DIUNATION
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,591
- 1,719
Acha kujiweka kipaumbele kwenye maisha ya watuMkuu wa wilaya kuwa na mimba bila ndoa ni ujumbe gani kwa vijana???? tafakari bila hasira.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kujiweka kipaumbele kwenye maisha ya watuMkuu wa wilaya kuwa na mimba bila ndoa ni ujumbe gani kwa vijana???? tafakari bila hasira.
Na mzigo juuPamoja na huyu bidada kuwa vizuri upstairs, amekuwa na udhaifu katika upande wa mahusiano. Sikuwa namuona kama aina ya binti wa kuchafuliwa chafuliwa na hawa kina Kibamia, mara Mondi, mara Ngongoti..
Na sasa kaangukia 'madukani'.
Unavyoandika utadhani ni mlipa kodi kweli. Mo Dewji na Bakhresa waseme nini kama wewe unapiga makelele humu jukwaani!.Mwambie aache uongozi akaishi anavyopenda..kodi yetu hatutaki ilipe viongozi wa aina ya matendo yake..kwa hiyo hujui kodi tunayolipa inatusaidia nini na wajibu wetu ni nini kwa viongozi..hujui?
Wewe una usafi gani?.Aishi maisha yake nje ya Uongozi wa nchi yetu hakuna shida. Ukiwa Kiongozi mwakilishi wa Rais lazma huna uhuru na maisha yako yawe wazi.so aachie ngazi amenuka.
Wewe ni mpumbavu mpenda bure na kiburi cha maskini hohe hahe..ni kawaida yako kutetea ujinga siku tutalazimisha kuutoa huo ulevi na kuvimbiwa kunakotokana na kodi yetu akili itakusogea..km hao uliowataja kodi yao inatosha, waambie wanaokutuma waondoe PAYE tuone km utaendelea kuleta matapishi hapa..Unavyoandika utadhani ni mlipa kodi kweli. Mo Dewji na Bakhresa waseme nini kama wewe unapiga makelele humu jukwaani!.
Potezea ujinga huo.
Mleta mada ndio ameongelea hilo pia,huo nao ni umbea na cha ajabu unaweza kukuta mleta mada ni Me!Mimba yake inakuhusu nn ww fuata uchapa kazi wake basi maswala ya mahusiano ya mtu ni kuingilia mambo binafsi ya mtu...
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Mpe kongole,ameitafuta kwa tochi miakaMkuu wa wilaya kuwa na mimba bila ndoa ni ujumbe gani kwa vijana???? tafakari bila hasira.
NNA NDOA NA WATOTO WOTE NDANI YA NDOA. NA SIO DC.Wewe una usafi gani?.
Ahahahaha! Umenikumbusha yule jamaa wa 'Can You Fly to KIA?' Ahahahaha!Jamaa alikuwa hajitambui kwa rangi ya mtume
Huenda hii ndio fashion, Shake well before use,Mkuu wa wilaya kuwa na mimba bila ndoa ni ujumbe gani kwa vijana???? tafakari bila hasira.
Ila watanzania mna maneno jmn!!khaMbuzi walipoambiwa wale kwa urefu wa kamba zao . wahuni wameamua kumla mbuzi mwenyewe.
Wakati yeye ndo anafungisha ndoa jamani ule usemi wa penye wajenzi hapana miti umedhihilika temekeMkuu wa wilaya kuwa na mimba bila ndoa ni ujumbe gani kwa vijana???? tafakari bila hasira.
Wivu tuu unatala ukonjigate peke yako... unadhani DC yeyee hapendi uzi wa Rick boyKuongoza ni kuonyesha mfano..utakuwaje na mimba hujaolewa halafu wewe ni kiongozi, kwa nini mtu akiwa mlevi anapoteza sifa ya kuwa kiongozi..ulevi siyo jambo binafsi? Mfano, wewe uko tayari upande gari inaendeshwa na mlevi au mvuta bangi? Uongozi ni heshima, hivi jamii ya watz ina matatizo gani? Halafu kila siku maadili yameshuka ndiyo maana tuna panya road, hao panya road wanatoka wapi? Kama sio kwenye tabia km hizi za kupeana mimba bila kuoa au kuolewa..
acheni ku complicate mambo. kwani kuna nini cha ajabu kwa mkuu wa wilaya mwanamke kubeba mimba bila kuolewa?.Mkuu wa wilaya kuwa na mimba bila ndoa ni ujumbe gani kwa vijana???? tafakari bila hasira.