Kazi bado ngumu: Mawakili wa Mbowe waweka pingamizi jipya, Mahakama yakubali kulisikiliza

Kazi bado ngumu: Mawakili wa Mbowe waweka pingamizi jipya, Mahakama yakubali kulisikiliza


Kama ulidhani hii kesi ni lelemama basi unapaswa kujitafakari upya , wakati baadhi ya mamluki wakishangilia kutupwa kwa pingamizi lililohoji uhalali wa Mahakama ya uhujumu uchumi na rushwa kusikiliza kesi ya Ugaidi, Mawakili wa Mbowe wameweka pingamizi ambalo wasomi wengi walikuwa wanalisubiri, la KUPINGA HATI YA MASHITAKA KUTOKIDHI VIGEZO NA MASHARTI YA KISHERIA, kukosewa kwa hati hii kunatokana na uwezo mdogo na umbumbumbu wa Wanasheria wa serikali ,mara zote imesemwa sana kuhusu uwezo wa watu hawa.


=====

Leo Septemba Mosi, 2021 Mawakili upande wa utetezi wameweka pingamizi lingine kuhusu hati ya mashtaka, wamedai kuwa imekosa vigezo vya kisheria na upande wa Serikali wameomba Ijumaa Septemba 3, 2021 kuja na majibu.

Mahakama hiyo imeridhia ombi hilo na kuahirisha kesi hadi Ijumaa.
Andiko lako hili tayari limetoa hukumu
 
Hakuna pingamizi ni upuuzi mtupu.
Halafu hao Mawakiki wa Gaidi kwa nini wanaichezea na kuisumbua Mahakama hivyo?!
Nadhani lengo la Mawakili ni kuichokonoa Mahakama nadhani hiyo sio tabia ya kuachwa iendelee.
Mahakama inapaswa iwe na msimamo na itoe karipio kwa Mawakili wa Mbowe ambao wanataka kuleta siasa ktk chombo cha Sheria.
Mahakama sio jukwaa la siasa ni sehemu ya kutolea haki, hivyo mawakili wa Mbowe wasiachiwe kutumia vibaya uhuru walio nao wa kutafuta au kupigania haki.
Kama mahakama imeridhia ina maana imeona wana sababu za kisheria kufanya hivyo. Je, wewe una sababu gani za kisheria kusema kama unavyosema?
 
Sawa kamanda. Ikirekebishwa ndiyo mwenyekiti wa Maisha wa saccos anatoka?
Atoke asitoke, ndio mwanzo wa mchezo wa kisheria kwa watu kukamuliwa ipasavyo- both serikali na Mbowe... maana legal fees zitakuwa ni kubwa sana kadri hii kesi inavyoendelea kwa upande mmojawapo...na kwa kuwa mawakili wa Mbowe wanasema matakwa ya kisheria hayakuzingitiwa maana yake ni kwamba wanawaambia wanasheria wa serikali kuja na ushahidi solid na ngoma itakuwa ngumu huko mbeleni... sijui kama kwenye hii kesi huwa kuna wazee wa mahakama/Jury, maana watazubaa na maswali pia majibu ya pande zote mbili... wasije tui kusinzia, kesi itakuwa ni buridani/tamthiria tosha kwa kweli kama Isidingo the need hivi...
 
Hili la sasa litamtoa Mbowe gerezani
Jitahidi diaries zote tatu, mawasiliano ya simu yaliyirekodiwa , records za TCRA za mawasiliano, na Mtandao wa simu na ushsjifi wa Cameras zikipotezwa , kasi kwishilia mbali kabisa.

Lakini vinginevyo ni kufanya maombi ili Mungu afanye maajabu.

Na mbavyo namkazia Kamanda Sirro mnamfanya aongezi weredi zaidi na kuunga ushahidi woote muhimu na uwe tight ili Sirro asionekane amemuonea Mbowe. Punguzeni malalamiko kwenye suala hili.
 
