Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haujachelewa BADO...Nilitamani niwe PADRE ili kazi au jukumu niokoe roho zenu.
Niendelee au??
Baba na mamachonde chonde waliopenda kucheza mama na bibi huu uzi hauhusu hayo mambo.
Check huyu ananambia bado. Akati hata kuchakata sehemu za siri za kike kuwa mbususu nishakupita.Haujachelewa BADO...
nilale tu nadhani nasinzia.Baba na mama
Kweny wokovu hakuna kuchelewa kina SAULO waligeuka na KUA mtume PAULOCheck huyu ananambia bado. Akati hata kuchakata sehemu za siri za kike kuwa mbususu nishakupita.
Kichwa KichafuNilivyokuwa Mtoto Nilitamani Kuwa Mkubwa.
Haahaa, mpira wa miguu nili upuuza....ni kitu ambacho nilikua Talented nilikifanya kikawaida ila kitofauti....niseme tu ki ufupi left football ni Gifted player.....nilale tu nadhani nasinzia.
Ila out of curiosity, unacheza soccer ya kulipwa?
Ujugu ujuguNilipenda kuwa muuza ujugu mabarabarani,sokoni na stendi .
I don't doubt you.Haahaa, mpira wa miguu nili upuuza....ni kitu ambacho nilikua Talented nilikifanya kikawaida ila kitofauti....niseme tu ki ufupi left football ni Gifted player.....
Hizi sio hekaya za alfa ulela ulela....trust me kwa mguu wangu wa kushoto nili be Gifted
sijui ndo kupigwa na maisha huku 🤣🤣🤣🤣.Jamaninisaidienijinsiyakuachanafasi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Check huyu ananambia bado. Akati hata kuchakata sehemu za siri za kike kuwa mbususu nishakupita.
Huyu atakua kaishazama chunvini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Kweny wokovu hakuna kuchelewa kina SAULO waligeuka na KUA mtume PAULO
nisaidienibasisijui ndo kupigwa na maisha huku 🤣🤣🤣🤣.
Kalale ndugu yangu.
Huja chelewa bado....