Kazi nzuri sana mkuu wa wilaya ya Temeke

Kazi nzuri sana mkuu wa wilaya ya Temeke

Kuongoza ni kuonyesha mfano..utakuwaje na mimba hujaolewa halafu wewe ni kiongozi, kwa nini mtu akiwa mlevi anapoteza sifa ya kuwa kiongozi..ulevi siyo jambo binafsi? Mfano, wewe uko tayari upande gari inaendeshwa na mlevi au mvuta bangi? Uongozi ni heshima, hivi jamii ya watz ina matatizo gani? Halafu kila siku maadili yameshuka ndiyo maana tuna panya road, hao panya road wanatoka wapi? Kama sio kwenye tabia km hizi za kupeana mimba bila kuoa au kuolewa..
Mwanafunzi akipata uja uzito wanamfukuza shule!
Having said that, kahisi umri unakwenda lakini angefunga ndoa japo ya mkataba!
 
Ndio maana huwa nasema Lulu ana akili na heshima kuliko wengi. Kuzaa nje ya ndoa kwa kiongozi ni laana. Narudia ni laana. Kashindwa nini kufunga ndoa na kuweka wazi ndoa yake. Atawaambia ni iwanafunzi wetu na vijana kimaadili. Mama Samia teua mtu mwingine bana huyo NEI NEI BABHUCHE.
Umejuaje kama hajaolewa?. Punguza maneno ya kimbea yasiyo na uhakika.
 
Unaposhika nafasi ya kumwakikisha Rais kama DC au RC kuna maslahi ya Taifa ikiwemo mahusiano yako. So kulalwa lalwa hovyo nooooo. Ndio maana ana bendera ya Serikali. Huyu
Anatakiwa ajiuzulu mara moja.
Serikali haina dini
 
Nimeona uchapakazi wako japo unaonekana una uchovu fulani (lakini ni wa baraka)

Unapambana kweli kweli hongera sana kwa uchapa kazi. Mabilioni yamemwagwa Temeke
View attachment 2285028
DC wa Temeke Jokate Mwegelo akiwa na waziri Bashungwa kwenye kuchapa kazi

Mabadiliko ni muhimu. Hongera sana

Pascal Mayalla aone hii na atoe credits zake. Mabilioni yanakuja tuu ni baraka tele.
Hivi DC ndiye mtendaji pale wilayani au mkoani?

Vipi nafasi ya DED ipo wapi hapo na kama jukumu la utendaji kapewa DC sasa nini kazi ya DED?
 
Nimeona uchapakazi wako japo unaonekana una uchovu fulani (lakini ni wa baraka)

Unapambana kweli kweli hongera sana kwa uchapa kazi. Mabilioni yamemwagwa Temeke
View attachment 2285028
DC wa Temeke Jokate Mwegelo akiwa na waziri Bashungwa kwenye kuchapa kazi

Mabadiliko ni muhimu. Hongera sana

Pascal Mayalla aone hii na atoe credits zake. Mabilioni yanakuja tuu ni baraka tele.
Nani kamdunga mimba DC?
 
Back
Top Bottom