Kazi nzuri sana mkuu wa wilaya ya Temeke

Kazi nzuri sana mkuu wa wilaya ya Temeke

Tatizo kwenye mitandao humu mtu yeyote ana uhuru wa kuchangia hata kama kichaa bora awe na bando baasi hata kama akili na uelewa hana. sasa wajinga mnaotetea huu uchafu wa Jokate msikie. Kuwa kiongozi hasa mwakilishi wa moja kwa moja wa Rais LAZIMA uwe na adabu , nidhamu ya hali ya juu na maadili (Good Morals). kuanzia mavazi, unywaji, chakula na MAHUSIANO etc. huruhusiwi kuwa mlevi, mgomvi, malaya , mbea etc. Jokate kadhihirisha UMALAYA WAKE na hiyo inamfutia maadili yote hana kama kiongozi. Angekua amezaa sio kiongozi usiogetuona waelewa humu. Hafai kuwa DC wala Kiongozi wa nafasi hiyo. hakuna justification yoyote kwenye hili kama ana busara AONDOKE period. povu ruxa.
Tz ukitaka kufuatilia haya Mkuu sidhani kama utapata mwenye maadili, itabidi tukakodi wenye maadili nje ya Nchi 🤣
🤣
 
Unaposema sisi unamaanisha mpo zaidi ya mmoja?. SSH ni mwajiri wake kama kumuondoa au kumbakiza ataamua yeye mwenyewe.

Ubunifu wake ameona ni zaidi ya nani amempa ujauzito na yeye mwenyewe kama anachafuliwa na hali hiyo.

Sikujui lakini kwa jinsi ulivyoandika ni wale wale tu watanzania wa kujifanya mna maadil wakati pengine ni wachafu kuliko Jokate mwenyewe.
Lot of generalisation..sijui una shida gani, ila btn the lines una dependency mind na kudhani hapo ulipo una upekee kupita wengine wote..which s not true n wrong. Ninaposema sisi hata km ninaongea kwa niaba ya mtu mmoja, kosa ni kosa, haliwi kosa sabb linasemwa na watu wengi, Rais sio mwajiri wake..hata km ni mwajiri wake, km anaowaongoza hawamtaki, mwajiri wake ndio amebeba dhamana ya kosa alilofanya? kwamba tumseme yeye sabb hataki kumtoa ndio una maana hiyo? hadhi ya urais unaweza kuishusha kiasi cha kutetea kiongozi anaewakosea anaowaongoza? km ndio hivyo Tz hata mbuzi anaweza pewa uongozi aongoze watu! to hell na ubunifu wake, akambunie aliyempa mzigo na wewe km unapenda, not us! adabu, nidhamu na tabia njema ni zaidi ya ubunifu unaouona wewe anao.
 
Kwa taarifa yako kuna register ya ndoa zote z tanzania hii. Mpaka dakika 10 zilizopita jina lake halipo. Na kwenye orodha ya watu waliobadili majina hayupo. So hana ndoa, anazaa mtoto haramu. Kwa kiongonzi jambo hili lina defeat moral integrity na dhana mzima ya mfano kwa unaowaongoza. Kama dc anabeba mimba ya guest maisha yanaendelea inakuwaje kwa mabinti wengine?
Mbona wewe wazazi wako hawakufunga ndoa? Kwa hiyo nawe ni mtoto haramu?
 
Lot of generalisation..sijui una shida gani, ila btn the lines una dependency mind na kudhani hapo ulipo una upekee kupita wengine wote..which s not true n wrong. Ninaposema sisi hata km ninaongea kwa niaba ya mtu mmoja, kosa ni kosa, haliwi kosa sabb linasemwa na watu wengi, Rais sio mwajiri wake..hata km ni mwajiri wake, km anaowaongoza hawamtaki, mwajiri wake ndio amebeba dhamana ya kosa alilofanya? kwamba tumseme yeye sabb hataki kumtoa ndio una maana hiyo? hadhi ya urais unaweza kuishusha kiasi cha kutetea kiongozi anaewakosea anaowaongoza? km ndio hivyo Tz hata mbuzi anaweza pewa uongozi aongoze watu! to hell na ubunifu wake, akambunie aliyempa mzigo na wewe km unapenda, not us! adabu, nidhamu na tabia njema ni zaidi ya ubunifu unaouona wewe anao.
Mapovu meeengi. Jokate ni mkuu wa wilaya ya Temeke, kama hutaki tafuta mabango uandamane, unatumia nguvu nyingi for nothing.
 
Mapovu meeengi. Jokate ni mkuu wa wilaya ya Temeke, kama hutaki tafuta mabango uandamane, unatumia nguvu nyingi for nothing.
Hata angekuwa messenger povu liko pale pale..just doing our part, mabango gani unataka zaidi ya haya, nothing fr you not me, that's the way l live..have seen so many of your type but no more today, cheo ni dhamana leo unayo kesho haipo! people's voices against pride does not vanish in the air as you think..keep watching!
 
Hata angekuwa messenger povu liko pale pale..just doing our part, mabango gani unataka zaidi ya haya, nothing fr you not me, that's the way l live..have seen so many of your type but no more today, cheo ni dhamana leo unayo kesho haipo! people's voices against pride does not vanish in the air as you think..keep watching!
Jokate ni DC wa Temeke, mnataka kuipaka matope serikali ya SSH kwa cheo alichonacho huyo dada?.

Mnazungukia mbaali sana kumbe mlengwa ni Samia!, poleni sana.
 
Unaposhika nafasi ya kumwakikisha Rais kama DC au RC kuna maslahi ya Taifa ikiwemo mahusiano yako. So kulalwa lalwa hovyo nooooo. Ndio maana ana bendera ya Serikali. Huyu
Anatakiwa ajiuzulu mara moja.
Mnajifanya nyie ndiyo wasafi siyo

Ova
 
Kipuz kweli hicho kimtu
Ana komaa mimba mimba
Wakat wadgo zake wanapigw na
Watu wa bodaboda

Ova
Duh, wanadanganyika na ule muziki wa bodaboda!!, maana baadhi yao wana tabia ya kufungulia sauti kubwa muda wote utadhani wana matatizo ya masikio.
 
Na angekuwepe Mwendazake,lazima wabongo wangemuangushia Jumba bovu kua huo Mzigo wa Joketi ni wake!!
Angekuwepo lazima Freddy Vunjabei angeandamwa na TRA na biashara kufungiwa mpaka aombe pooo.
 
Back
Top Bottom