Chrysanthemum
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 1,531
- 5,787
Asee ni kazi ngumu , hiyo site kuna dude fulani hivi linakua linazunguka mnamwaga mle mchanga ,kokoto , cement na maji !! Dude linamix huku linamwaga zege ! Halafu msimamizi mkali kichizi nilipangwa kwenye kumimina mchanga inabidi niweke ndoo nne zile kubwa za litre 20!! Aseee hiyo siku ndo nolijua mchanga ni mzito ! Nikasema ngoja nibadilishane na mwana maana sikuendana nao speed nikahamia kwenye kokoto inabidi ziingie ndoo saba kila awamu speed nako ikawa ndogo !!! Nikahamia kwenye kuchota maji ! Daah site kipengeleMkuu hii ya ujenzi bora kwa waswahili wenzetu kwa mhindi au mchina wanaua mzee kaI mlima malipp kijiko
Dah mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna siku nipo maskani nishachoka zanguu,akaja jamaa akasema anaeweza kuchezea mavi twende kuna kazi huko,,
Nikamuuliza kazi gani? akasema mwenye nyumba anataka chemba ya choo tuchote mavi yote na ndooo tukamwage kwenye shamba lake ili ile chemba iongezwe urefu yani pale ilipo ifukuliwe zaidi kwenda chini..
ila huwezi kufukua zaidi bila kutoa kinyesi chote, tukamwambia si aite tu gari ya kunyonya mavi inyonye, Akasema njia ya kufika kwake gari ya mavi haifiki na hata wakifosi gharama ni kubwa mno inafika 1m na huyo mzee hiyo hela hana..
hivyo mzee katoa ofa ya watu kuchota mzgo wote na ndoo na kwenda kuumwaga huko shambani kwake, Tukauliza OFA yake sh ngapi?
Jamaa akasema kazi tunaifanya watu wa 4 tu mzee kasema atatoa 100,000 kwa kila mtu,jamaa mmoja akasema mwambie aongeze walau iwe 150,000 tukapge kazi, nazama chumvini nalamba inye live na ulimi sembuse hiyo harufu inishinde? mwambie aongeze dau...
Jamaa akavuta simu kwa mshua akamwambia vijana wa kazi wamepatikana ila wanasema 100k haitoshi waongeze 50k iwe 150k, mzee akajibu Sawa njooni.
Jamaa akasema oyaa mshua kakubali, Huyo mwingine akawambia sasa sikilizeni hapa tunaenda nunua mafuta ya Taaa kidumu cha lita 5 tunamwaga mwaga mule kwenye chema mote Harufu inakata kazi tunapga freshi..
Kusikia hivyo tukaona jamaa katoa idea nzuri sana,kweli haooo hadi kwa mangi tukanunua mafuta ya taaa haooo safari ikaanza kwenda site.
Tumefika tukaenda kwenye chemba, ilikua tayari ishabomolewa lile zege la juu hivyo limebaki shimo pana tu unaona inye live live,mafinyo finyo live live, Jamaa akamwaga mafuta ya taaa pwaaaaaa koteee..
Tukaletewa ndooo kila mtu na ndoo yake,gloves kazi ikaanza nikadumbukiza nikachota ndoo ya kwanza nikatoa,jamani jamani jamani nilienda kumwaga shambani nikapitiliza huko huko sikurudi nyuma tena.
Asee inye isikieni tu,ile 150,000 nikaona wala isinipe presha mimi,na niikose tu siwezzi chezea gwede gwede kama vile ni rost... nimeondoka nimefika maskani nasimulia waliobaki,nusu saa haijaisha namuona mwenzangu mwingine huyu hapa karudi, aaah weee kuna kazi za kufanya bwana sio kazi ya kuchezea tope la binadamu..
Kila upande ni shida. Sasa kuna zege lile mnakoroga wenyewe noma na nusu. Sema zege za waswahili wenzetu bora malipo yana ridhishaAsee ni kazi ngumu , hiyo site kuna dude fulani hivi linakua linazunguka mnamwaga mle mchanga ,kokoto , cement na maji !! Dude linamix huku linamwaga zege ! Halafu msimamizi mkali kichizi nilipangwa kwenye kumimina mchanga inabidi niweke ndoo nne zile kubwa za litre 20!! Aseee hiyo siku ndo nolijua mchanga ni mzito ! Nikasema ngoja nibadilishane na mwana maana sikuendana nao speed nikahamia kwenye kokoto inabidi ziingie ndoo saba kila awamu speed nako ikawa ndogo !!! Nikahamia kwenye kuchota maji ! Daah site kipengele
kila kazi unayogusa yamoto 😂 , niliwahi omba kazi site ya kufyatua tofali asubuhi mapema 11 nimefika pale nikamkuta boss wa hapo akaniambia kazi iliyopo labda upange vibao vya tofali.Daah site kipengele
Ni kweliNaam kuna job unakua unapiga unaona kabisa hapa sio mahara pangu hii safari bado sana, ila kuna stage ukifika unasema hapa ndio penyewe[emoji12]
Kampuni za ulinzi zina wanyonya sana walinzi,ndio mana sipo tayari kulindiwa na kampuniUlinzi umesema mgumu katika kulinda usiku , si hivyo tu mgumu kwenye mashariti ya kazi , usiku ni mda wa kulala, mda wa kufanya kazi , malipo hafifu hafu unavyolinda ni vitu vya gharama, mshahara wako hata miaka kumi haulipi, ulinzi hauko fea
Duh!...kuliko unipeleke gereza la kilimo bora niongeze kosa nimpasue hata askari nifunguliwe kesi nyingine
iyo kazi simpo. Ishu labda iwe umbali mpaka kuumwaga mzigo.Kuna siku nipo maskani nishachoka zanguu,akaja jamaa akasema anaeweza kuchezea mavi twende kuna kazi huko,,
Nikamuuliza kazi gani? akasema mwenye nyumba anataka chemba ya choo tuchote mavi yote na ndooo tukamwage kwenye shamba lake ili ile chemba iongezwe urefu yani pale ilipo ifukuliwe zaidi kwenda chini..
