Keir Starmer kuwa Waziri Mkuu mpya wa Uingereza huku Rishi Sunak akikubali kushindwa

Pamoja na ushindi mwingereza amepoteana sana; wamethibitisha kuwa si wale watu tulioamini 'wana akili'.
Labour wakiweza kukwepa mitego hatimaye kutoburuzwa na US nitahisi wameanza kujitambua.
 
Unanipotezea tu muda wangu. Stupid 🚮
 
UONGO
 
Pamoja na ushindi mwingereza amepoteana sana; wamethibitisha kuwa si wale watu tulioamini 'wana akili'.
Labour wakiweza kukwepa mitego hatimaye kutoburuzwa na US nitahisi wameanza kujitambua.
Hilo aliwezekani wana uhusiano wenyewe ambao wanaita ‘special relationship’ ya nchi mbili.
 

Kocha wa mpito Bw Sunak karudisha kijiti kwa wenyeji
 
Angalia swali halafu angalia jibu lako.
 
Chukulia mfano wewe ndio mgombea na ukamuona kabisa mgombea mwenzako anakimbia na box la kura. Je, utakubali kushindwa kihalali?
tafrani ninazoziongelea hapa, ni pale ambapo unakuta taratibu zote zimefanyika kihalali, kiongozi aliekuepo madarakani tena esp urais, kashindwa na hataki kutoka kwa amani analetaleta shida tu!AFRIKA kuna shida sana
 
Huko ni ulimwengu wa kwanza...civilized society....mambo hayo ni kawaida
 
Matokeo ya utoto aliyokuwa akifanya,kituo kinachofuata Ufaransa na tunamalizia US.🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…