Kazi bado ngumu: Mawakili wa Mbowe waweka pingamizi jipya, Mahakama yakubali kulisikiliza

Kazi bado ngumu: Mawakili wa Mbowe waweka pingamizi jipya, Mahakama yakubali kulisikiliza

Ayatollah Mbowe is presumed innocent until proven guilty. Proving him guilty is none of our business. JF haijawahi (na haitawahi) kuwa mahakama!
Ni kweli, japo mahakama nayo imegeuka kuwa na utoto mwingi. Sababu hasa ni kukubali kutumikia siasa chafu.
 
1. The case will be filed in a proper court with the jurisdiction to determine it and this will make the accused confident in the trial court.
2. As prayed, the case will be dismissed if the defection is incurable. Sufficient clarity in the charge sheet is a legal requirement and not an option.
3. It won't by itself, but it is up to the aggrieved party to ensure due process of the law from A-Z and not only rely on the finality of the case.
Alidhani wote humu ni mapunguani. Na common sense peke yake inasema ukiachia kesi iendelee mpaka mwisho kwa msingi mbovu inakuwa ngumu kwa wakili huyo huyo ku raise objection wakati wa rufaa kuwa msingi wa kesi ulikuwa mbovu toka mwanzoni. Akifanya hivyo itakuwa ame admit kuwa ni incompetent kwa sababu hakuyaona mapungufu hayo toka mwanzoni. Dawa ni kuingia wakili mwingine ambae atadai kuwa mteja wake hakupata utetezi aliostahili kutokana na wakili wake kuwa wabovu.

Amandla...
 
Alidhani wote humu ni mapunguani. Na common sense peke yake inasema ukiachia kesi iendelee mpaka mwisho kwa msingi mbovu inakuwa ngumu kwa wakili huyo huyo ku raise objection wakati wa rufaa kuwa msingi wa kesi ulikuwa mbovu toka mwanzoni. Akifanya hivyo itakuwa ame admit kuwa ni incompetent kwa sababu hakuyaona mapungufu hayo toka mwanzoni. Dawa ni kuingia wakili mwingine ambae atadai kuwa mteja wake hakupata utetezi aliostahili kutokana na wakili wake kuwa wabovu.

Amandla...

Alidhani wote humu ni mapunguani. Na common sense peke yake inasema ukiachia kesi iendelee mpaka mwisho kwa msingi mbovu inakuwa ngumu kwa wakili huyo huyo ku raise objection wakati wa rufaa kuwa msingi wa kesi ulikuwa mbovu toka mwanzoni. Akifanya hivyo itakuwa ame admit kuwa ni incompetent kwa sababu hakuyaona mapungufu hayo toka mwanzoni. Dawa ni kuingia wakili mwingine ambae atadai kuwa mteja wake hakupata utetezi aliostahili kutokana na wakili wake kuwa wabovu.

Amandla...
Aliona aniulize hivyo baada ya kuwa nimepost: 'Kwa upande wangu, naona (pingamizi) zina maana kwa sababu hizi: 1) Katika pingamizi la kwanza, najaribu kuona kama kweli Mahakama Kuu, kwa mujibu wa Section 34(1) of the Prevention of Terrorism Act, is distinct from or interchangeable with the Corruption and Economic Crimes Division of the High court kwa mujibu wa Section 3(1) ya the Economic and Organised Crime Control Act, 2002. 2) Katika pingamizi la pili, kama charge sheet is defective in nature (does not state the offence alleged or does not contain its particulars), the accused will be under misapprehension as to the accusations made to him and this is the ground for polishing it or if it cannot be polished, then for rejecting it for the interests of justice'.
 
Aliona aniulize hivyo baada ya kuwa nimepost: 'Kwa upande wangu, naona (pingamizi) zina maana kwa sababu hizi: 1) Katika pingamizi la kwanza, najaribu kuona kama kweli Mahakama Kuu, kwa mujibu wa Section 34(1) of the Prevention of Terrorism Act, is distinct from or interchangeable with the Corruption and Economic Crimes Division of the High court kwa mujibu wa Section 3(1) ya the Economic and Organised Crime Control Act, 2002. 2) Katika pingamizi la pili, kama charge sheet is defective in nature (does not state the offence alleged or does not contain its particulars), the accused will be under misapprehension as to the accusations made to him and this is the ground for polishing it or if it cannot be polished, then for rejecting it for the interests of justice'.
Umemnyoosha,,,amekula kona!
 
Back
Top Bottom