Kazi nzuri sana mkuu wa wilaya ya Temeke

Labda kafunga ndoa kisirisiri na Kijana tajiri Vunjabei...
 
Wema sepetu yeye mayai yake aliamua kukaanga chipsi

Hongera mkuu wa wilaya kwakujazwa tunasubiri ndoa sasa
 
Ndio maana huwa nasema Lulu ana akili na heshima kuliko wengi. Kuzaa nje ya ndoa kwa kiongozi ni laana. Narudia ni laana. Kashindwa nini kufunga ndoa na kuweka wazi ndoa yake. Atawaambia nini wanafunzi wetu na vijana kimaadili. Mama Samia teua mtu mwingine bana huyo NEI NEI BABHUCHE.
 
Wewe umejuaje kwamba hajaolewa?? Nipe tafsiri ya ndoa kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…