Kazi nzuri sana mkuu wa wilaya ya Temeke

Kazi nzuri sana mkuu wa wilaya ya Temeke

Ndio maana huwa nasema Lulu ana akili na heshima kuliko wengi. Kuzaa nje ya ndoa kwa kiongozi ni laana. Narudia ni laana. Kashindwa nini kufunga ndoa na kuweka wazi ndoa yake. Atawaambia ni iwanafunzi wetu na vijana kimaadili. Mama Samia teua mtu mwingine bana huyo NEI NEI BABHUCHE.
Siyo kwa kiongozi tu bali mtu yeyote anayezaa nje ya ndoa hana akili timamu zilizosalimika.
 
We kweli changudoa yaani DC ni mwakilishi wa Rais directly. Kubeba mimba bila ndoa ni image mbaya kwa Taifa taahira Wewe. Au Na wewe mlala chaliii
Hiyo unaiona kwenye kubeba mimba tu!??

Watu wanabeba marumbesa ya hela huku wazazi wako wanaliwa na umasikini alafu umekomaa na mimba ya Jokete?

Una mavi kichwani walahi!

Sidhani kama wa Sirilanka wanakomaa na ishu za kipumbavu kama ufanyavyo wewe hapa
 
Ila Fred bhnaaa[emoji3][emoji3][emoji3] kashamjaza Kiongozi wetuu[emoji1768]
 
Mimba yake inakuhusu nn ww fuata uchapa kazi wake basi maswala ya mahusiano ya mtu ni kuingilia mambo binafsi ya mtu...

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Duniani hakuana jambo binafsi kila kitu chako kina maslahi na watu wengine. Sembuse mimba na afya ya kiongonzi ambaye kula, kulala, kuvaa na gari na kila kitu chake isipokuwa oxygen vinagharamiwa na mlipa kodi?
 
Mkuu wa wilaya kuwa na mimba bila ndoa ni ujumbe gani kwa vijana???? tafakari bila hasira.
Kama hajapatikana wa kumhitaji kumwoa afanyeje na muda unaenda na anahitaji kupata watoto watakao msaidia baadae ?

Chukulia wanaume ni wengi kupita wanawake na hajajitokeza mwanamme wa kumwoa.

Watoto ni hazina ya taifa ya baadae na kila mtu anawahitaji.
Angekuwa Mwamme anazaa tu na wanawake bila kuwaoa hapo ndipo pangekuwa na maswali ya kujiuliza inakuwaje.

Mwanamke anaweza kushika mimba kwa kununua tu mbegu za Kiume Hospitali na kuzipandikiza Kwake.

Na huenda ndicho alichofanya Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya.
 
Two wrongs don’t make right . Alichifanya kinaondoa hadhi ya uongozi hakuna kama una mahaba hapa Haya apply. Hatutaki Viongozi wachafu wasio mfano wa maadili.!
Wajinga nyie, wanaoiba mabilioni sio wachafu ila binti alieamua kubeba mimba kwa ridhaa yake na uwezo wa kutunza anao mnamuona fala?
 
Umejuaje kama hajaolewa?. Punguza maneno ya kimbea yasiyo na uhakika.
Kwa taarifa yako kuna register ya ndoa zote z tanzania hii. Mpaka dakika 10 zilizopita jina lake halipo. Na kwenye orodha ya watu waliobadili majina hayupo. So hana ndoa, anazaa mtoto haramu. Kwa kiongonzi jambo hili lina defeat moral integrity na dhana mzima ya mfano kwa unaowaongoza. Kama dc anabeba mimba ya guest maisha yanaendelea inakuwaje kwa mabinti wengine?
 
Kwa taarifa yako kuna register ya ndoa zote z tanzania hii. Mpaka dakika 10 zilizopita jina lake halipo. Na kwenye orodha ya watu waliobadili majina hayupo. So hana ndoa, anazaa mtoto haramu. Kwa kiongonzi jambo hili lina defeat moral integrity na dhana mzima ya mfano kwa unaowaongoza. Kama dc anabeba mimba ya guest maisha yanaendelea inakuwaje kwa mabinti wengine?
Kama hakuna mwanaume aliyemwomba kufunga ndoa naye, wewe unataka azeeke na kufa bila mtoto hali uzazi anao ?

Hayo mambo ya Haramu ni kwenye mila zako binafsi huko.
Ulimtogoza kutaka kumwoa akakukatalia ?

