.

Ushauri wangu katika hili ni kwamba; Serikali wanatakiwa aidha wa-subsidize kwenye bei hiyo kwa kiasi kikubwa ili wakazi hao waweze kuzinunua, au wakazi hao wapewe nyumba hizo bure.

Setikali wasipofanya hivyo kitakachokuja kuibuka huko mbele ya safari ni maneno kwamba JPM aliwajali na sasa hayupo wanaanza kunyanyasika,; na haya maneno hayatatoka kwa wakazi hao, ila kwa watu wengine ambao Serikali ya CCM inawajua pia. Na kama itakuja kupelekea maneno hayo yakatamkwa, watamkaji lazima wataonekana wako sahihi kwa kila mtu atakayebahatika kuwasikia wanayatamaka

Serikali inaweza kuepusha tatizo hili kwa kuwapa wakazi hao nyumba hizo BURE kama kitendo kimojawapo cha kumuenzi muasisi wa wazo la wakazi hao kujengewa nyumba hizo, Hayati JPM
Ikiwezekana wawape BURE, hayupo mtanzania atakayelalamika kwa wakazi hao kupewa BURE nyumba hizo.
 
Hutaki kuingia kwenye mkataba unafukuzwa tu, sisi tuko nje hapo tunazitamani nyumba hizo.

JPM alilazimisha zijengwe kisa tu Manji alikuwa na Nia ya kuweka shopping mall Kali hapo, ili kumkomoa, akasema wananchi hao wajengewe nyumba, Sasa tangu lini serikali inajengea wananchi nyumba?
Nakubaliana na wewe kwa 100%
 
Hili swala la nyumba hizi Serikali wasipokuwa makini litakuja kuwachafua; na hasa katika kipindi hiki ambacho tunaelekea uchaguzi mkuu, ukizingatia kuwa muasisi wa wazo hilo hayupo tena, ameshatangulia mbele ya haki.

Hawa watu walikuwa na makazi yao pale ambayo yalibomolewa na hatimaye nyumba hizo kujengwa.

Ushauri wangu katika hili ni kwamba; Serikali wanatakiwa aidha wa-subsidize kwenye bei hiyo kwa kiasi kikubwa ili wakazi hao waweze kuzinunua, au wakazi hao wapewe nyumba hizo bure.

Setikali wasipofanya hivyo kitakachokuja kuibuka huko mbele ya safari ni maneno kwamba JPM aliwajali na sasa hayupo wanaanza kunyanyasika,; na haya maneno hayatatoka kwa wakazi hao, ila kwa watu wengine ambao Serikali ya CCM inawajua pia. Na kama itakuja kupelekea maneno hayo yakatamkwa, watamkaji lazima wataonekana wako sahihi kwa kila mtu atakayebahatika kuwasikia wanayatamaka

Serikali inaweza kuepusha tatizo hili kwa kuwapa wakazi hao nyumba hizo BURE kama kitendo kimojawapo cha kumuenzi muasisi wa wazo la wakazi hao kujengewa nyumba hizo, Hayati JPM
Ikiwezekana wawape BURE, hayupo mtanzania atakayelalamika kwa wakazi hao kupewa BURE nyumba hizo.
Ndugu

JPM aliwapa wakae bure miaka 5 baada ya hapo waanze kulipa, hao waliokaa hapo wote ni wenye akili timamu na wangekuwa na maswali wangeuliza kipindi hicho

Hili swala la kiuchumi sio swala la siasa. Hao wapangaji hawana uwezo wa kuifanya CCM isishinde

Kama JK aliwavimbia walimu waliotapakaa nchi nzima na kukataa kura zao na bado akashinda hao wapangaji 10 ndio wataweza?
 
View attachment 2508191

Dar es Salaam. Wakazi 644 wa Magomeni Kota wamegomea kusaini mkataba wa kuanza kununua nyumba hizo, kwa madai kwamba bei waliyoletewa sio rafiki na haiendani na hali ya uchumi wao.

Aidha wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan aingilie kati kwa kuwa bei ya Serikali iliyowasilishwa ni kati ya Sh48 milioni na Sh56 milioni ni kiwango kikubwa wanachochukulia kama mtego wa kutaka kuwafukuza.

Kwa mujibu wa taarifa iliyowasilishwa juzi na serikali kupitia kwa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) ambaye ni msimamizi wa mradi huo, mkataba huo unaanza kutumika kuanzia Februari 8 mwaka huu hivyo Kaya hizo zinapaswa kusaini kwa bei waliyoletewa.

Mwanasheria wa wakazi hao, Twaha Taslima akisoma barua iliyoandikwa na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), Daud Kandoro, kwenda kwa wakazi hao, jana siku ambayo walifanya kikao mkoani Dar es Salaam, alisema bei iliyowasilishwa na serikali awali ilikuwa ndogo.

“Bei ambayo ilipendekezwa na Serikali awali ilikuwa ni Sh12 milioni hadi Sh17 milioni, iliyotolewa Juni mwaka jana, haikukidhi thamani ya eneo, haikujumuisha faida wala huduma za maeneo yanayozunguka makazi hayo ambayo ni jumuishi,” amesema.

