Kazi isiyoangaliana na mlango wa Jela haiwezi kukufanya kuwa Tajiri

Hii nadharia ya kuwapotosha watu huwezi fanikiwa au kuwa tajiri bila dawa ni nadharia iliyoua saikolojia ya waafrika Wengi sana na kuwafanya wazidi kutopea kwenye umasikini zaidi. Ndo maana ulaya waliua waganga na wachawi karibu wote Ili wasiwapotoshe watu kwa kuwaaminisha akili bandia, bali wapate kizazi kinachofikiri kwa kutegemea akili na sio miujiza. Ingekuwa hii nadharia ya kipumbavu inafanya kazi basi waafrika wengi 90% sana wangekuwa matajiri, maana ni asilimia kubwa Sana kutwa viguu na njia kwa waganga wakipeleka kuku but kwann still bado wengi maisha yanawachapa? Maana pana maeneo KILA baada ya watu watatu wa nne ni mganga, mchawi au mshirikina but dhoofu hali.
 
Wenye akili alafu nimatajiri wapo serikalini asilimia kubwa zaid ni mafisadi
 
Huwezi kwenda jela kama unayo pesa labda wakikumate umevunja sheria then huna pesa. Mfano umedokoa pesa za umma jumla ya milioni 300 kidogo kidogo zikaishia kufungulia zipu na vizibo vya bia huna hata nyumba ya kuweka Dhamana Ili upate pesa ya kuwapa walinda sheria Ili kuununua UHURU wako. Kwa hizi nchi za kiafrica unaweza ukakamatwa na rushwa na ukatoa rushwa ukawa huru, sema labda ushindwe dau, mfano umekamatwa na rushwa ya milioni 1 wao wanataka milioni 5,we huna hapa ni lazima uende jela. Afrika mifumo ilishaoza tunaishi kwa system ya kila mtu umla mnyonge wa size yake.
 
Only if you a ZERO BRAIN!
Mtu mwenye akili iliyo sawasawa na aliyesoma na kueleimika, hawezi kuwaza upumbavu huu hata siku moja. Mfano hai upo kwamba Mh Dr. Reginald Mengi (RIP), hakuwahi kuwaza huu ujinga na hayupo Mtanzania hata mmoja hadi leo ambaye ameshavunja rekodi yake. Acha ku-impart watu wenye akili, mawazo ya kipumbavu. Unless mtu ni mpumbavu, then unachokiongea kinaweza ku-apply na ku-sound kwake
 
Jamaa aliiba mali ya tajiri, alipofikishwa mahakamani alicheza na sheria na kushinda kesi. Ikabidi tajiri amlipe jamaa mda wake aliopoteza. Alichoiba na alicholipwa sasa ni tajiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kwenda jela kama kwenu asili Hakuna mtu aliyewahi kwenda jela, jela ni roho inayofatilia, wafungwa ni wale wale yaani ni lazima huko nyuma katika familia yenu amewahi mtu kwenda jela, na ukienda jela ni lazima kizazi chako mtu ataenda jela.
Unaweza ukafanya tafiti.
Afrika jela ni kuzimu ndogo afrika nzima maisha ya jela ufanana.
 

Ohooo!

Huwezi elewa nazungumzia kitu gani hata ungesoma mpaka upate PhD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…