ila huwezi kufukua zaidi bila kutoa kinyesi chote, tukamwambia si aite tu gari ya kunyonya mavi inyonye, Akasema njia ya kufika kwake gari ya mavi haifiki na hata wakifosi gharama ni kubwa mno inafika 1m na huyo mzee hiyo hela hana..
hivyo mzee katoa ofa ya watu kuchota mzgo wote na ndoo na kwenda kuumwaga huko shambani kwake, Tukauliza OFA yake sh ngapi?
Jamaa akasema kazi tunaifanya watu wa 4 tu mzee kasema atatoa 100,000 kwa kila mtu,jamaa mmoja akasema mwambie aongeze walau iwe 150,000 tukapge kazi, nazama chumvini nalamba inye live na ulimi sembuse hiyo harufu inishinde? mwambie aongeze dau...
Jamaa akavuta simu kwa mshua akamwambia vijana wa kazi wamepatikana ila wanasema 100k haitoshi waongeze 50k iwe 150k, mzee akajibu Sawa njooni.
Jamaa akasema oyaa mshua kakubali, Huyo mwingine akawambia sasa sikilizeni hapa tunaenda nunua mafuta ya Taaa kidumu cha lita 5 tunamwaga mwaga mule kwenye chema mote Harufu inakata kazi tunapga freshi..
Kusikia hivyo tukaona jamaa katoa idea nzuri sana,kweli haooo hadi kwa mangi tukanunua mafuta ya taaa haooo safari ikaanza kwenda site.
Tumefika tukaenda kwenye chemba, ilikua tayari ishabomolewa lile zege la juu hivyo limebaki shimo pana tu unaona inye live live,mafinyo finyo live live, Jamaa akamwaga mafuta ya taaa pwaaaaaa koteee..
Tukaletewa ndooo kila mtu na ndoo yake,gloves kazi ikaanza nikadumbukiza nikachota ndoo ya kwanza nikatoa,jamani jamani jamani nilienda kumwaga shambani nikapitiliza huko huko sikurudi nyuma tena.
Asee inye isikieni tu,ile 150,000 nikaona wala isinipe presha mimi,na niikose tu siwezzi chezea gwede gwede kama vile ni rost... nimeondoka nimefika maskani nasimulia waliobaki,nusu saa haijaisha namuona mwenzangu mwingine huyu hapa karudi, aaah weee kuna kazi za kufanya bwana sio kazi ya kuchezea tope la binadamu..
we bwana wewe,ukiskia mtu anafanya kazi flani kisa inaonekana ndogo unahsi simple sana eeehiyo kazi simpo. Ishu labda iwe umbali mpaka kuumwaga mzigo.
mi mwenyewe ni namshangaaDah mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu ilikua wapi hiyo mimi siachi uwa ni kazi ndogo sana kuchota na kumwaga tu sema kwa mwenye kinyaa awezi.
wazee wa Finance😂😂😅Sasa task yetu ya kwanza ilikuwa Kushusha mbolea Toka kwenye scania
Binafsi nimecheka Sana mkuu Kwa jinsi ulivyosimulia habar yako....lkn kongole Sana ulikuwa na Moyo WA kupambana sanaCheka tu mkuu maana hamna namna,Maisha yenyewe ndio haya haya...
unaachaje kucheka kwa yaliyonikuta wakati sometimes binafsi najicheka nikikumbuka..
😂😂hiyo ilinikuta mwanza kiwanda kimoja cha vinywaji eti utaratibu wa kuajiri ni unaamka asubuhi unaenda kusimama getini kama mbwa(nyomi la kufa mtu) halafu anatoka mtu huko ndani anapoint anaowataka then mliobaki mnaambiwa mjaribu kesho, ...malipo 6000 per dayKuna mtu aliniambia kazi za kiwandani zinalipa sana,siku hiyo nimewahi kiwandani kufika nikasimama kwenye foleni yani ile foleni tu ilinifanya niachane na ile kazi nikatafute mishe zingine za kufanya.