Nyerere kaua hadi wazungu kwa kupigania africa hivyo nyerere na jpm ni kitu kimoja uzalendo kwanzaHii kufuru jamani unamlinganisha shetani mkuu Lucifer na mtu aliye kwenye mchakato wa kutangazwa mtakatifu? Ukatubu dhambi hii ya mauti
Nyinyi waarabu mnajidai watz kumbe mmekuja kuifisidi nchi na serikali sasa hivi ccm hipo mifukoni mwenu ,wananchi wazawa tumesha wajua ....majangiri wakubwa nyinyi [emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867]Huu ni uwongo wa mchana! UDINI hakuna
Mmeanza kumhalalisha shetani kwa kumlinganisha na mwenyeheri Nyerere!!! Lile shetani halisafishiki hata ukilificha kwapani mwa malaika ni shetani tu!
Kama Nyerere na Magufuli siyo kitu kimoja mbonq nyinyi wahuni wa CCM mmepiga marufuku hotuba za Nyerere naza Magufuli zisisikike popote kile kipindi cha hotuba za nyerere kimepigwa marufuku na sa100Acha kumuweka Nyerere kundi moja na vitu vya kipumbavu
Tehe tehe sukuma gang mtateseka sana hadi mnye damu yote mliyokunywa na yule shetani mnywa damu!Nyinyi waarabu mnajidai watz kumbe mmekuja kuifisidi nchi na serikali sasa hivi ccm hipo mifukoni mwenu ,wananchi wazawa tumesha wajua ....majangiri wakubwa nyinyi [emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867]
Tatizo la watu wajinga kama huyo uliyemfundisha hapo juu, hata baada ya kufundishwa hivyo hawarudi na kukupa shukrani za kuwaelimisha...Nyerere hakuwa muoga kwa mabeberu.
..hebu hakiki vyanzo vyako vya taarifa.
..Nyerere aling'ara kimataifa kwa sababu alikuwa akipambana na mabeberu kwa hoja.
..Kwa upande mwingine Magufuli alikuwa akijifungia hapa Tanzania akiogopa kushindanisha hoja zake na zile za mabeberu.
..Nyerere alishatimua wanadiplomasia wa Marekani. Alivunja uhusiano wa kibalozi na Uingereza na kukataa misaada yao. Alivunja mahusiano na Ujerumani magharibi. Alivunja uhusiano wa kibalozi na Israel.
..Kubwa kuliko yote Nyerere ali-support vita ya ukombozi kusini mwa Afrika dhidi ya mabeberu. Particularly ali-support kijeshi wapiganaji wa Frelimo ya Msumbiji dhidi ya wakoloni wa Kireno ambao ni wanachama wa NATO.
..Kwa upande mwingine hebu tuelezeni Magufuli alifanya jambo gani dhidi ya mabeberu ambalo Mwalimu Nyerere hakuwa na uwezo nalo.
..Mwalimu alikuwa akiwakemea mabeberu kwa ukosefu wao wa maadili.
..Magufuli alikuwa akikemewa na mabeberu kwa dhuluma na ukatili aliokuwa akiwafanyia wananchi wake mwenyewe.
Nguruvi3, Kalamu1
Wanawakilisha ID feki tu humu,wengi wanazo zaidi ya moja, ndio maana hata hapo mtaanikwako utaona mitazamo na maoni yawatu wengi nitofauti na hizi pair humu.Kwani hawa watu wa hapa JF si ni kiwakilishi tu cha watu wengine walio huko nje?
Hapo hapo ulipo ukiweka unafki pembeni sekunde 5 tu utaelewa ninacho maanisha kuhusu Uzalendo wa Jembe.Kwani wote tunaishi Ubungo???? Tanzania siyo Ubungo au Kimara bali Kimara na Ubungo vipo ndani ya jiji la Dar es Salaam ambako kuna watu watakufa bila hata kuijua.
Ambazo zimetuingizia sh ngapi.watu wa njombe bwanaalitukomboa kutokana na aibu ya nchi tajiri kuwa na ndege moja tu tena ya kukodi
Unabahati hujaitaja sinza ,tungekulogaKwani wote tunaishi Ubungo???? Tanzania siyo Ubungo au Kimara bali Kimara na Ubungo vipo ndani ya jiji la Dar es Salaam ambako kuna watu watakufa bila hata kuijua.
Tunakwendq kupindua meza kibabe wazalendo tupo kibao kwenye hii nchi bado mwska mmoja na miezi 6 tu wahuni wote wa sa100 mtajua amjuiTehe tehe sukuma gang mtateseka sana hadi mnye damu yote mliyokunywa na yule shetani mnywa damu!
Hahahaha J.P.M hayupo ila bado anakupelekea moto hadi unakunja sura hata magufuli ukifananisha na baba yako bado hataondoka sawa we kibwengoWewe mtoa mada mwondoe Nyerere kwenye hilo andiko lako tafadhali. Kumuweka pamoja na Magufuli muuaji, mwizi, mwongo, mnyang'anyi ni KUMTUKANISHA baba wa Taifa.
Nyerere hii anaongelewa na calible za akina Nelson Mandela, Nkrumah, Mahatma Gandhi nk.
Magufuli mjadili kwenye mada za akina Iddi Amin Dada, Mobutu Seseseko, Nguema na Bokassa
VIROBOTO wa bi kirobotoNYERERE Anastahiri Kujengea lakini SIO MAGUFULI
JPM hayuko fine, na wewe HAYAWANI kitu gani kinamfanya UMTETEE? Ungekaa kimya ningejua una ishi kwa ile sentensi ya "waacheni waliokufa wapumzike". You are a moronHahahaha J.P.M hayupo ila bado anakupelekea moto hadi unakunja sura hata magufuli ukifananisha na baba yako bado hataondoka sawa we kibwengo
hayo umeyasoma kitabuni ila ukweli kafa nao Nyerere kichwani mwake!..Mwalimu hakufaidika chochote binafsi kutokana na vita vya Kagera.