Taslima amesema, "Njia mojawapo ya kuchukua ni kuiomba Serikali au kwenda mahakamani. Bei ya chumba na sebule kwa Sh48. 5 milioni na vyumba viwili na sebule Sh56.8 milioni inaweza isiwe rafiki na mnunuzu asimudu," alisema Taslima.

Mwenyekiti wa Wakazi wa Magoneni Koti, George Abel, amesema kwamba bei zilizokokotolewa siyo rafiki kwa wakazi hao, licha ya Serikali kuongezewa mkataba wa kulipa na kuishi kutoka miaka 10 hadi 15.

Amesema kuwa bei hiyo inatakiwa kila mkazi alipie Sh300,000 kwa mwezi hivyo kwa mwaka ni Sh3.6 milioni akisema kiasi hicho ni kikubwa ikizingatiwa baadhi ya wakazi tayari ni wazee na wastaafu.

"Tumepokea barua hii ikiwa zimebaki siku tatu tu kwamba tusaini mkataba wa manunuzi, tukutane tujadiliane kabla ya tarehe 8, Februari, mwaka huu, hizi bei si rafiki haziendani na hali za wakazi walio wengi," amesema Abel.

Mmoja wa wakazi wa nyumba hizo, Salama Goronga (65), amesema barua hiyo iliyosomwa kwao, ikionyesha bei hiyo imewahuzunisha kwa kuwa haiendani na hali zao kimaisha.

"Mimi nina wajukuu, na iliposomwa barua machozi tu yameanza kunitoka hiyo pesa nitatoa wapi, nitaondoka hapa niende wapi," amesema Salama.

Mkazi mwingine, Mwajuma Hamisi (82), amesema ana watoto wawili wa walioolewa ndio wanaomtunza kwa kumnunulia chakula na mahitaji mengine, hivyo itawawia vigumu leo hii waanze kumtafutia kodi mara atakapoondoka kwenye makazi hayo kutokana na kushindwa kulipia.

"TBA wanaotaka hizo nyumba, leo bei hii, kesho hii, tutalipaje mimi mzee, wanitoe hapa si aibu kwangu, mamilioni hayo nitayatoa wapi," amesema Mwajuma.

Alipoulizwa Kaimu Mkurugenzi kutoka idara ya miliki TBA, Said Mndeme amesema “Masuala hayo aulizwe mkuu wa taasisi ndiye anayejua,” amesema.

Mwananchi
Habari wana JF.
Kwenye siku ya uzinduzi wa hizo nyumba nilibahatika kusikiliza hotuba ya Mh. Rais, ya Wakazi husika na ya Mtendaji wa wakala (TBA) hivyo nadhani kuna kitu muhimu hakitajwi kabisa.

Mh. Rais aliwaambia hao wakazi kwamba watakaa kwenye hizo nyumba kwa kipindi fulani bila kulipa kodi kama alivyokuwa amewaahidi hayati JPM. Zaidi ya hapo aliridhia ombi lao la kuwa Mpangaji mnunuzi kwa kufuata mwongozo utakaotolewa na Wakala wa Majengo.

Kwa Muhtadha tajwa hapo juu ni dhahiri wahandishi wa habari hawajafanya "Homework" yao vizuri. Kwa kufuata maagizo ya Rais siku ya uzinduzi, hao wakazi wangeliweza kuendelea kuwa wapangaji wa kawaida (kuanza kulipa Kodi baada ya "grace period") au kuwa wapangaji wanunuzi (kuanza kulipa deni la ununuzi kidogo kidogo kuanzia sasa).

Kwa maoni yangu Serikali iongee na Wakala kuhusu bei zinazolalamikiwa LAKINI iwe makini na watu wasiohusika wanaweza kuwatumia hao wakazi kuzipata hizo nyumba kwa bei ya mtelemko.

Ahsante
 
Dunia nzima masikini hatuishi Downtown kwenye makazi rasmi yenye hadhi

wawape fursa ya kuuza hizo nyumba, watakuja Wahindi watanunua kwa bei ya juu na watabaki na chenji ya kwenda kujenga Majohe baada ya kulipia TBA
Mkuu waziuze hizo nyumba kwani za kwao?

Wewe leo umpangishe mpangaji uende ulaya ukakae huko halafu unarudi baada ya miaka 20 unataka kupaendeleza anaanza kulalamika. Unajenga jengo jipya unamuweka akae buree kwa mwaka mzima. ukifika wakati unamtoa anaanza kulialia, niambie utaacha kuwaita Majembe Auction?
 
Magufuli hakusema wakazi wa magomeni wakae bure au wajengewe bure.

Na ukweli halisi ni kuwa, sio kila mkazi wa hapo magomeni ni maskini, na Tz ina mamilioni ya maskini kuzidi 'maskini' wa magomeni kota ambao hawana hata uhakika wa chakula sembuse nyumba.

Hivyo umaskini usitumike hapa kama ndio sababu ya kuzing'ang'ania hizo nyumba.
Kwanza hao wanaokaa hapo watakuwa ni wajukuu

Wakienda kuchunguza watakuta hao sio waliopangishwa na serikali miaka hiyo ya nyuma

Walipe kodi au wahame
 
Back
Top Bottom