Kazi za kiwanda cha simenti Tanga

Kazi za kiwanda cha simenti Tanga

Tangazo la kitapeli kabisa, Tanga cement wana portal yao ya kupokea maombi ya kazi
Hilo Tangazo sio la Tanga cement dada.
Au unajua Tanga nzima kiwanda cha cement ni Tanga cement pekee?
Vijana wa siku hizi hamtaki kujifunza zaidi ni ubishi wa kijinga na ujuaji.
 
Curse!! Kutokujua lugha sio dhambi lakini utapeli ni dhambi.
Uongo wako pia ni dhambi pia umesema wewe unafanya kazi Tanga cement wakati unaona Tangazo linasema Rhino cement sasa hapo huoni ni viwanda viwili tofauti na umedanganya umma?
Wewe ni kubwa jinga tu usioelewa chochote.
 
Kiwanda ni huaxin cement,nyie hiyo tanga cement mnaitoa wapi?
Ukitaka mfiche muafrika weka ujumbe kwenye maandishi
Mfalie huyu mleta UZI ana nyuzi kibao za kitapeli ziko humu jamiiforums!! Then angalia lugha anayotumia. Ni kama wale matapeli wa kwenye simu, ukiwastukia wanaporomosha matusi ya kutosha
 
We jamaa utapeli wako ni wa kiboya! Kuna nyuzi zako zaidi ya 4 nimeziona zimekaa kitapelitapeli tu.
Leta hizo nyuzi watu wazione.
Kubali tu wewe ni empty set + mwongo + unapenda kujikweza kumbe bwabwa tu.

Mods wanaweza kucheck na kiwanda kuona uhalali wa nafasi hizo za kazi endapo ni utapeli nipo tayari kupewa life time ban hapa JF.
 
Uongo wako pia ni dhambi pia umesema wewe unafanya kazi Tanga cement wakati unaona Tangazo linasema Rhino cement sasa hapo huoni ni viwanda viwili tofauti na umedanganya umma?
Wewe ni kubwa jinga tu usieelewa chochote.
Kwani kufanyaxkazi Tanga Cement nashindwa kuwasiliana na watu wa Rhino?? Njoo inbox nkutumie number ya HR wa Rhino Cement!! Soon utadakwa kama kifaranga TAPELI MKUBWA
 
Kwani kufanyaxkazi Tanga Cement nashindwa kuwasiliana na watu wa Rhino?? Njoo inbox nkutumie number ya HR wa Rhino Cement!! Soon utadakwa kama kifaranga TAPELI MKUBWA
Umesema wewe upo Tanga simenti na hapo kiwandani kwenu hakuna nafasi hizo za kazi.
Tangazo linasema Rhino cement wewe umekurupuka bila chupi na kusema habari ya Tanga cement.
Narudia tena wewe huna unalojua wewe ni zwazwa bwana mdogo kubali tu.
 
Back
Top Bottom