..Idi Amin alikuwa mwendawazimu aliyetishia usalama wetu kila mara.
..alikuwa na mawazo ya kuteka maeneo ya Tanzania na kuyafanya sehemu ya Uganda.
..Tanzania na Uganda tulisaini makubaliano ya amani yanaitwa Mogadishu Accord.
..Iddi Amin alikiuka makubaliano hayo akatuvamia, akaua watu, akaharibu mali, na akakalia ardhi yetu kimabavu.
..katika mazingira hayo ilikuwa ni lazima kumtoa kwa nguvu ktk ardhi yetu. Ndio maana Mwalimu alimtuma Brigedia. Tumainieli Kiwelu kuandaa operation Chakaza iliyomtoa Iddi Amin ktk ardhi yetu.
..pamoja na kumtoa ktk ardhi ya Tanzania Iddi Amin aliendelea kutushambulia kwa kutumia ndege za kivita. Kwa hiyo ikalazimu Mwalimu Nyerere kumtuma Maj Jen Musuguri kuongoza vita ya kumng'oa Amin na serikali yake yote.
..baada ya kumng'oa Iddi Amin, makundi ya wanasiasa, waasi, na wanaharakati wa Uganda, walikutana Moshi Kilimanjaro na kuunda serikali ya mpito iliyoongozwa na Prof.Yussuf Kironde Lule.
..Zoezi la kumchagua Prof.Lule lilifanywa na Waganda wenyewe na hakukuwa na shinikizo la Nyerere au serikali ya Tanzania.
Punguza hasiraNenda kamjengee wewe huko kijijini kwenu, sanamu la udongo wa kichuguu
Jembe la sukuma gang na Chato kwisha.Hapo hapo ulipo ukiweka unafki pembeni sekunde 5 tu utaelewa ninacho maanisha kuhusu Uzalendo wa Jembe.
Umemaliza mkuu.Magufuli hakuwa na uwezo wowote wa ushawishi. Hakuweza kujadili jambo likaeleweka na watu, kwa hiyo badala ya ushawishi mabavu ndio ikawa nyenzo ya kulazimisha anayoyataka yeye yawe kwa mabavu.
Elimu ya Magufuli ilikuwa ni ya kukariri, hakuwa na uwezo wa kutumia elimu yake kwa manufaa ya nchi yake. Kwa kutafuta misifa mingi alikariri takwimu za barabara, hata wingi wa samaki majini..., huo ulikuwa ni uigizaji, ulimbukeni.
Linganisha elimu hiyo na elimu iliyompa uwezo Mwalimu kujadili jambo na mtu na kulieleza kwa ufasaha kabisa kwamba linaeleweka na mtu yeyote, hata awe na elimu ndogo.
Kiujumla, kama viongozi, Magufuli alikuwa ni mtu mwenye tabia mbaya. Mtu asiyekuwa na utu kwa watu wengine ambao hawamshuhudu au hawampi sifa. Ndiyo maana akina Lissu waliishia kutaka kuondoshwa duniani na akina Ben hata haijulikani ilikuwaje.
Ni Kweli ,zile Hotuba za Mwalimu za saa 2 Usiku hazipo?!Kama Nyerere na Magufuli siyo kitu kimoja mbonq nyinyi wahuni wa CCM mmepiga marufuku hotuba za Nyerere naza Magufuli zisisikike popote kile kipindi cha hotuba za nyerere kimepigwa marufuku na sa100
Kun watu mna info nyingi Sana..Mwalimu hakufaidika chochote binafsi kutokana na vita vya Kagera.
..Idi Amin alikuwa mwendawazimu aliyetishia usalama wetu kila mara.
..alikuwa na mawazo ya kuteka maeneo ya Tanzania na kuyafanya sehemu ya Uganda.
..Tanzania na Uganda tulisaini makubaliano ya amani yanaitwa Mogadishu Accord.
..Iddi Amin alikiuka makubaliano hayo akatuvamia, akaua watu, akaharibu mali, na akakalia ardhi yetu kimabavu.
..katika mazingira hayo ilikuwa ni lazima kumtoa kwa nguvu ktk ardhi yetu. Ndio maana Mwalimu alimtuma Brigedia. Tumainieli Kiwelu kuandaa operation Chakaza iliyomtoa Iddi Amin ktk ardhi yetu.
..pamoja na kumtoa ktk ardhi ya Tanzania Iddi Amin aliendelea kutushambulia kwa kutumia ndege za kivita. Kwa hiyo ikalazimu Mwalimu Nyerere kumtuma Maj Jen Musuguri kuongoza vita ya kumng'oa Amin na serikali yake yote.
..baada ya kumng'oa Iddi Amin, makundi ya wanasiasa, waasi, na wanaharakati wa Uganda, walikutana Moshi Kilimanjaro na kuunda serikali ya mpito iliyoongozwa na Prof.Yussuf Kironde Lule.
..Zoezi la kumchagua Prof.Lule lilifanywa na Waganda wenyewe na hakukuwa na shinikizo la Nyerere au serikali ya Tanzania.
Thubutu mda wenu wa kuteseka ni huu! Tutawaswaga kama ving'ombe mnavyolishwa mchanga na kujifanya wafugaji!Tunakwendq kupindua meza kibabe wazalendo tupo kibao kwenye hii nchi bado mwska mmoja na miezi 6 tu wahuni wote wa sa100 mtajua amjui