Kebehi dhidi ya Nyerere na Magufuli, ni ishara Watanzania wana uelewa mdogo. Viongozi hawa wajengewe kumbukizi

Anakubalika kwa sukuma gang na wajinga wenzie kama wewe lakini wenye akili hata siku moja hawamkubali Magufuri.
Wenye akili za kijinga?.

Kwanini kumchukia mtu alie ipeleka nchi katika uchumi wa kati.

Unajiskiaje unapo pita ubungo pale, ama kimara mail moja.
Magu angekuwa hai mbaka 2025 unge tembea kwenye njia nane kuanzia kimara mbaka chalinze.
 
Reactions: RNA
Ukitaka kujua huu Uzi ni wa Akina Nauye,Makamba,Lissu,lema na wengine wanaopingana na Magufuri,Yaani umeandikwa saaa 12:52,kuanzia saa saba Na dakika moja mpaka na dakika 20 wote wamempinga mleta mada wao wa mchongo(Kumchanganya JPM na JK.Nyerere,baada ya hapo wakaja wanao mkubari JPM,inaonyesha haya mambo yanatengenezwa alafu wanapeana taharifa waanze kupost ujinga wao kwa wakati mmoja bila kujua tupo humu akina great thinker.
 
Magufuli ni kiongozi pekee wa Tanzania ambaye mpaka sasa anawaumiza na kuwaogopesha mafisadi na wahuni, ili hali amekufa!
Na ataendelea kuwapa shida maisha yao yote - jina lake likitajwa tu, utawasikia wanavyoporomosha matusi, hiyo ni dalili za woga wa kuogopa mfu! Uongozi wake na chuki yake ya kuwachukia wababaishaji, mpaka leo inawaogofya sana! RIP chuma cha pua
 
yeye ndiye aliyekua fisadi kuu, ziko wapi 1.5 Trillion? Mbona alimfukuza Prof. Assad?
 
Bro/sister. Hv democasia ni nini?

nchi gan inafuata mfumo wa democrasia km sii maigizo tuu?


#najua utakuja na mfano wa nchi km USA;:: nami nakuambia refer uchaguz wa 2016 USA
Kwa hiyo ulifurahia uchafuzi alioufanya magufuri kipindi cha uchaguzi?nazani utakuwa na matatizo,sababu hata waliokuwa huko nyuma viongozi wakubwa,hawakufurahishwa na alichokifanya ndiyo maana walimsnich mapema kabla hajaharibu inchi
 
Haituogofyi, bali tunasherehekea IBILISI kufa kabla yetu. Alivyokuwa anaiba kura zote za Uchaguzi alidhani ataishi milele
 
Baada ya kuona kudai legacy feki imekataliwa naona sasa mnamwingiza Nyerere. Hatudanganyiki!
 
Wew kibwetele ulishawahi ona dikteta anaachia uongozi kwa hiari yake au umeshiba magimbi huko unakuja kuropoka. Nyerere alikuwa na mapungufu yake lakini huwez mlinganisha na pimbi Kama huyo mla rushwa fisadi mkuu.
Punguza hasira mkuu
 
Hata mimi ilinishangaza sana
 
Naona mmepata wa kuwabembeleza
 
JPM alikua kiongozi sio tu wa kuigwa bali wa kuenziwa. Ni aina ya viongozi wa pekee sana ambao hutokea kwa uchache dunian na hufanya makubwa snaa... Historia ya JPM ktk uongozi nawez ifananisha na M. SOKOINE. pamoja na kuwa mafisadi na wahujumu uchumi wameweka fedha sana kuifuta historia yake lkn bado jamaa yupo miongoni mwetu mpaka hii leo. JPM ni kiongoz mzalendo na shupavu haijawah kutokea tangu enzi za nyerere kupita.

Wanao kashfu ukwel huo ni kwa sababu kwanza hatuko sawa, pili kuna waliolipwa kwa kazi hiyo, mwisho kuna walio haribiwa uwizi wao na deal zao hawawez kumpenda.

Kiongozi katufanya tuingie uchumi wa kati, katuvusha kwenye corona, kajenga nchi kila kona, katuheshimisha arafu kuna MTU kavimbiwa huko anatak tukubaliane na maneno yak.

JPM aliuwa watu ambao walitaka kuiua nchi. Kwanza hakuua sawasawa ningekua mm ningeua wanafiki na mafisadi wote tena nanyonga kbsa ili mseme vzr takataka nyie
 
Magufuli gani? Huyu aliyeongoza ufisadi wa manunuzi yasiyofuata tender process wala bajeti?
 
Wafuasi wa Jiwe ni watu maskini wajinga na wasio na uelewa wowote wa mambo..

Kundi hilo Nyerere aliwahi wauliza mnataka vyama vingi au chama kimoja eti wakasema chama kimoja..

Akajua Hawa ni mburula akawapuuza na kwenda na Maoni ya wachache werevu..

Hao ndio Jiwe alikuwa anawachezea eti ananunua mahindi kwao mara jogoo na maigizo mengine kama hayo 😆😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…