luchelele mzunguko
JF-Expert Member
- Feb 12, 2021
- 1,206
- 1,641
Kweli mkuu dah yani mwanzo ni mgumu sana sema imani na matumaini ndio uwa vinatupa nguvu ya kiendelea kupambana tukiamini one day yes.Kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuu dah yani mwanzo ni mgumu sana sema imani na matumaini ndio uwa vinatupa nguvu ya kiendelea kupambana tukiamini one day yes.Kabisa
Mimi kesho yake mikono na vidole nilikuwa kama roboti, yaani kunyoosha mkono au kushika kitu ilikuwa shida.Mimi nilipata muscle strain we acha tu
Nikaipiga chini
🤣🤣🤣 Matajiri wamegeuka manamba🤸🤸Kumbe jf kuna hadi kazi za hivi, mnatuvuruga kwakweli
Duh pole Sana Kwa yaliyokukuta..Nina uhakika haya yalikukuta enzi upo MOFED/Zambia cargo...enzi zile wameweka makontena ya makinikia pale karibu na lile jengo laa..au basi 😄Mimi nimelinda sana, Agakhan University, Agakhan Hospital, Jamatin msikini Kariakoo, Mahotel Kama Serena, New Africa, Ramada, Regency.
Bandari Kama TICTS, IMPALA, MOFED.
Residence za Wahindi ( Vibibi vya kihindi havilali, vinakuchungulia usiku mzima ).
Binafsi, Sina nguvu na Nina mwili mdogo ila Nina UNASIRI TANI 200.
Nilikiwa napiga bit watu wakubwa na wenye vyeo vikubwa sana huweni kuamini.
Nimewahi kumfungia Nje ofisa mkubwa sana wa kampuni, kwasababu nilikuwa namwambia afungue buti la gari nikague hataki.
Nimewahi kutishiwa kupigwa bastola na Maafisa Usalama usiku waliokuwa wanalinda makinikia
Pia, tumewahi kufungwa pingu na watu wa usalama wa Ikulu waliokuwa wamekuja kuchukua sample ya makinikia ya dhahabu tulipokuwa tunalinda.
Kitu kingine, nisichosahau Ni pale kontena la 40 feet, lililojaa KOROSHO zilizobanguliwa lilipoibwa na Bandarini wakakuta mawe, yaani kwenda Polisi na kukaa Mahabusu ilikuwa ni Kama kunywa maji.
Wanatuvuruga mno, hawajui tu🤣🤣🤣 Matajiri wamegeuka manamba🤸🤸
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]daahMimi nishawahi kutwa na msala wa gerezani wa kazi flani Ngumu sana kuifanya,nikaona huu ushenzi
hiii kazi nisipoangalia ntaja fia hapa hapa,nikaangalia huku na kule kisha nikajidondosha chini puuuu
nikaanza kurusha miguuu kama nina dege dege,huku natoa mapovu( hapo nishakusanya mate kibaooo)
nikawa nayatema kwa pembeni kidogo kidogo,nikaskia wana wanasema Oyaa huyu atakua ana dege dege
askari akaitwa akaja akasema mbebeni muwekeni pale kivulini,nilipopelekwa kivulini nikasema hapa nikitulia
tuu ntalishwa rungu kwa sana watanishtukia, basi nikazidisha drama nikajirusha kama jongooo nakwambia
askari akaona huu msala atatufia huyu,nikabebwa ikaitwa TAX dakwa speed hadi gerezani,kufika gerezani nikajifanya
napumua haaaaaa huku nakoromaa,ndio ikawa pona yangu ila bila ile tekniki Ningefia pale walahi vile...
Visikiii ni hatree shuleni nilipewa adhabu ya kuchimba kisiki , af kilikua juu ya mwamba , sikumaliza aiseeKuchimba kisiki ni msala nakumbuka nikiwa gerezani nilikutana na hiyo kazi vilikua visiki kama kumi na sita afu tupo mtu tano asikuambie mtu tulivuja jasho.
🤣🤣🤣🤣🤣Nimecheka sana aiseewajua kuogelea weye ..mimi siokoi ntu nanusuru roho yangu mie "
🤣🤣🤣🤣🤣 Mbavu zangu mieMimi nishawahi kutwa na msala wa gerezani wa kazi flani Ngumu sana kuifanya,nikaona huu ushenzi
hiii kazi nisipoangalia ntaja fia hapa hapa,nikaangalia huku na kule kisha nikajidondosha chini puuuu
nikaanza kurusha miguuu kama nina dege dege,huku natoa mapovu( hapo nishakusanya mate kibaooo)
nikawa nayatema kwa pembeni kidogo kidogo,nikaskia wana wanasema Oyaa huyu atakua ana dege dege
askari akaitwa akaja akasema mbebeni muwekeni pale kivulini,nilipopelekwa kivulini nikasema hapa nikitulia
tuu ntalishwa rungu kwa sana watanishtukia, basi nikazidisha drama nikajirusha kama jongooo nakwambia
askari akaona huu msala atatufia huyu,nikabebwa ikaitwa TAX dakwa speed hadi gerezani,kufika gerezani nikajifanya
napumua haaaaaa huku nakoromaa,ndio ikawa pona yangu ila bila ile tekniki Ningefia pale walahi vile...
😀😀😀😀umenikumbusha cku nimeeñda kuvua dagaa ziwa Victoria, aisee ulipga upepo mkali huku wanaita MSOKE sema kweli nilipga magoti kutubu dhambi zangu. Ila kesho yake nilirudi make Sikh hiyo tulitoka marundo3.Kuvua bahari ya upande wa sahare Tanga
Nilikuwa nina shida na nauli nikimbie Lusanga kuna mishe mchizi alinisanua nikapata kazi ya kuvua mwana aliniunga tu picha linaanza jioni ile nikatokea na ka t-shirt kangu manga nyepesi maana tulienda vua maji ya usiku [emoji3] wale wadigo na Wapemba wa ile mashua sijui boat whatever the case .. walikuwa wanacheka
Niligundua kwa nini wanacheka tupo katika ya bahari ule upepo wa baridi niliokuwa napigiwa nao plus yale maji yakikurukia ushapata picha
Kwa nini nilijuta kuna kitu wenyeji wanaita sijui bawa la mvua wataalamu mtaiweka sawa ile maji yanaongezeka yanapanda juu kwa kasi yanavuka hadi kingo za beach ambapo watu wanakaa kunakuwa na maji yanasogea hio ishu ilitukutia usiku plus mawimbi maji yakawa yanaingia kwenye chombo chetu tuna kazi ya kuyatoa na visado boti linapigwa pushi na mawimbi mara chemli imeanguka imepasuka mpemba mmoja akanambia "wajua kuogelea weye ..mimi siokoi ntu nanusuru roho yangu mie " wengine wanakazi ya kutoa maji na visado huku wakisema "shahada" yaani kwa imani ya dini ya kiislamu unaenda peponi ukifa kama utaisema
Nilisema sirudii tena [emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣 Eee Mungu wangu jamen,Yaan Leo 🙌Kuna mtu aliniambia kazi za kiwandani zinalipa sana,siku hiyo nimewahi kiwandani kufika nikasimama kwenye foleni yani ile foleni tu ilinifanya niachane na ile kazi nikatafute mishe zingine za kufanya.