Kazi uliyokuwa ukiipenda pindi ungali mdogo ndo unaifanya Sasa?

Kazi uliyokuwa ukiipenda pindi ungali mdogo ndo unaifanya Sasa?

Dr am 4 real PhD

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2016
Posts
11,640
Reaction score
24,066
Ulihitaji sekunde kadhaa na macho kuona uwezo na kipaji Cha pekee kilichowekwa kwenye mguu wangu wa kushoto.....

Ilitokea Mara kwa mara wapitanjia kusimamisha.... shughuli Zao kustaajabu kipaji na uwezo wa kipekee uwanjani
Wapo walio nitabilia makubwa.....wapo walio toa fedha Zao kunituza.....

Siku Uamini mpira wa miguu wa Tanzania....Pia kasumba za enzi zile kua mpira wa miguu ni mchezo wa watoto wa kimaskini......

Wakati mwingine Niki ikanyaga ardhi na miguu yangu na hakika MUNGU aliweka kipaji Cha pekee Sana kwangu ila nili kipuuza....

"The greatest loss is what dies inside while still alive" -Tupac
 
Mtoa mada hujamaliza kuhusu we mwenyewe.......endelea kidogo
 
Uli itaji sekunde kadhaa na macho kuona uwezo na kipaji Cha pekee nilicho wekwa kwenye mguu wangu wa kushoto.....

Ilitokea Mara kwa mara wapitanjia kusimamisha shughuli Zao kustaajabu kipaji na uwezo wa kipekee uwanjani
Wapo walio nitabilia makubwa.....wapo walio toa fedha Zao kunituza.....

Siku uamini mpira wa miguu wa Tz na kasumba za enzi zile kua mpira wa miguu ni mchezo wa watoto wa kimaskini......

Wakati mwingine Niki ikanyaga ardhi na miguu yangu na hakika MUNGU aliweka kipaji Cha pekee Sana kwangu ila nili kipuuza....

"The greatest loss is what dies inside while still alive" -Tupac
Yes mm nlipenda kuwa mfamasia na sasa naisoma .
 
Yes mm nlipenda kuwa mfamasia na sasa naisoma .
Haahaa mm pia ni mfamasia ila sina (karatasi) cheti.....(jokes)

Nipo kweny industry miaka sasa ukimaliza chuo nitafute nikupe connect...pia uki itaji assistance yoyote kweny Mambo ya hii industry any time be free....
 
Nashukuru Mungu nimetimiza ndoto zangu nusu na bado napambana,Nilipenda niwe mpishi wa mahotel ya kitalii nipike vyakula vya mataifa mbalimbali.Ila bado sijatimiza moja ya kuwa na restaurant yangu
Hongeraa
 
Kazi ileile sema kitengo tofouti, maana ninavyochukia zile sare za khaki Mungu tu ndio anajua pengine leo SIRRO angekuwa amekwisha nifuta kazi.
 
Back
Top Bottom