Kazi nzuri sana mkuu wa wilaya ya Temeke

Kazi nzuri sana mkuu wa wilaya ya Temeke

Nilisema hapo awali hakuna mtu anajihesabia haki..na kumwambia mtu amekosa si kujihesabia haki, hiyo mifano uliyotoa yote haifanani na hii ya DC, mfano ukifuata viwango vya kupata viongozi marekani, pengine jokate wala asingekuwa DC..kuna tofauti kubwa sana kati ya jamii ya wamarekani na sisi africa..kwa kesi ya Daud na Suleiman vzr ukitambua kwanza kuwa kati ya watu kwenye Biblia waliokuwa na unyenyekevu wa kiwango cha juu kabisa ni mfalme Daudi, hata hivyo hilo kosa alilofanya la zinaa na mke wa Uriah Mungu alimwadhibu, Suleiman hakuoa wake 1000 kwa ajili ya matamanio ya mwili (zinaa) alifanya hivyo kwa lengo, hivyo haikuwa kosa sabb ilimsaidia kwenye utawala wake..kila mtu anakosea, kwa kiongozi..ukiona umewakosea unaowaongoza kwa maana ya kutunza heshima ya kazi/nafasi uliyokuwa nayo na kuonyesha heshima kwa uliokuwa unawatumikia vyema kuachia hiyo nafasi waje wengine, kiongozi hapaswi kuwa na kiburi na dharau, kuendelea kuwa hapo ilihali umekosa ni kuonyesha kiburi na dharau kwa unaowaongoza.
Utaishia na maumivu yako kwa awamu yote ya sita iwapo SSH ataendelea kumuamini Jokate. Hateui malaika anateua binadamu.
 
Kuongoza ni kuonyesha mfano..utakuwaje na mimba hujaolewa halafu wewe ni kiongozi, kwa nini mtu akiwa mlevi anapoteza sifa ya kuwa kiongozi..ulevi siyo jambo binafsi? Mfano, wewe uko tayari upande gari inaendeshwa na mlevi au mvuta bangi? Uongozi ni heshima, hivi jamii ya watz ina matatizo gani? Halafu kila siku maadili yameshuka ndiyo maana tuna panya road, hao panya road wanatoka wapi? Kama sio kwenye tabia km hizi za kupeana mimba bila kuoa au kuolewa..
Wewe jamaa acha basi kuapangia watu namna ya kuishi kavunja kanuni gani ya utumishi wa umma?
Viongozi wengi ni walevi ila tu isiwe muda wa kazi
 
Utaishia na maumivu yako kwa awamu yote ya sita iwapo SSH ataendelea kumuamini Jokate. Hateui malaika anateua binadamu.
Unajua sasa wewe bukililo akili yako ni ndogo, mimi nipate maumivu sabb aliyemteua jokate hamtoi uDC..real? have got all I need, kwa hiyo wewe unataka tusiseme viongozi wanapokosea, but it is our civil right, we pay tax, t s our duty to take them to task! If they don't that remains with them..sisi tumefanya sehemu yetu, mtu anaamua kufanya umalaya mimi niumie! that's peculiar..! Nitasikitika tu sabb si jambo zuri kwa binadamu yeyote kufanya hivyo, kiimani that will end up loosing his/her soul..ondoa mentality za hivyo, try to clean up your mind..jambo lolote analoambiwa mtu ni kwa lengo zuri kabisa, wala hakuna maumivu yoyote anayopata msemaji.
 
Wewe jamaa acha basi kuapangia watu namna ya kuishi kavunja kanuni gani ya utumishi wa umma?
Viongozi wengi ni walevi ila tu isiwe muda wa kazi
Inavyoonekana hujui zaid ya kujua kuna kanuni za utumishi wa umma..maliza homework ya kujua kwa nini kuna tume ya maadili kwa viongozi na kwa nini viongozi wanafanya kiapo kabla ya kuanza kazi.
 
Inavyoonekana hujui zaid ya kujua kuna kanuni za utumishi wa umma..maliza homework ya kujua kwa nini kuna tume ya maadili kwa viongozi na kwa nini viongozi wanafanya kiapo kabla ya kuanza kazi.
Kwamba alipaswa aape nini duh jameni.
Nchi inaongozwa kwa sheria, kanuni na taratibu au miongozo mbalimbali sema kakiuka wapi.
 
Ulitaka akutangazie mume wake?au unafikiri ndoa inafungwa msikitini na kanisani pekeyake?usimhukumu kwa kutumia imani yako
Kwanza mimi simhukumu, kiapo alichofanya ndio kinamhukumu, pili, kiongozi anapaswa kuwa kielelezo kwa jamii anayoiongoza, hata km ndoa ilifanyika kwa wazazi chumbani hapaswi kufanya siri..anaowaongoza wana haki kufahamu juu ya hilo.
 
Unajua sasa wewe bukililo akili yako ni ndogo, mimi nipate maumivu sabb aliyemteua jokate hamtoi uDC..real? have got all I need, kwa hiyo wewe unataka tusiseme viongozi wanapokosea, but it is our civil right, we pay tax, t s our duty to take them to task! If they don't that remains with them..sisi tumefanya sehemu yetu, mtu anaamua kufanya umalaya mimi niumie! that's peculiar..! Nitasikitika tu sabb si jambo zuri kwa binadamu yeyote kufanya hivyo, kiimani that will end up loosing his/her soul..ondoa mentality za hivyo, try to clean up your mind..jambo lolote analoambiwa mtu ni kwa lengo zuri kabisa, wala hakuna maumivu yoyote anayopata msemaji.
Akili ndogo ni wewe unayeita watu malaya wakati hawajakufanya chochote. Ungekuwa na lengo zuri ungeridhika na kuachana na binti wa watu kuliko kuendelea kuhukumu.
 
