Kazi ya kusaka mke / mume ni ngumu sana ukiwa above 30 na umejipata kimaisha. ila mwanamke / mume unamuona anafata hela zako. Ushauri kijana oa mapema

Kazi ya kusaka mke / mume ni ngumu sana ukiwa above 30 na umejipata kimaisha. ila mwanamke / mume unamuona anafata hela zako. Ushauri kijana oa mapema

Sahihi, nina rafiki yangu mbunge wa Magufuli, amejenga Njendengwa investment area bonge la mjumba above 1B. Anasema hamna kazi ngumu kama kumpata mke kwa umri wake, alipata binti mmoja familia ya kiarabu matajiri, La haula wanamwambia abadili dini amegoma na uhusiano umevunjika .

Hawa wengine wa kibongo anasema wanamdangia tu 😅 Mi hucheka!
Mwambie akatubu kwanza dhambi ya ufisadi na kufanya malipizi basi atampata mke mwema
 
Faida kubwa kupata mwenza under 30 mnakua pamoja, uhalisia unakua kwa kiasi kikubwa na hata kila mmoja wenu kubadilika mkutane katikati ni rahisi, kama alibahatika utulivu basi anakua hajapitia mishale mingi ambayo ina hasara nyingi ndani yake.
Inshort faida za under 30 ni nyingi kuliko hasara
 
Habari wadau.

Kwa research yangu isiyo rasmi. Kazi ya kusaka mwenza wa maisha ni ngumu sana ukianza kuifanya ukiwa na age above 30s..

Imani yako kwa watu inakuwa ndogo sana kutokana na uhalisia wa ubongo wako ulivyopevuka.

Hii inawatokea vijana wengi wa kiume na wa kike waliojipata. Yaani wenye stable income ama vipato vizuri.

Nikitazama ndugu, jamaa na marafiki ambao wamejipata. Wanateseka sana na hili.

Ushauri wa wazi kwa vijana wadogo wa kiume.

Ni rahisi sana kupata Mke mwema kama ukimpata mapema.. kabla hajazidi 25. Uwe umeshamuwahi.

Wanawake wengi ni wake bora ila experience za maisha zinawabadilisha na kuwa wabaya.

Muhimu umuwahi kabla hajakutana na experience za kumbadilisha na kuendana na mabadiliko hayo. Mkifunga ndoa mapema. Mnagrow mapema.. na imani juu yenu inakuwa kubwa.

Mbeleni ngumu sana kumuamini mtu. Hasa ukiwa umejipata.

Kila mtu unaona anafata faida kwako
ni kweli
 
Hakuna asiyependa hela. Na ukiendelea kuwa ba hiyo mindset, utapata anayekuigizia maisha.

Cha umuhimu ni kumpata mtakaye endana.

Kimsingi, unakamia kumpata mwenza, ni rahisi kumpata asiye sahihi. Relax, date as many as possible, choose the best among them.
 
Sahihi, nina rafiki yangu mbunge wa Magufuli, amejenga Njendengwa investment area bonge la mjumba above 1B. Anasema hamna kazi ngumu kama kumpata mke kwa umri wake, alipata binti mmoja familia ya kiarabu matajiri, La haula wanamwambia abadili dini amegoma na uhusiano umevunjika .

Hawa wengine wa kibongo anasema wanamdangia tu 😅 Mi hucheka!
Hakuna kitu kigumu kama kujua unachokitafuta! Huyu naye pamoja na hela zake japo hatujui alizipataje mbongo mkristo unaenda kudate na mwarabu mwisilamu inaonyesha hajitambui
 
Fedha na ma-ex ni vitu vimeharibu mahusiano ya watu wengi ambayo yalielekea kuwa ndoa,so mmoja kaingia tamaa akamua kumwacha mwenzake na mara nyingi huko alipo enda panakuwaga pachungu na kutamani kurudi alipotoka au kuvunja mahusiano na aliyekuwa nae.
 
Habari wadau.

