Shida wanazo watu tu wenyewe zaidi kuliko hizo dini, mfano wewe ungekuwa rastafarian kwa ishu kama hii ya ijabu mtazamo wako ungekuwa ni upi?Ila hizi Dini zina shida aiseeee. Nadhani rastafarian ni Imani mzuri Zaidi
Ila mkuu mtoto hawezi kukwepa athari za mitazamo ya wazazi wake ndio wapo, lakini pia mavazi ni mapambo pia sio wote wenye kuvaa kwa sababu za kiimani..Lakini ukiangalia ni ujinga kuvaa hijab, unakuta katoto ka miaka 3 nako kanavalishwa magunia sasa sijuwi ili iweje.
Jina ni jina tu mkuu ujiite la Babu au la nani, wanaigeria wenzetu wanatumia majina yao ya asili ila unakuta uzungu mwingi na dini za ukristo na uislamu zimewatawala pamoja na kuwa na majina yao ya asili. Kwahiyo vitu vyengine ni vidogo tusivikuze.ukijiita jina la babu yako wanasema laana ila majina ya wageni ndo yana baraka ushenzi mtupu
Wako sahihi sana dini isichanganywe na taaluma ni kuwachanganya watotoView attachment 2791064
Kazakhstan, nchi ambayo 70% ya raia wake ni waislam, imepiga marufuku hijab mashuleni kwa walimu na wanafunzi nchini humo.
Raia Tokayev wa nchi hiyo alinukuliwa akisema ''Kazakhstan ni nchi isiyo na dini. Shule ni mahali pa kusoma na sio ku practice mambo ya dini. Tuache watoto wasome, watajiamulia mambo yao wenyewe watakapokuwa wakubwa.''
Inaripotiwa kuwa karibu wasichana 150 wameacha shule katika Jimbo moja nchini humo kutokana na katazo hilo.
DW
Tatizo ni aina la vazi au ni vazi la dini? Sijaelewa hijab inamkera vp mtu mwengine?Ccm ni [emoji117][emoji90] wao wanaona sawa kuleta mavazi ya dini kwenye mashule ya serikali
Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
Shuleni unapangiwa kuvaa kibukta wengine hawapendi ila hakuna jinsi bora iwe unachagua mwenyewe uvae bukta au suruali.NA NGUO WAAMBIE WASIVAE.
MPAKA WAKIKUA WATAJIAMULIA KUWA WAVAE AU WAENDELEE KUTOVAA.
ndio waunge mkono maana ndio uongozi wa kiroho ni lazima wachumbiwe na waolewe walambwe uchogoTatizo sio nchi. Quran inasemaje? Hata Vatican imeruhusu ushoga. Jee wakiristo waunge mkono?
Hamna kitu hapo, hayo mavazi ni ya asili kwa watu wa mashariki ya kati lakini kwa sisi waafrika sio utamaduni wetu hata huko mashariki ya kati kuna wengine ktk nchi kama Misri, Lebanon na Israel hawazitumii.Umeandika nini? Mbona wazee wa wakiristo wanawake hawatembei wakiwa na vimini? Wanajistiri tena kwa kanga na hijab. Hijab ni heshima; mtoto mdogo wa kiislam anaheshima
Ingekuwa tatizo ni kero tu ingekuwa siyo jambo kubwa ila tatizo inaleta udini mashuleni ...kumbuka hivi sasa walimu wameanza kushutumiwa kuwakagua wanafunzi nywele kisa hijabu..kesi zimekuwa zikiusishwa na dini ...wakati mahospitalini wanawake wanavuliwa nguo zote. Hivyo udini umeanza kujengeka mashuleni tofauti na zamani tulipo kuwa tunasoma sisi wanafunzi wote walikuwa sawa ...ni sawa sawa uruhusu wanafunzi waislamu kuvaa kanzu mashuleni wakati wasio waislamu wanavaa unifomu...kumbuka udini una tabia ya kujengeka polepole na kuleta madhara baadaeTatizo ni aina la vazi au ni vazi la dini? Sijaelewa hijab inamkera vp mtu mwengine?
Ndio hivyo na hawawezi kukubali kuacha kutumia majina yao kwa kisingizio cha dini ila ni waafrika tu ndio malimbukeni wa kurubuniwa.Mambo mengine tunayakuza tu tu mkuu, Unataka kuniambia hizo jamii zengine kama wazungu na huko Asia kila jamii inaabudu kwa tamaduni zao?
Bado sijaona tatizo tunatakiwa tuishi kwa kuvumiliana kwa yale yenye kuvumilika, sioni shida kwa mwanafunzi kuvaa hijabu hasa ikiwa kwa hiyari yake muhimu usafi uzingatiwe. Ukitaka kusema hijabu ni udini na kutaka kuzuia udini shuleni basi hata kuvaa rozari itabidi izuiliwe.Ingekuwa tatizo ni kero tu ingekuwa siyo jambo kubwa ila tatizo inaleta udini mashuleni ...kumbuka hivi sasa walimu wameanza kushutumiwa kuwakagua wanafunzi nywele kisa hijabu..kesi zimekuwa zikiusishwa na dini ...wakati mahospitalini wanawake wanavuliwa nguo zote. Hivyo udini umeanza kujengeka mashuleni tofauti na zamani tulipo kuwa tunasoma sisi wanafunzi wote walikuwa sawa ...ni sawa sawa uruhusu wanafunzi waislamu kuvaa kanzu mashuleni wakati wasio waislamu wanavaa unifomu...kumbuka udini una tabia ya kujengeka polepole na kuleta madhara baadae
Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
Naunga mkono hoja 🤝💯Huko Asia ya kati wameona ni upumbavu kuabudu utamaduni wa kiarabu wakati wana utamaduni wao.
Hayo mambo ya kipumbavu ya kuabudu tamaduni za kigeni tuachiwe sisi waafrika ndio watu wasiojitambua ambao hadi majina ya kigeni tunaamini ni sehemu ya ibada. Waafrika bure kabisa.
Unadhani kuwa wao wanazingatia hayo masuala ya imani zao na majina yao kama ambavyo wewe unaona? Nimetoa mfano wa Nigeria ambao ni waafrika hutumia sana majina yao ya asili ambapo wewe unaweza kuona wanazingatia hasa hilo jambo ila ukiangalia maisha yao ya uzungu mwingi na imani za ukristo na uislamu ndio zilizo tawala sasa huko kuzingatia majina ya asili kuna faida gani?Ndio hivyo na hawawezi kukubali kuacha kutumia majina yao kwa kisingizio cha dini ila ni waafrika tu ndio malimbukeni wa kurubuniwa.
Hivi vatcan ni makao makuu ya ukristo au ni makao makuu ya wakatoliki!?Tatizo sio nchi. Quran inasemaje? Hata Vatican imeruhusu ushoga. Jee wakiristo waunge mkono?
Naunga mkono hoja 🤝💯Hii ya kuvaaa hzo nguo haikupaswa kuwa sheria, yaan kila mtu awe free anatakae avae asietaka asivae mambo ya kupangiana sheria ndo ufala
Au usivae kabisa nguoShuleni unapangiwa kuvaa kibukta wengine hawapendi ila hakuna jinsi bora iwe unachagua mwenyewe uvae bukta au suruali.
Vatican ya wap ina ushoga? [emoji23][emoji23]Tatizo sio nchi. Quran inasemaje? Hata Vatican imeruhusu ushoga. Jee wakiristo waunge mkono?