Kuongoza ni kuonyesha mfano..utakuwaje na mimba hujaolewa halafu wewe ni kiongozi, kwa nini mtu akiwa mlevi anapoteza sifa ya kuwa kiongozi..ulevi siyo jambo binafsi? Mfano, wewe uko tayari upande gari inaendeshwa na mlevi au mvuta bangi? Uongozi ni heshima, hivi jamii ya watz ina matatizo gani? Halafu kila siku maadili yameshuka ndiyo maana tuna panya road, hao panya road wanatoka wapi? Kama sio kwenye tabia km hizi za kupeana mimba bila kuoa au kuolewa..
Karen mbona anayo na hajalalana mtu!
 
Akili ndogo ni wewe unayeita watu malaya wakati hawajakufanya chochote. Ungekuwa na lengo zuri ungeridhika na kuachana na binti wa watu kuliko kuendelea kuhukumu.
Wewe ndio huwa unafanya vetting ya ma DC? naona imekugusa sana binti huyu kuwa mjamzito, ukitaka tuachane nao wanapotenda tofauti, ongeza umakini kwenye kazi yako..ukifanya hivyo hutatusikia asilani!
 
Kuna mtindo unataka kuhalalishwa, kwamba Tz mtu yeyote anaweza kuwa kiongozi bila kujali historia yake na matendo yake kwa sasa..pili uongozi Tz ni kitu chepesi hakina thamani..wakati raia wanatoa jasho lao ili viongozi waongoze vzr..wakitaka hivyo basi wawe wanaprint pesa wanalipana viongozi..tutanyamaza, utamaduni wa kutosema mapungufu ya viongozi yanapotokea ni hatari sana kwa nchi!
Baadhi ya watu ni wapumbavu sana,wanataka kufanya uongozi kama bahati au eti aliyepewa kapewa,ndomaana viongozi wengi hawana maadili ya uongozi.Inanisikitisha sana kuona kiongozi anabeba mimba hovyohovyo,eti hiyo inshu ni personal, personal gani analipwa pesa zetu sisi walipa kodi,halafu anajibehave hovyohovyo?
Utaishia na maumivu yako kwa awamu yote ya sita iwapo SSH ataendelea kumuamini Jokate. Hateui malaika anateua binadamu.
Ateue mwingine tu,atakayeishi kadri ya ethiycs za utumishi wa umma,huyu akapumzike,afanye shughuli nyingine,siyo lazima aendelee kuwepo pale.Kuna binadamu wanaheshimu nafasi zao,wengi tu,awapishe.
 
Ndio maana huwa nasema Lulu ana akili na heshima kuliko wengi. Kuzaa nje ya ndoa kwa kiongozi ni laana. Narudia ni laana. Kashindwa nini kufunga ndoa na kuweka wazi ndoa yake. Atawaambia ni iwanafunzi wetu na vijana kimaadili. Mama Samia teua mtu mwingine bana huyo NEI NEI BABHUCHE.
Boss wake msimbe nae kamuiga
 
Hamna asie fanya uzinzi au kuzini koo bora wanao zaa kuliko watoa mimba.

Hongera DC wetu kuzaa ni lazima ndoa ni hiari
 
Mimi sisapoti viongoz kutokua Kioo cha jamii... Hapa anataka kuwapa wadada sababu ya kubeba mimba bila ndoa tuongeze single mother na watoto wa malezi ya upande mmoja

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hamna asie fanya uzinzi au kuzini koo bora wanao zaa kuliko watoa mimba.

Hongera DC wetu kuzaa ni lazima ndoa ni hiari

Tulio watumishi wa umma ndio tunajua ethics tunazofanyia kiapo. Uongozi wa umma wenye kiapo sio lelemama. Huwezi ishi ishi tuu. Shida Jokate aliingizwa kwa rushwa na rushwa hiyo hiyo aliotumia ndio inamuumbua. Auae kwa upanga hufa kwa upanga. Aondoke tuuu. Aondoke tu hakuna namna.
 
Wewe ndio huwa unafanya vetting ya ma DC? naona imekugusa sana binti huyu kuwa mjamzito, ukitaka tuachane nao wanapotenda tofauti, ongeza umakini kwenye kazi yako..ukifanya hivyo hutatusikia asilani!
Unapoteza muda kumjadilii mtu na maisha yake. Unaendekeza uswahili ule ule wa kushambulia uja uzito wa mtu mzima. Very Pathetic.
 
Baadhi ya watu ni wapumbavu sana,wanataka kufanya uongozi kama bahati au eti aliyepewa kapewa,ndomaana viongozi wengi hawana maadili ya uongozi.Inanisikitisha sana kuona kiongozi anabeba mimba hovyohovyo,eti hiyo inshu ni personal, personal gani analipwa pesa zetu sisi walipa kodi,halafu anajibehave hovyohovyo?

Ateue mwingine tu,atakayeishi kadri ya ethiycs za utumishi wa umma,huyu akapumzike,afanye shughuli nyingine,siyo lazima aendelee kuwepo pale.Kuna binadamu wanaheshimu nafasi zao,wengi tu,awapishe.
Mshahara wake kuwa sehemu ya kodi zetu isiwe nongwa ya kutaka kuyatawala maisha yake.

Kuna wezi wangapi wameiba mabilioni ya pesa katika mashirika ya umma na mishahara yao ni kodi zetu?.
 
Back
Top Bottom