Kwa research yangu isiyo rasmi. Kazi ya kusaka mwenza wa maisha ni ngumu sana ukianza kuifanya ukiwa na age above 30s..

Imani yako kwa watu inakuwa ndogo sana kutokana na uhalisia wa ubongo wako ulivyopevuka.

Hii inawatokea vijana wengi wa kiume na wa kike waliojipata. Yaani wenye stable income ama vipato vizuri.

Nikitazama ndugu, jamaa na marafiki ambao wamejipata. Wanateseka sana na hili.

Ushauri wa wazi kwa vijana wadogo wa kiume.

Ni rahisi sana kupata Mke mwema kama ukimpata mapema.. kabla hajazidi 25. Uwe umeshamuwahi.

Wanawake wengi ni wake bora ila experience za maisha zinawabadilisha na kuwa wabaya.

Muhimu umuwahi kabla hajakutana na experience za kumbadilisha na kuendana na mabadiliko hayo. Mkifunga ndoa mapema. Mnagrow mapema.. na imani juu yenu inakuwa kubwa.

Mbeleni ngumu sana kumuamini mtu. Hasa ukiwa umejipata.

Kila mtu unaona anafata faida kwako
Unaweza kuhama nchi uende sehemu zenyewe wanawake wenye kipato kizuri kuliko Tanzania.
 
Habari wadau.

Kwa research yangu isiyo rasmi. Kazi ya kusaka mwenza wa maisha ni ngumu sana ukianza kuifanya ukiwa na age above 30s..

Imani yako kwa watu inakuwa ndogo sana kutokana na uhalisia wa ubongo wako ulivyopevuka.

Hii inawatokea vijana wengi wa kiume na wa kike waliojipata. Yaani wenye stable income ama vipato vizuri.

Nikitazama ndugu, jamaa na marafiki ambao wamejipata. Wanateseka sana na hili.

Ushauri wa wazi kwa vijana wadogo wa kiume.

Ni rahisi sana kupata Mke mwema kama ukimpata mapema.. kabla hajazidi 25. Uwe umeshamuwahi.

Wanawake wengi ni wake bora ila experience za maisha zinawabadilisha na kuwa wabaya.

Muhimu umuwahi kabla hajakutana na experience za kumbadilisha na kuendana na mabadiliko hayo. Mkifunga ndoa mapema. Mnagrow mapema.. na imani juu yenu inakuwa kubwa.

Mbeleni ngumu sana kumuamini mtu. Hasa ukiwa umejipata.

Kila mtu unaona anafata faida kwako
Huo ndio muda sahihi sasa wakuoa binafsi nimeona vijana waliowahi ni kiwanda cha kutengeneza single maza
 
Habari wadau.

Kwa research yangu isiyo rasmi. Kazi ya kusaka mwenza wa maisha ni ngumu sana ukianza kuifanya ukiwa na age above 30s..

Imani yako kwa watu inakuwa ndogo sana kutokana na uhalisia wa ubongo wako ulivyopevuka.

Hii inawatokea vijana wengi wa kiume na wa kike waliojipata. Yaani wenye stable income ama vipato vizuri.

Nikitazama ndugu, jamaa na marafiki ambao wamejipata. Wanateseka sana na hili.

Ushauri wa wazi kwa vijana wadogo wa kiume.

Ni rahisi sana kupata Mke mwema kama ukimpata mapema.. kabla hajazidi 25. Uwe umeshamuwahi.

Wanawake wengi ni wake bora ila experience za maisha zinawabadilisha na kuwa wabaya.

Muhimu umuwahi kabla hajakutana na experience za kumbadilisha na kuendana na mabadiliko hayo. Mkifunga ndoa mapema. Mnagrow mapema.. na imani juu yenu inakuwa kubwa.

Mbeleni ngumu sana kumuamini mtu. Hasa ukiwa umejipata.

Kila mtu unaona anafata faida kwako
Uzingatiwe.hoja ipo
 
Back
Top Bottom