Mkuu utaratibu ni kwamba, ukiweka hoja za pingamizi hata 20 na hoja ya Mamlaka ikiwemo hata ikiwa ni hoja ya 17 basi itaanza kuamliwa hoja hiyo kabla ya hoja zingine zote,
then kama mahakama ikiona kweli haina mamlaka inaachana na hoja zingine zote hizo 19 maana zilijiegesha kwenye hiyo hoja ya mamlaka hivyo kesi inatupiliwa mbali.

LAKINI mahakama ikiona ina mamlaka kama ilivyoamriwa leo basi ingeendelea kusikiliza hoja nyingine ya pingamizi km wangeiweka.
So ilikuwa inawezekana kuweka hoja zote, lkn hata hivyo kuweka pingamizi lingine tofauti ni kawaida kabisa kwenye medani za sheria it's ok.
Of course, laypersons hawawezi kuona hivyo. Kwao ni usiku wa giza.
 
Jitahidi diaries zote tatu, mawasiliano ya simu yaliyirekodiwa , records za TRA za mawasiliano, na Mtandao wa simu na ushsjifi wa Cameras zikipotezwa , kasi kwishilia mbali kabisa.

Lakini vinginevyo ni kufanya maombi ili Mungu afanye maajabu.

Na mbavyo namkazia Kamanda Sirro mnamfanya aongezi weredi zaidi na kuunga ushahidi woote muhimu na uwe tight ili Sirro asionekane amemuonea Mbowe. Punguzeni malalamiko kwenye suala hili.
Whatever the case, mahakamani jambo muhimu ni 'admissible evidence' and not necessarily 'relevant evidence'.
 
Huo ndio uliberali chadema wanapigania. Uhuru wanasheria kucheza na sheria kumlinda mhalifu. Serikali inayolinda haki lazima isiruhusu mawakili kuchezea au kupotezea muda mahakama. Kesi ya ugaidi ya mbowe ianza mara moja mawakili wake waje kumtetea sio kutaka eti kesi itupwe kwa taratibu kukosewa. Taratibu za kufungua mashitaka zinaweza wekwa sawa sio iwe sababu kutupilia mbali shauri.
Unamshitaki mtu kwa kosa kubwa namna hii bila hata kutaja alipotaka kulipua ! halafu bado unataka tukukenulie meno , uliona wapi laki 6 ikagharamia ugaidi ? nchi ambayo ndoo ya mafuta ya kula ni laki 1 , ndio laki 6 igharamie ugaidi ?
 
Jitahidi diaries zote tatu, mawasiliano ya simu yaliyirekodiwa , records za TCRA za mawasiliano, na Mtandao wa simu na ushsjifi wa Cameras zikipotezwa , kasi kwishilia mbali kabisa.

Lakini vinginevyo ni kufanya maombi ili Mungu afanye maajabu.

Na mbavyo namkazia Kamanda Sirro mnamfanya aongezi weredi zaidi na kuunga ushahidi woote muhimu na uwe tight ili Sirro asionekane amemuonea Mbowe. Punguzeni malalamiko kwenye suala hili.
Labda kama umezaliwa jana , ushahidi wowote wa kutengeneza kuhusu Mbowe hautafanikiwa na utashindwa asubuhi tu , unakumbuka zilikoishia zile sms mlizomtengenezea Mnyika ? Chadema si chama cha kibwege , ukiona UN inapeleka mwakilishi kila kesi inapotajwa lazima ujitafakari sana
 
... eti Yesu aliongozana na mkewe kwenda kuhesabiwa [(mkewe) akiwa mjamzito wa mimba yake mwenyewe (Yesu)]! Hata kilaza wa mwisho duniani ujinga huo hauwezi kumtoka kinywani awe mkristo au vinginevyo kwa mara ya kwanza upumbavu huo umesikika kutokea CCM! Kuna majitu mapumbavu hakuna mfano!
Aisee Tz ina maajabu na upumbavu uandamizi,. Eti majestically anasema anafahamu "umbali na distance zote". Mgonjwa yule
 
Mahakama iko mfukoni mwa Amiri jeshi na gaidi Mkuu nchini Mwigulu Nchemba hivyo sioni haki kutendeka.


