muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Kwa mbali naona wapemba,waarabu na wahindi watazinunua hizo!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magofu gani wakati polisi wanaishi siku hizi?ila ninachowaonea huruma, watakaokaa mle, wajue kuna service charge (umeme, maji, majitaka,usafi). ama la, yatakuwa magofu kama ya nyumba za polisi muda si mrefu.
Nakumbuka kama aliwapa miaka kadhaa ya kukaa bure halafu baadae waanze kulipa kodiTunaongelea Magomeni .
Maelekezo ya aliyejenga nyumba hizo Magomeni alisemaje?
Nimeelewa, shida ya viongozi wenu ni kuleta siasa kila mahali, hilo la kukaa miaka 3 bure, kuwapa kodi ya miaka mi3 ni siasa tu!Walipewa Kodi miaka 3 wakapange kwengine,
Wakaambiwa watarudi wakae bure miaka 3.
Kwa hili nawalaumu serikali.
Inakuwaje mpangaji wa eneo la serikali wageuzwe kama wamiliki wa eneo?
Hao wakazi wa magomeni kota ni wapangaji tu.
walipaswa wapewe notice ya kuondoka ,,
Kama watashindwa kulipa gharama husika.
A tenant will always be a tenant.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
😐😐😐😐Asilimia kubwa wanaokaa hapo kota
Hawazimudu nyumba hizo,service charge to ya hapo wanashindwa
Wawapishe tu wenye kisu wakae hapo
Ova
Ni Kweli, Chumba kimoja na sebule mkataba inasoma ml 50 Kwa miaka 20,Nakumbuka kama aliwapa miaka kadhaa ya kukaa bure halafu baadae waanze kulipa kodi
Acheni roho mbaya!
Malya?Roho mbaya ni wale waliompiga Lissu risasi
Tunaongelea Magomeni .
Maelekezo ya aliyejenga nyumba hizo Magomeni alisemaje?
Hujui pia hao wananchi waliopanga ndio hao hao waliozijenga Kwa kulipa KODI zao Serikalini?Hizo hela za kujengea hizo nyumba alizitoa mfukoni kwake au za wananchi?
Wote hao waarabu, wapemba na wahindi ni watanzania na wana haki sawa sawa na watanzania wengine, tusipaguane kwa rangi ya ngozi zetu. Kama kwa hulka na tamaduni zao wanapenda kukaa katikati ya miji, kubanana maghorofani na wako tayari kulipa gharama zote za kuweza kumiliki hizo apartment basi tuwaheshimu kwa hulka walioichagua.Kwa mbali naona wapemba,waarabu na wahindi watazinunua hizo!.
Na hao wanaoutaka gharama ishuke ni Wananchi pia, walishiriki kuzijenga kupitia KODI zao.Nyumba zimejengwa kwa kodi za wananchi
Ndo nasema jengeni zenu Kwa pesa mlizikopa na mzifanye za biashara mpate faida.
Hizo Zina maelekezo ya marehemu kuwa wapewe hao maskini waliopo kipaumbele.
Sasa kuwapandishia Bei Ili muwafukuze, hizo ni HILA.
Hakuna First class citizen,Wote hao waarabu, wapemba na wahindi ni watanzania na wana haki sawa sawa na watanzania wengine, tusipaguane kwa rangi ya ngozi zetu. Kama kwa hulka na tamaduni zao wanapenda kukaa katikati ya miji, kubanana maghorofani na wako tayari kulipa gharama zote za kuweza kumiliki hizo apartment basi tuwaheshimu kwa hulka walioichagua.
Hali ya kiuchumi ya wapangaji hao ukilinganisha na mwaka 2015 imeporomoka mara dufu.
Hizo gharama walizoomba wauziwe ml 17 zilitakiwa zishuke Hadi ml 12 na walipe Kwa miaka Hadi 20.
Narudia, mkitaka faida, Serikali haipo Kwa ajili ya kumake PROFIT, IPO kusaidia raia.
Jengeni nyumba zenu binafsi ndo mpange faida,
Ukipewa nafasi ktk kuutumikia Umma wa Watanzania, tanguliza maslah ya umma mbele.
Aaamen
Hao wananchi wapangaji wako wangapi na wamelipa kodi kiasi gani kuchangia ujenzi wa hizo nyumba, na sisi wananchi tusio wapangaji tuko wangapi na tumelipa kodi kiasi gani kuchangia ujenzi wa hayo maghorofa.Hujui pia hao wananchi waliopanga ndio hao hao waliozijenga Kwa kulipa KODI zao Serikalini?
Lengo la hayo makazi ni biashara au huduma?Hapa ilihitajika elimu kwa umma kabla ya kuwasainisha.
P
Mjadala ufanyike wa wazi,Hao wananchi wapangaji wako wangapi na wamelipa kodi kiasi gani kuchangia ujenzi wa hizo nyumba, na sisi wananchi tusio wapangaji tuko wangapi na tumelipa kodi kiasi gani kuchangia ujenzi wa hayo maghorofa.