Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Wasemaji wa team mkuu.Kwa mfano kwa Uingereza wasemaji wa mambo yote ya club zao za soka ni Mameneja , hawa ndio wanaofanya mikutano yote na Waandishi wa Habari kuhusu timu zao , Masuala yote ya mechi ikiwemo Ufundi na mengine yote ya uwanjani na wachezaji .
Sasa hawa akina Ally Kamwe na wengine kama Masau Bwire hawa wameletwa kufanya nini ? kwanza mpira wenyewe hawajui !
Mimi nadhani kanuni zingebadilishwa tu ili kuondoa huu uswahili na u much know wa hawa wasemaji wa sasa wa vilabu.Kwa mfano kwa Uingereza wasemaji wa mambo yote ya club zao za soka ni Mameneja , hawa ndio wanaofanya mikutano yote na Waandishi wa Habari kuhusu timu zao , Masuala yote ya mechi ikiwemo Ufundi na mengine yote ya uwanjani na wachezaji .
Sasa hawa akina Ally Kamwe na wengine kama Masau Bwire hawa wameletwa kufanya nini ? kwanza mpira wenyewe hawajui !
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Sasa huku ni Ulaya?
Manara ni msemaji wa Zaylisa Kwa sasaNi utaratibu wa Tanzania
Mashabiki wa mpira Tanzania wanahitaji kuhamasishwa sana la sivyo hawaendi uwanjani hata kama kiiingilio ni bure
Kwenye siasa huwa nakukubali ila huku kwenye michezo ni mtupu sana angalia hapo unamtolea mfano alikamwe badala umtaje ahmed AliKwa mfano kwa Uingereza wasemaji wa mambo yote ya club zao za soka ni Mameneja , hawa ndio wanaofanya mikutano yote na Waandishi wa Habari kuhusu timu zao , Masuala yote ya mechi ikiwemo Ufundi na mengine yote ya uwanjani na wachezaji .
Sasa hawa akina Ally Kamwe na wengine kama Masau Bwire hawa wameletwa kufanya nini ? kwanza mpira wenyewe hawajui !
Jibu... Soka letu Kivyetuvyetu....Kwa mfano kwa Uingereza wasemaji wa mambo yote ya club zao za soka ni Mameneja , hawa ndio wanaofanya mikutano yote na Waandishi wa Habari kuhusu timu zao , Masuala yote ya mechi ikiwemo Ufundi na mengine yote ya uwanjani na wachezaji .
Sasa hawa akina Ally Kamwe na wengine kama Masau Bwire hawa wameletwa kufanya nini ? kwanza mpira wenyewe hawajui !
Nimecheka kifala sana aisee ujinga ni mwingi tunaúkumbatiaUshawahi kusikia Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Republican or Democratic ?
ushawahi kusikia Republican wana Chipukizi na umoja wa vijana sijui wa Wanawake ?
Ushawahi kusikia Mwenyekiti wa Wazee wa Jiji la Washington?
Tanzania ni Nchi ya Kipekee sana
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app