mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Huyo fisi mnafiki sanaVijana matatizo matupu hawa, wanawaamini sana mama zao wakati hawana uwezo wa kufahamu kilichokuwa kikiendelea kabla hawajazaliwa.
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo fisi mnafiki sanaVijana matatizo matupu hawa, wanawaamini sana mama zao wakati hawana uwezo wa kufahamu kilichokuwa kikiendelea kabla hawajazaliwa.
Sisi tuipake matope? au wao na nyinyi mnaotetea mnapakana matope wenyewe..si kila linalosemwa wewe akili yako inalipeleka huko unakosema, unadumaza uwezo wa akili yako kufikiri..you be useless.Jokate ni DC wa Temeke, mnataka kuipaka matope serikali ya SSH kwa cheo alichonacho huyo dada?.
Mnazungukia mbaali sana kumbe mlengwa ni Samia!, poleni sana.
Watu wanatetea tu,lakini kiukweli mkuu wa wilaya,ambaye ni kama Rais wa wilaya husika,unawafundisha nini wadada au vijana kwa ujumla kuhusu maadili?Kwa hiyo tufute ethics and conducts za watumishi wa umma sababu Jokate kapata mimba na ni kinyume. NOOO.
Tatizo ni wanaoingia kwenye siasa,hata wakienenda kinyume na ethics za utumishi wa umma,hawako tayari kujiuzulu,labda kiongozi wao amuwajibishe,lakini siyeye.We chukulia mfano wa Covid 19,hawataki kuondoka bungeni,pamoja na kuwa mle illegally,hawataki,maana hawajui nini watafanya nje ya sistim ya siasa.Halikadhalika Jokate,sidhani kama yuko tayari kujiuzulu,atakomaa hapohapo hadi ajifungue.Magufuli alimtumbua Mtela Mwampamba,kisa aliji-misbehave kwa kutuhumiwa kufanya umalaya na wake za watu,sasa huyu(Jokate) sijui nani atamuwajibisha.Hakuna mahali uongozi hauna miiko..labda Tz ndio iwe ya kwanza kiongozi hata afanye umalaya au ulevi wa kulala bar hakuna mtu anajali..Will not accept this till morning!
Kuna mtindo unataka kuhalalishwa, kwamba Tz mtu yeyote anaweza kuwa kiongozi bila kujali historia yake na matendo yake kwa sasa..pili uongozi Tz ni kitu chepesi hakina thamani..wakati raia wanatoa jasho lao ili viongozi waongoze vzr..wakitaka hivyo basi wawe wanaprint pesa wanalipana viongozi..tutanyamaza, utamaduni wa kutosema mapungufu ya viongozi yanapotokea ni hatari sana kwa nchi!Tatizo ni wanaoingia kwenye siasa,hata wakienenda kinyume na ethics za utumishi wa umma,hawako tayari kujiuzulu,labda kiongozi wao amuwajibishe,lakini siyeye.We chukulia mfano wa Covid 19,hawataki kuondoka bungeni,pamoja na kuwa mle illegally,hawataki,maana hawajui nini watafanya nje ya sistim ya siasa.Halikadhalika Jokate,sidhani kama yuko tayari kujiuzulu,atakomaa hapohapo hadi ajifungue.Magufuli alimtumbua Mtela Mwampamba,kisa aliji-misbehave kwa kutuhumiwa kufanya umalaya na wake za watu,sasa huyu(Jokate) sijui nani atamuwajibisha.
DC NI Jokate suala la mimba ni la kwake binafsi sisi hatuna utakatifu wala sio malaika eti tujione kimaadili tunamzidi chochote.Sisi tuipake matope? au wao na nyinyi mnaotetea mnapakana matope wenyewe..si kila linalosemwa wewe akili yako inalipeleka huko unakosema, unadumaza uwezo wa akili yako kufikiri..you be useless.
Wee unajua ndoa zote Kwan mkuu,,ndoa zipo za aina nyingiMkuu wa wilaya kuwa na mimba bila ndoa ni ujumbe gani kwa vijana???? tafakari bila hasira.
Ndo dunia yetu mkuu hapo kawaida sana huyo demu ni jeuri na kiburi wengi wanazaalja nyumbani akiwa na elimu na pesa anaona yeye yuko juu sasa hapo angalia ataenda maternity mda mrefu tu kwake halafu wanataka haki sawaMwanafunzi akipata uja uzito wanamfukuza shule!
Having said that, kahisi umri unakwenda lakini angefunga ndoa japo ya mkataba!
Mkuu watu wanaona kawaida ila ukiukwaji wa maadili ndo unaleta viongozi wa ovyo mpaka tunapata waizi ,mafisadi kama unakumbuka sijui ni enzi za jpm Kuna kiongozi wilay sijui mkoa fulani alitimuliwa sababu alikuwa ana kula wake za watu na kuwapa mimba jamaa aliangalia maadili sana mwendazakeWatu wanatetea tu,lakini kiukweli mkuu wa wilaya,ambaye ni kama Rais wa wilaya husika,unawafundisha nini wadada au vijana kwa ujumla kuhusu maadili?