Huu ni Uzembe au uoga wa Vijana wa kiume wa Tanzania. Inakuwaje mtoto mzuri kama huyo mwenye akili, kazi na juhudi ya kazi mnamwangalia tu.

Alimpenda Alikiba akamtelekeza, Vunjabei Naye akaonesha Nia akaingia mitini.
Unataka awabake wanaume ?

Eti mtoto wa haramu, unamwambiaje Binadamu mwenzako ni mwanaharamu kama una akili timamu ?

Babu yako alifunga ndoa wapi hadi akamzaa Babu yako?
Kwahiyo wewe ni Mwanaharamu ?

Wacha kuonesha ujinga wako hapa
halaa...!
 
Kama hakuna mwanaume aliyemwomba kufunga ndoa naye, wewe unataka azeeke na kufa bila mtoto hali uzazi anao ?

Hayo mambo ya Haramu ni kwenye mila zako binafsi huko.
Ulimtogoza kutaka kumwoa akakukatalia ?

Huu ni Uzembe au uoga wa Vijana wa kiume wa Tanzania. Inakuwaje mtoto mzuri kama huyo mwenye akili, kazi na juhudi ya kazi mnamwangalia tu.

Alimpenda Alikiba akamtelekeza, Vunjabei Naye akaonesha Nia akaingia mitini.
Unataka awabake wanaume ?

Eti mtoto wa haramu, unamwambiaje Binadamu mwenzako ni mwanaharamu kama una akili timamu ?

Babu yako alifunga ndoa wapi hadi akamzaa Babu yako?
Kwahiyo wewe ni Mwanaharamu ?

Wacha kuonesha ujinga wako hapa
halaa...!
Mbona nasikia Vunjabei ndio baba mtarajiwa?
 
Kwa taarifa yako kuna register ya ndoa zote z tanzania hii. Mpaka dakika 10 zilizopita jina lake halipo. Na kwenye orodha ya watu waliobadili majina hayupo. So hana ndoa, anazaa mtoto haramu. Kwa kiongonzi jambo hili lina defeat moral integrity na dhana mzima ya mfano kwa unaowaongoza. Kama dc anabeba mimba ya guest maisha yanaendelea inakuwaje kwa mabinti wengine?
Wale wale wapenda magazeti ya udaku. Ulishawahi kuwa na rais ambaye watoto wake hawajulikani kama ni wa kwake kweli.

Hakuna mkamilifu chini ya jua na huu ujinga wa kujifanya sisi ni malaika ndio unaliponza taifa hili linakosa maendeleo ya kweli.

SSH aamue kuachana na Jokaye kisa amezaa nje ya ndoa!!, mbona kuna vichaa wengi tu wana vyeti vya ndoa1.
 
Wale wale wapenda magazeti ya udaku. Ulishawahi kuwa na rais ambaye watoto wake hawajulikani kama ni wa kwake kweli.

Hakuna mkamilifu chini ya jua na huu ujinga wa kujifanya sisi ni malaika ndio unaliponza taifa hili linakosa maendeleo ya kweli.

SSH aamue kuachana na Jokaye kisa amezaa nje ya ndoa!!, mbona kuna vichaa wengi tu wana vyeti vya ndoa1.
Yeye jokate ana nini? Kwa hiyo alizaliwa na kitu cha pekee kinachomfanya lazima awe kiongoz hata km amekosea..akimtoa watz watakosa nini? Wangapi wanabeba mimba bila kuolewa hatusemi? ina maana hamuelewi kwa nini tunasema! Kama jamii haiwezi kukemea ujinga wa aina hii kwa viongozi, mambo gani itaweza kukemea..halafu kiburi cha kutetea kiongozi ametoka nje ya mstari kinatoka wapi? hiyo ni dharau sisi hatuitaki! Unataka uongozi fanya tunavyotaka sisi..ulevi, mimba nje ya ndoa, wizi,ufisadi..hatutaki! Na tumekosa maendeleo sabab ya ujinga wenu wa kutetea mambo ya aina hii na dharau kwamba watanifanya nini..tukiendelea kukalia kimya ujinga km huu ipo siku mtatupanda kichwani mfanye choo..
DAS wake kisarawe si alitolewa uDAS sabb ya kutongoza wafanyakazi wenzie..kwa hiyo mimba ya nje ya ndoa kwa DC ni sawa, ila kutongoza wafanyakazi si sawa..wapi mstari kuonyesha hili ni sawa kwa kiongozi na hili siyo sawa, au tunajiendea tu km kundi la nyumbu..hakuna order.
 
