Kazi ya kusaka mke / mume ni ngumu sana ukiwa above 30 na umejipata kimaisha. ila mwanamke / mume unamuona anafata hela zako. Ushauri kijana oa mapema

Kazi ya kusaka mke / mume ni ngumu sana ukiwa above 30 na umejipata kimaisha. ila mwanamke / mume unamuona anafata hela zako. Ushauri kijana oa mapema

Vijana wadogo wamegoma kuoa mapema sababu hawana maisha.

Mablaza waliojipata hawapati wake bora wa age zao. Na kuoa mabinti wadogo wanaogopa wanaona wanaoa watoto wadogo wasioendana umri na akili
Wewe ndo nimeona umeongea point kuliko wengine ila sema hujatoa Recomandation
 
Ndio ni shughuli za watu waliofulia ukijipata huhitaji ndoa bali mtu wa kutoana nyege.. Maana unaweza kuajiri watu kukufanyia usafi na kukupikia
 
Kwanzia Leo mtu asinishauri Kuhusu Ndoa na minyanduano maana naona tunachanganyana tu,Kila mtu ashinde mechi zake.
 
Back
Top Bottom