Kaya 644 Magomeni kota zagomea kusaini mkataba kununua nyumba

Kaya 644 Magomeni kota zagomea kusaini mkataba kununua nyumba

Nyumba zilizojengwa kwa kodi ya wananchi wote ina laana kutoka kwa nani. Wale waliambiwa wakae miaka 5 bure baada ya hiyo miaka kuisha mi nafikiri serikali ingetangaza kuziuza zile nyumba kwa bei ya soko. Mtanzania yoyote mwenye uwezo apewe fursa wakiwemo na walioko ndani ya nyumba husika. Zile ni kodi zetu watu wasitake dezo kisa wanajua kuongea na kulalamika. Hii serikali iwe serious na mambo yake siyo kila malamiko ni ya kusikiliza.
Wanawekea mkataba mapema maana wengine hawalipi service charge
 
Kumbe ni wapuuzi kiasi hicho,wao wapewe ni nani,kwa nini watanzania wengine wasipewe kama wao kumbe ni wapangaji tu?

Serikali isimamie hapo hapo,haiwezekani wapewe nyumba bure kwa jasho la watanzania wote,hata sisi tunazihitaji pia.

Kama wamepewa favor ya kuuziwa wao kwanza kama wapangaji na hawataki kuitumia,waziache nyumba zetu
Wao ni wapangaji tu,
Tena walilipwa na pesa za kwenda kupanga nyumba miaka 3.

Tatizo ni kwamba wamevamia wajanja wa mjini na kuwaweka watu pandikizi humo ili baadae wamiliki hizo Kota.

Mimi nilishafuatwa na jamaa kwamba Kuna mtu anaandikisha wakazi wa Kota ,
Na anahitaji 1 million aniweke kwenye group la wakazi.

Wamedanganyana kwamba watapewa bure,,
sasa Kuna watu humo wanaugulia maumivu ya 1 million za kuhonga.

Lengo Lao ni kuzipata kwa rahisi ili na wao waziuze kwa wahindi kama ilivyokuwa kwa NHC Upanga,kkoo,Posta,Fire,keko,nk..

Serikali isimamie kwenye bei hiyo,,isipunguwe hata thumni.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo wanataka wauziwe kwa milioni 12? hawako serious hawa lakini inawezekana ni maskini sana, anyway serikali iangalie namna ya kuwasaidia ili ijitoe na ijifunze misaada ya namna hii ya kuwajengea wananchi nyumba ni mizigo tuu na haina faida yeyote, wajikite kuweka sera za kusaidia watu kujijengea nyumba zao kama upimaji mzuri wa viwanja na mikopo rahisi
 
Asilimia kubwa wanaokaa hapo kota
Hawazimudu nyumba hizo,service charge to ya hapo wanashindwa
Wawapishe tu wenye kisu wakae hapo

Ova
Wengi wameshawapangisha watu wanakula pesa,,
90% hawakai humo,,
Ni wakazi hewa ila wamewapangisha watu humo na wanapokea noti .

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo wanataka wauziwe kwa milioni 12? hawako serious hawa lakini inawezekana ni maskini sana, anyway serikali iangalie namna ya kuwasaidia ili ijitoe na ijifunze misaada ya namna hii ya kuwajengea wananchi nyumba ni mizigo tuu na haina faida yeyote, wajikite kuweka sera za kusaidia watu kujijengea nyumba zao kama upimaji mzuri wa viwanja na mikopo rahisi
Washasaidiwa mara ya Kwanza kwa kupewa pesa za Kodi miaka 3.,
Na wakae miaka 3 bure humo ndani..

Serikali iwasaidie nn tena?



Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Washasaidiwa mara ya Kwanza kwa kupewa pesa za Kodi miaka 3.,
Na wakae miaka 3 bure humo ndani..

Serikali iwasaidie nn tena?



Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Tena serikali iziangalie zile kota za manyanya ,mijitu pale inakaa bure
Wengi wao,
Waje na mradi kama wa magomeni
Wazipige chini zote zile uchafu

Ova
 
I read sense! Mtu anataka nyumba iliyopo magomeni auziwe kwa 17 milion? Seriously?? Pale si karibu kabisa na mjini. Hata mpiji tu hupati nyumba kwa milioni 10 sembuse magomeni. Wajengewe chanika. Simple
Wajengewe kwa mkataba upi?

Hivi kama serikali ilivunja nyumba za watu bila malipo,

Hili la wapangaji hewa litawashinda?

Hao walikuwa wapangaji sio wenye maeneo wala ardhi haikuwa Yao,
Hawakuwahi kulipa Kodi ya ardhi wala jengo hapo Kota.
Sasa wanachodai nn?

Wakati mwingiine upole ukizidi Sana unakuwa ni tatizo.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Tena serikali iziangalie zile kota za manyanya ,mijitu pale inakaa bure
Wengi wao,
Waje na mradi kama wa magomeni
Wazipige chini zote zile uchafu

Ova
Kabisa,,

magomeni kota walikuwa wanakaa bure miaka Zaidi ya 30,
Walipoambiwa wahame wakasema hawana pa kwenda,,
Serikali ikawalipa pesa za Kodi.,
Kuna watu nawajuwa walishajenga maeneo Yao sehemu nyingine muda mrefu na pale waliweka watu kama walinzi kulinda Kota zao walizokuwa wanaishi..

Na wanapata stahiki zote kama wapangaji wa Kota wakati kiuhalisia hawaishi hapo ,,

Serikali ichukuwe hatua kwenye Kota zote wanazoishi wapangaji wake.
%100 wanaishi bure bila malipo yeyote,

Mwisho wa siku kwenye kuhama linakuwa tatizo Kama Kota magomeni.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Nmekuuliza swali badala ya kujibu unaleta porojo,inaonekan huna hoja ya maan,ngoja nikuache tu
Namimi nakuuliza kama alijenga kwa pesa za wanainchi,
Hao viongozi wengine ambao hawakujenga hizo Kota ,
Kipindi chao kulikuwa hakuna pesa za wanainchi?.
.uongozi ni kipaji mkuu.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Nyumba nzuri lakini hapo mbele mvua ikinyesha hilo tope si litaishia lote ndani, hakuna maua wala miti, tujifunze ujenzi wa nyumba na mazingira yake pia muhimu sio bati na milango tuu
 
Tukiondoa hili swala la kubeba umasikini nchi yetu itafika mbali.

Maana serikali ingejenga majengo mengi na kupangisha watu
 
Waelimishwe tu; ukichukua mkopo bank leo, labda milioni 15 na unataka urudishe baada ya miaka 6, utajikuta unalipa milioni 25+; kama wanataka wauziwe kwa bei nafuu, walipe cash.
 
Back
Top Bottom