Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kazi ambayo mwnamke alipewa Dunia Kwa mume wake n moja tu KUTII, mwanaume ni Kupenda, tukifata hzo Kwa Kila mtu kutumiza kazi aliyoamuliwa, Misongo ya mawazo haitakuwepo.Anatakiwa afanye kazi/majukumu yapi, na yapi hatakiwi kufanya akiwa nyumbani?
Kwa sababu kuna watu wanajisifia huku duniani kuwa wameoa,lakini hawajui majukumu ya wake zao
Mfatilie vizuri mtoa post,yaani post zake zote zimejaa ushubwada,hivi ni swali la kutuuliza hilo...Mliooa tunaomba majibu
Alijua anapost jf usiku wa mananeMfatilie vizuri mtoa post,yaani post zake zote zimejaa ushubwada,hivi ni swali la kutuuliza hilo...
Ebu tuwekee hayo mazingatio kwa faida ya wengiK
Kazi ambayo mwnamke alipewa Dunia Kwa mume wake n moja tu KUTII, mwanaume ni Kupenda, tukifata hzo Kwa Kila mtu kutumiza kazi aliyoamuliwa, Misongo ya mawazo haitakuwepo.
Wanawake Muwatiii waume zenu(Ndani ya kutii Kuna mazngatio)
Wanaume Tuwapende wake zetu(ndani ya kupenda Kuna mazngatio)
Wengi wana misongo ya mawazo 😀Mliooa tunaomba majibu
Ungeanza kwa kutueleza kazi/majukumu aliyokua anafanya mkeo ingependeza sana.
Kwa nini unaenda kuoa?Wewe unataka afanye nini?
Tafuta atakaekuwa tayari kukupa mahitaji yako
Maana kwenye hizi mada mnakuja kusema wanawapa K tu, nyie mnataka nini?
Wewe umezaliwa au umejileta duniani?Issue ya KATAA NDOA ingeingizwa kwenye katiba ili watu kama nyie mnaeleta thread za ndoa mfungwe maisha...
KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI..