Kazi nzuri sana mkuu wa wilaya ya Temeke

Kazi nzuri sana mkuu wa wilaya ya Temeke

Unapoteza muda kumjadilii mtu na maisha yake. Unaendekeza uswahili ule ule wa kushambulia uja uzito wa mtu mzima. Very Pathetic.
Tunamjadili mtu kiongozi, maisha na mwenendo/tabia yake kama kiongozi..kati ya yaliyomo kwenye kiapo chake ni tabia, hulka na maisha yake wakati akiwa kiongozi..hivyo si kupoteza muda kumjadili, lkn hata huo muda hunipi wewe..tunamkosoa kwa kitendo cha kuwa mjamzito bila kuwa na mume wa ndoa ilihali yeye ni kiongozi, ameshindwa kuwa mfano mzuri kwa anaowaongoza na hivyo amepoteza sifa ya kuendelea kuwa kiongozi..!usilete ubabaishaji wako kuhamisha lengo la kile tunakosoa.
 
Mshahara wake kuwa sehemu ya kodi zetu isiwe nongwa ya kutaka kuyatawala maisha yake.

Kuna wezi wangapi wameiba mabilioni ya pesa katika mashirika ya umma na mishahara yao ni kodi zetu?.
..isiwe nongwa? wewe siyo mzima kichwani.
 
Tunamjadili mtu kiongozi, maisha na mwenendo/tabia yake kama kiongozi..kati ya yaliyomo kwenye kiapo chake ni tabia, hulka na maisha yake wakati akiwa kiongozi..hivyo si kupoteza muda kumjadili, lkn hata huo muda hunipi wewe..tunamkosoa kwa kitendo cha kuwa mjamzito bila kuwa na mume wa ndoa ilihali yeye ni kiongozi, ameshindwa kuwa mfano mzuri kwa anaowaongoza na hivyo amepoteza sifa ya kuendelea kuwa kiongozi..!usilete ubabaishaji wako kuhamisha lengo la kile tunakosoa.
Mimba yake ni suala lake binafsi. Kuoa au kuolewa ni majaliwa mkuu. Sio kila anayezaliwa anapata bahati ya kuoa/kuolewa ukumbuke hilo.

Angeendelea kuzeeka bila hata ya matagemeo ya kuja kujifungua wasimangaji kama kawaida yenu mngeendeleza masimango.

Kama wewe umeoa/umeolewa mshukuru Mungu usisimange mtu kwa kutokuolewa!. Nyinyi ndio mnawazodoa dada zetu na mawifi zenu wanazeeka kabla ya wakati wao kwa haya masimango yasiyo na kichwa wala miguu.
 
Back
Top Bottom