Hata yule DC wa bagamoyo ni yale yale km alichofanya huyu..wote ni kuwatoa, wamepeana mimba kimya kimya na Aweso badae ndio wnasema wameoana kupotezea aibu, lini alivunja ndoa yake ya mwanzo anajua yeye..yaani ni km nchi haina watu kabisa wenye sifa, nidhamu na adabu kuwa viongozi hadi tunabembeleza wazinifu? Si laana hii..km wanafaa sana wawachukue huko huko ccm wawape kazi wanayotaka, hakuna atakaesema sabb ccm ni kokoro takataka yote linabeba.
 
Yeye jokate ana nini? Kwa hiyo alizaliwa na kitu cha pekee kinachomfanya lazima awe kiongoz hata km amekosea..akimtoa watz watakosa nini? Wangapi wanabeba mimba bila kuolewa hatusemi? ina maana hamuelewi kwa nini tunasema! Kama jamii haiwezi kukemea ujinga wa aina hii kwa viongozi, mambo gani itaweza kukemea..halafu kiburi cha kutetea kiongozi ametoka nje ya mstari kinatoka wapi? hiyo ni dharau sisi hatuitaki! Unataka uongozi fanya tunavyotaka sisi..ulevi, mimba nje ya ndoa, wizi,ufisadi..hatutaki! Na tumekosa maendeleo sabab ya ujinga wenu wa kutetea mambo ya aina hii na dharau kwamba watanifanya nini..tukiendelea kukalia kimya ujinga km huu ipo siku mtatupanda kichwani mfanye choo..
DAS wake kisarawe si alitolewa uDAS sabb ya kutongoza wafanyakazi wenzie..kwa hiyo mimba ya nje ya ndoa kwa DC ni sawa, ila kutongoza wafanyakazi si sawa..wapi mstari kuonyesha hili ni sawa kwa kiongozi na hili siyo sawa, au tunajiendea tu km kundi la nyumbu..hakuna order.
Unaposema sisi unamaanisha mpo zaidi ya mmoja?. SSH ni mwajiri wake kama kumuondoa au kumbakiza ataamua yeye mwenyewe.

Ubunifu wake ameona ni zaidi ya nani amempa ujauzito na yeye mwenyewe kama anachafuliwa na hali hiyo.

Sikujui lakini kwa jinsi ulivyoandika ni wale wale tu watanzania wa kujifanya mna maadil wakati pengine ni wachafu kuliko Jokate mwenyewe.
 
Tatizo kwenye mitandao humu mtu yeyote ana uhuru wa kuchangia hata kama kichaa bora awe na bando baasi hata kama akili na uelewa hana. sasa wajinga mnaotetea huu uchafu wa Jokate msikie. Kuwa kiongozi hasa mwakilishi wa moja kwa moja wa Rais LAZIMA uwe na adabu , nidhamu ya hali ya juu na maadili (Good Morals). kuanzia mavazi, unywaji, chakula na MAHUSIANO etc. huruhusiwi kuwa mlevi, mgomvi, malaya , mbea etc. Jokate kadhihirisha UMALAYA WAKE na hiyo inamfutia maadili yote hana kama kiongozi. Angekua amezaa sio kiongozi usiogetuona waelewa humu. Hafai kuwa DC wala Kiongozi wa nafasi hiyo. hakuna justification yoyote kwenye hili kama ana busara AONDOKE period. povu ruxa.
 
Yaani mnachukia Mimba.
Duh...hii ni ajabu ya mwaka.

Amri ya muhimu kabisa ya Muumba Mbingu na Dunia ni hii.

Mwanzo 1:27
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.

28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.

Kuna kitu kizuri dunia hii kama Mimba ?
We mwenzetu ulitokea wapi ?

Au mwenzetu uliumbwa kwa mfano wa Tumbili ?

Nimegundua hii ni chuki ya wapinzani wa Joketi.
Fanyeni mambo yenu.

Mimba kwa mwanamke mkubwa sio kosa la Jinai katika nchi yetu.

Mimba ni Baraka toka kwa Mungu.

Asante Joketi kwa kujipatia Mimba safi kabisa.
Tunamsubiri Mwanadamu aliye mfano wa Mungu mwenyewe aje atuletee changamoto mpya.

Achana na hao wapinzani wako wa Kijamii, Kiuchumi na Kisiasa.

Uamuzi uliouchukua ni bora kabisa.
 
Back
Top Bottom