Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
- Thread starter
-
- #21
Hilo Tangazo sio la Tanga cement dada.Tangazo la kitapeli kabisa, Tanga cement wana portal yao ya kupokea maombi ya kazi
Ni bora utapeli watu wenye kazi zao!! Majobless raana zetu ni moja kwa moja!!Nikijua wewe ni nani itanisaidia nini mtu kama mimi.???
Wewe ni jobless tu kataa au kubali.
Wewe ni kiazi tu.Ni bora utapeli watu wenye kazi zao!! Majobless raana zetu ni moja kwa moja!!
Wewe ni tapeli kwanini utoe povu?Nikijua wewe ni nani itanisaidia nini mtu kama mimi.???
Wewe ni jobless tu kataa au kubali.
Curse!! Kutokujua lugha sio dhambi lakini utapeli ni dhambi.Wewe ni kiazi tu.
"Raana" ndio kitu gani?
Kweli ni tapeli maana nimekutapeli wewe na mumeo.Wewe ni tapeli kwanini utoe povu?
Sasa si ungemuambia hata mumeo akusaidie au wote hamkwenda shule?Curse!! Kutokujua lugha sio dhambi lakini utapeli ni dhambi.
Kiwanda ni huaxin cement,nyie hiyo tanga cement mnaitoa wapi?Tangazo la kitapeli kabisa, Tanga cement wana portal yao ya kupokea maombi ya kazi
Uongo wako pia ni dhambi pia umesema wewe unafanya kazi Tanga cement wakati unaona Tangazo linasema Rhino cement sasa hapo huoni ni viwanda viwili tofauti na umedanganya umma?Curse!! Kutokujua lugha sio dhambi lakini utapeli ni dhambi.
Wajinga hao viazi + mapapai.Kiwanda ni huaxin cement,nyie hiyo tanga cement mnaitoa wapi?
Ukitaka mfiche muafrika weka ujumbe kwenye maandishi
We jamaa utapeli wako ni wa kiboya! Kuna nyuzi zako zaidi ya 4 nimeziona zimekaa kitapelitapeli tu.Wewe ni kiazi tu.
"Raana" ndio kitu gani?
Mfalie huyu mleta UZI ana nyuzi kibao za kitapeli ziko humu jamiiforums!! Then angalia lugha anayotumia. Ni kama wale matapeli wa kwenye simu, ukiwastukia wanaporomosha matusi ya kutoshaKiwanda ni huaxin cement,nyie hiyo tanga cement mnaitoa wapi?
Ukitaka mfiche muafrika weka ujumbe kwenye maandishi
Leta hizo nyuzi watu wazione.We jamaa utapeli wako ni wa kiboya! Kuna nyuzi zako zaidi ya 4 nimeziona zimekaa kitapelitapeli tu.
Kwani kufanyaxkazi Tanga Cement nashindwa kuwasiliana na watu wa Rhino?? Njoo inbox nkutumie number ya HR wa Rhino Cement!! Soon utadakwa kama kifaranga TAPELI MKUBWAUongo wako pia ni dhambi pia umesema wewe unafanya kazi Tanga cement wakati unaona Tangazo linasema Rhino cement sasa hapo huoni ni viwanda viwili tofauti na umedanganya umma?
Wewe ni kubwa jinga tu usieelewa chochote.
Umesema wewe upo Tanga simenti na hapo kiwandani kwenu hakuna nafasi hizo za kazi.Kwani kufanyaxkazi Tanga Cement nashindwa kuwasiliana na watu wa Rhino?? Njoo inbox nkutumie number ya HR wa Rhino Cement!! Soon utadakwa kama kifaranga TAPELI MKUBWA
Kwani kufanyaxkazi Tanga Cement nashindwa kuwasiliana na watu wa Rhino?? Njoo inbox nkutumie number ya HR wa Rhino Cement!! Soon utadakwa kama kifaranga TAPELI MKUBWA
Endeleeni kutuma maombi kwa wenye sifa tajwa hapo juu.
Acha utapeli kijana, kama kuna kazi weka detail za kutosha mtu aombe kazi hata Email address ya kutuma maombi hamna?
Sasa kutuma maombi ndio utapeli?Ya kwanza hii hapa
We unadhani kuna tusi jipya kwangu?? Unazidi kupoteza muda wa kutapeli watu tu.Sasa kutuma maombi ndio utapeli?
Wewe jamaa ni zero brain kabisa.
Utapeli upo wapi hapo umeombwa pesa hapo au "tigo" yako??
Ficha ujinga wako aisee))
Labda wewe na mumeo.Watu wanajua kuwa wewe ni TAPELI