Kazi uliyokuwa ukiipenda pindi ungali mdogo ndo unaifanya Sasa?

Kazi uliyokuwa ukiipenda pindi ungali mdogo ndo unaifanya Sasa?

nilitamani kuwa mfamasia lakini nimeambulia kupata diploma tu ya pharmacy... na mda ushakuwa mchache mambo lukuki
 
I don't doubt you.

Do something about it.

Don't take your gift with you to the grave.
Ki Umri sasaivi nakimbiza sungura.....

Nadhani mpk hapo unaweza fahamu nipo kwenye Umri gani....

35 yrs and above kweny football ushakua mzee.....

Mm ni mzee sasa kweny football.....hata huku nilipo sina regrets

Ni jukumu letu kuwashauri Vijana na kuwa guide ku pursue their dream....
 
Nilitamani kuwa Padre ila madent wa Nganza Girls ya Mwanza ndo wanajua ilikuwaje ndoto zangu zikazimika. Poor mseminari mie!

Utotoni nako nilitamani nikikua niwe bondia kama Tyson au mpiga kung-fu kama Bruce Lee. Ila kuna siku nilichezea kipigo kwa dogo mmoja wa kitaa, sarakasi zangu na ndoto zote zikafia pale.
Haujachelewa BADO...chance ya KUA
REV. The sun BADO ipo......ni maamuzi tu...
 
Ki Umri sasaivi nakimbiza sungura.....

Nadhani mpk hapo unaweza fahamu nipo kwenye Umri gani....

35 yrs and above kweny football ushakua mzee.....

Mm ni mzee sasa kweny football.....hata huku nilipo sina regrets

Ni jukumu letu kuwashauri Vijana na kuwa guide ku pursue their dream....
Start a soccer school.

Na matter how small.

Start where you are. You do not need buildings. Just a ball, a playing ground and some kids. Talk to your close neighbours and friends na sio uwaombe ushauri. No. Waambie tarehe fulani muda flani kutakuwa na practice ya watoto.

Kama upo Dar uta share location so I can enlist my kids kama sio mbali sana na ninapokaa.

I think ukiongea na uongozi wa sehemu kama Don Bosco unaweza kufanikisha jambo hili.

Good Luck.
 
Start a soccer school.

Na matter how small.

Start where you are. You do not need buildings. Just a ball, a playing ground and some kids. Talk to your close neighbours and friends na sio uwaombe ushauri. No. Waambie tarehe fulani muda flani kutakuwa na practice ya watoto.

Kama upo Dar uta share location so I can enlist my kids kama sio mbali sana na ninapokaa.

I think ukiongea na uongozi wa sehemu kama Don Bosco unaweza kufanikisha jambo hili.

Good Luck.
Nice advice....yaan ntaanza kufanyika Kazi.....

Tunajukumu la kusaidia wengine kutimiza ndoto Zao...
 
Ulihitaji sekunde kadhaa na macho kuona uwezo na kipaji Cha pekee kilichowekwa kwenye mguu wangu wa kushoto.....

Ilitokea Mara kwa mara wapitanjia kusimamisha.... shughuli Zao kustaajabu kipaji na uwezo wa kipekee uwanjani
Wapo walio nitabilia makubwa.....wapo walio toa fedha Zao kunituza.....

Siku Uamini mpira wa miguu wa Tanzania....Pia kasumba za enzi zile kua mpira wa miguu ni mchezo wa watoto wa kimaskini......

Wakati mwingine Niki ikanyaga ardhi na miguu yangu na hakika MUNGU aliweka kipaji Cha pekee Sana kwangu ila nili kipuuza....

"The greatest loss is what dies inside while still alive" -Tupac
niliota ndoto nilitamani nije kuwa expert baadaye kwenye taasisi flani nashukuru kwa sasa nimetimiza hapa JF
 
Nice advice....yaan ntaanza kufanyika Kazi.....

Tunajukumu la kusaidia wengine kutimiza ndoto Zao...
Yes. Halafu siku zote, mtoaji ndie anafaidi.

Narudia tena ukishaweka mambo yako sawa utupatie taarifa na humu tuwasajili watoto wetu.

It is a nice side hustle too that will wntertain you, keep you fit and earn you something.
 
Yes. Halafu siku zote, mtoaji ndie anafaidi.

Narudia tena ukishaweka mambo yako sawa utupatie taarifa na humu tuwasajili watoto wetu.

It is a nice side hustle too that will wntertain you, keep you fit and earn you something.
Tatizo ni muda......
 
nilitamani sana kujiunga na jeshi...bado napambana japo ivi sasa nimeangukia kwenye ulinzi binafsi...sijachoka kuwania nafasi za jeshi kwani naamini MUNGU anampa amtakae na anamnyima pia amtakae kama ni haki yangu kujiunga na jeshi nitajiunga...BADO NASUBIRI
 
Back
Top Bottom