sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Kama ni kweli mimba ni miezi mingapi,Ni mimba ya yule bwana mdogo aliyefurushwa na mwendazake kwenye nafasi ya "dasi", dogo ameamua kufanya kweli sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kweli mimba ni miezi mingapi,Ni mimba ya yule bwana mdogo aliyefurushwa na mwendazake kwenye nafasi ya "dasi", dogo ameamua kufanya kweli sasa.
Mimba zinaweza kuingia bila ndoaMkuu wa wilaya kuwa na mimba bila ndoa ni ujumbe gani kwa vijana? tafakari bila hasira.
Labda kafunga ndoa kisirisiri na Kijana tajiri Vunjabei...Kuongoza ni kuonyesha mfano..utakuwaje na mimba hujaolewa halafu wewe ni kiongozi, kwa nini mtu akiwa mlevi anapoteza sifa ya kuwa kiongozi..ulevi siyo jambo binafsi? Mfano, wewe uko tayari upande gari inaendeshwa na mlevi au mvuta bangi? Uongozi ni heshima, hivi jamii ya watz ina matatizo gani? Halafu kila siku maadili yameshuka ndiyo maana tuna panya road, hao panya road wanatoka wapi? Kama sio kwenye tabia km hizi za kupeana mimba bila kuoa au kuolewa..
Vunjabei kumbe ni mhuni?Kuna mhuni kapita "raw"
Ukiwa kiongozi hufanyi mambo kwa siri..ili kulinda kuaminiwa na unaowaongoza.Labda kafunga ndoa kisirisiri na Kijana tajiri Vunjabei...
Wewe umejuaje kwamba hajaolewa?? Nipe tafsiri ya ndoa kwanzaKuongoza ni kuonyesha mfano..utakuwaje na mimba hujaolewa halafu wewe ni kiongozi, kwa nini mtu akiwa mlevi anapoteza sifa ya kuwa kiongozi..ulevi siyo jambo binafsi? Mfano, wewe uko tayari upande gari inaendeshwa na mlevi au mvuta bangi? Uongozi ni heshima, hivi jamii ya watz ina matatizo gani? Halafu kila siku maadili yameshuka ndiyo maana tuna panya road, hao panya road wanatoka wapi? Kama sio kwenye tabia km hizi za kupeana mimba bila kuoa au kuolewa..
HahahahaSio mimba tu tuhesabie dhambi zake zingine zote, ukimaliza zitaje na za kwako
Wamemjaza aisee wahuni siyo watu poa
Hayo malalamiko yapeleke ofisi za TaruraSiku hizi imekuwa ni vigumu kumuona Jokate Ofisini kwake,nina malalamiko kuhusu kero za hawa TARURA.
Fanya yako tu mkuu, mengine muachie muhusikaMkuu wa wilaya kuwa na mimba bila ndoa ni ujumbe gani kwa vijana???? tafakari bila hasira.