View attachment 1919438

Kama ulidhani hii kesi ni lelemama basi unapaswa kujitafakari upya , wakati baadhi ya mamluki wakishangilia kutupwa kwa pingamizi lililohoji uhalali wa Mahakama ya uhujumu uchumi na rushwa kusikiliza kesi ya Ugaidi, Mawakili wa Mbowe wameweka pingamizi ambalo wasomi wengi walikuwa wanalisubiri, la KUPINGA HATI YA MASHITAKA KUTOKIDHI VIGEZO NA MASHARTI YA KISHERIA, kukosewa kwa hati hii kunatokana na uwezo mdogo na umbumbumbu wa Wanasheria wa serikali ,mara zote imesemwa sana kuhusu uwezo wa watu hawa.


=====

Leo Septemba Mosi, 2021 Mawakili upande wa utetezi wameweka pingamizi lingine kuhusu hati ya mashtaka, wamedai kuwa imekosa vigezo vya kisheria na upande wa Serikali wameomba Ijumaa Septemba 3, 2021 kuja na majibu.

Mahakama hiyo imeridhia ombi hilo na kuahirisha kesi hadi Ijumaa.
 

Kama ulidhani hii kesi ni lelemama basi unapaswa kujitafakari upya , wakati baadhi ya mamluki wakishangilia kutupwa kwa pingamizi lililohoji uhalali wa Mahakama ya uhujumu uchumi na rushwa kusikiliza kesi ya Ugaidi, Mawakili wa Mbowe wameweka pingamizi ambalo wasomi wengi walikuwa wanalisubiri, la KUPINGA HATI YA MASHITAKA KUTOKIDHI VIGEZO NA MASHARTI YA KISHERIA, kukosewa kwa hati hii kunatokana na uwezo mdogo na umbumbumbu wa Wanasheria wa serikali ,mara zote imesemwa sana kuhusu uwezo wa watu hawa.


=====

Leo Septemba Mosi, 2021 Mawakili upande wa utetezi wameweka pingamizi lingine kuhusu hati ya mashtaka, wamedai kuwa imekosa vigezo vya kisheria na upande wa Serikali wameomba Ijumaa Septemba 3, 2021 kuja na majibu.

Mahakama hiyo imeridhia ombi hilo na kuahirisha kesi hadi Ijumaa.
Mambo ya kimahakama humalizika mahakamani......

#NchiKwanza
#SiempreJMT
 
Mahakama iko mfukoni mwa Amiri jeshi na gaidi Mkuu nchini Mwigulu Nchemba hivyo sioni haki kutendeka.

Huyu alijiapiza kumfunga Lwakatare , mbona Lwakatare aliachiwa huru ? hawa ccm Mahakama kuu kule wanakuogopa vibaya mno !
 
Kama mahakama imeridhia ina maana imeona wana sababu za kisheria kufanya hivyo. Je, wewe una sababu gani za kisheria kusema kama unavyosema?
hata kama wanazo sababu za kisheria lkn kinacho fanywa na mawakili wa mbowe ni kuisumbua mahakama na kuchelewesha haki kutendeka kwa wakati.
Mawakili wa Mbowe walikuwa wanaweza kabisa kuwasilisha mapingamizi yao yote hiyo Jana lkn kwa maksudi na kwa nia ya kuisumbua mahakama na kuchelewesha haki kutendeka wakaamua leo tena waweke pingamizi ambalo tangu awali walikuwa wanalijua.
Mawakili wa Mbowe wasitumie haki waliyo nayo VIBAYA.
Kamwe wasigeuze Mahakama kama jukwaa la siasa.
waache mara moja tabia hiyo.
 
Back
Top Bottom