Unabeba ujauzito bila kufunga ndoa,unategemea nini kwenye jamii,au ni promosheni ya u-singo madha,au vinaambatana na masharti ya misaada tunayopokeapokea kutoka ughaibuni?
Inasikitisha sana kwakweli.
Dada zetu wanaomuona Joketi kama kioo chao,hakyanani itakua ngumu kuwabadilisha wasizae hovyohovyo.
Ni kapumbavu!Kipuz kweli hicho kimtu
Ana komaa mimba mimba
Wakat wadgo zake wanapigw na
Watu wa bodaboda
Ova
Mambo binafsi yananzia na kuishia wapi? Mtela alivyotongoza wafanyakazi wenzie siyo mambo binafsi, au ulevi si mambo binafsi..nani kajihesabia haki kumkosoa mtu ni kujihesabia haki?hakuna mtu mtakatifu huhitaji kusema lkn si excuse ya kutenda maovu hasa kwa kiongozi, there lot to sacrifice being a leader including not to indulge in lust behaviour na kupata mimba..msipotoshe maana ya maneno.DC NI Jokate suala la mimba ni la kwake binafsi sisi hatuna utakatifu wala sio malaika eti tujione kimaadili tunamzidi chochote.
Kujihesabia haki ni dhambi kama ulikuwa hujui.
Kujihesabia haki ni dhambi mkuu naona unajaribu kutetea hoja yako nyepesi tu.Mambo binafsi yananzia na kuishia wapi? Mtela alivyotongoza wafanyakazi wenzie siyo mambo binafsi, au ulevi si mambo binafsi..nani kajihesabia haki kumkosoa mtu ni kujihesabia haki?hakuna mtu mtakatifu huhitaji kusema lkn si excuse ya kutenda maovu hasa kwa kiongozi, there lot to sacrifice being a leader including not to indulge in lust behaviour na kupata mimba..msipotoshe maana ya maneno.
Nilisema hapo awali hakuna mtu anajihesabia haki..na kumwambia mtu amekosa si kujihesabia haki, hiyo mifano uliyotoa yote haifanani na hii ya DC, mfano ukifuata viwango vya kupata viongozi marekani, pengine jokate wala asingekuwa DC..kuna tofauti kubwa sana kati ya jamii ya wamarekani na sisi africa..kwa kesi ya Daud na Suleiman vzr ukitambua kwanza kuwa kati ya watu kwenye Biblia waliokuwa na unyenyekevu wa kiwango cha juu kabisa ni mfalme Daudi, hata hivyo hilo kosa alilofanya la zinaa na mke wa Uriah Mungu alimwadhibu, Suleiman hakuoa wake 1000 kwa ajili ya matamanio ya mwili (zinaa) alifanya hivyo kwa lengo, hivyo haikuwa kosa sabb ilimsaidia kwenye utawala wake..kila mtu anakosea, kwa kiongozi..ukiona umewakosea unaowaongoza kwa maana ya kutunza heshima ya kazi/nafasi uliyokuwa nayo na kuonyesha heshima kwa uliokuwa unawatumikia vyema kuachia hiyo nafasi waje wengine, kiongozi hapaswi kuwa na kiburi na dharau, kuendelea kuwa hapo ilihali umekosa ni kuonyesha kiburi na dharau kwa unaowaongoza.Kujihesabia haki ni dhambi mkuu naona unajaribu kutetea hoja yako nyepesi tu.
Bill Clinton alifanya mapenzi mle mle white house, nani alimuondolea cheo chake hata baada ya mpelelezi mmoja kufanya upelelezi na kumkuta hana hatia!.
Mfalme Daudi alilala na mke wa Uria nabii mmoja akaja kumwambia juu ya dhambi aliyofanya, nani alimuondolea utukufu wake?. Zaburi yote aliiandika Daudi na ndio huyo huyo aliyemuua Uria!.
Mfalme Suleiman na wanawake zake 1,000 ameandika vitabu vya agano la kale tunavitumia makanisani na tutakufa tukiwaacha wengine wakiendelea kufaidika na hekima zake.
Punguza hukumu wewe ni binadamu tu ambaye huna usafi kuwashinda hao niliowataja hapo juu.
Tumbo la JokatiUlitaka kutuonyesha tumbo
Ulitaka akutangazie mume wake?au unafikiri ndoa inafungwa msikitini na kanisani pekeyake?usimhukumu kwa kutumia imani yakoKuongoza ni kuonyesha mfano..utakuwaje na mimba hujaolewa halafu wewe ni kiongozi, kwa nini mtu akiwa mlevi anapoteza sifa ya kuwa kiongozi..ulevi siyo jambo binafsi? Mfano, wewe uko tayari upande gari inaendeshwa na mlevi au mvuta bangi? Uongozi ni heshima, hivi jamii ya watz ina matatizo gani? Halafu kila siku maadili yameshuka ndiyo maana tuna panya road, hao panya road wanatoka wapi? Kama sio kwenye tabia km hizi za kupeana mimba bila kuoa au kuolewa..
Jamaaa gani huyoNi mimba ya yule bwana mdogo aliyefurushwa na mwendazake kwenye nafasi ya "dasi", dogo ameamua kufanya kweli sasa.
Duh kweliMimba zinaweza kuingia bila ndoa