Kazini kwangu ninaowasimamia hawanisikilizi, naomba ushauri

Kuwa mtu wa maneno machache,usipige mkwara,for record waandikie barua ao vibarua ya insubordination nakala kwa meneja,wewe fuata taratibu watakaa sawa tu.
 
Mkuu sasa mbona unamfundisha uoga
 
1. Wapangie ratiba ya kazi vizuri
2. Wahi mapema kazini
3. Anza majukumu yako mapema
4. Wakati wa kuwasimamia unaweza kuonyesha kufanya kazi kwa mfano
5. Usiwe Mtu wa majungu
6. Penda kusikiliza changamoto zao na kuzifanyia kazi
7. Jifanye uko pande wao kuliko wa viongozi kwamba unawapambania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…