Keir Starmer kuwa Waziri Mkuu mpya wa Uingereza huku Rishi Sunak akikubali kushindwa

Well Said Mkuu, sisi TZ ndio bado tuna “ tumpe muda”… hizi tumpe muda hakunaga huko UK…
 
Demokrasia hiyo......

Angalau hata UK wameepuka. kiongozi wa mrengo ule wa kulia...hawa jamaa wasumbufu.
 
Ikitokea na Trump ameshinda Urais USA, hiyo vita ya Ukraine na Urusi haipo mbali kumalizika.
 
Uingereza iko top 10 kati ya nchi zenye uchumi mkubwa duniani. Wako hivyo sababu hawakubali kulea madhaifu madogo, huwezi kazi tembea aje mwingine.

Badala ya kukaa kwa sifa ya kuongozwa na serikali moja kwa miaka 20 eti tuna imani, wao umekosea sera moja ondoka.
 
Demokrasia hiyo......

Angalau hata UK wameepuka. kiongozi wa mrengo ule wa kulia...hawa jamaa wasumbufu.
hujui kama Sunak ni mlengo wa kulia?
kuanzia 2010 wameongozwa na mlengo wa kulia mpk leo Sunak anaondoka!

yumkini hujui kuwa torry ni right wing[emoji1787]
 
Sera za Uingereza za kuingia vitani au kutokutenda hiyo siyo kazi ya PM bali ni kazi ya vitengo vya usalama na sera zao za ma,ni ya nje. Utaona kama huyo waziri mkuu hataisaidia Ukraine
 
Pamoja na ushindi mwingereza amepoteana sana; wamethibitisha kuwa si wale watu tulioamini 'wana akili'.
Labour wakiweza kukwepa mitego hatimaye kutoburuzwa na US nitahisi wameanza kujitambua.
Wewe ndio huna akili kabisa, huwezi kuwatenganisha, UK, USA na Israel ni kitu kimoja.

Huelewi hata dunia inavyokwenda.
 
Ikitokea na Trump ameshinda Urais USA, hiyo vita ya Ukraine na Urusi haipo mbali kumalizika.
Trump hata akishinda hana uwezo wa kupingana na US interest.

Ndio maana FBI na CIA wako huru pamoja na vyombo vyao vingine.

Trump anakaa ikulu anaambiwa moja mbili tatu na kwa nini.
 
Pamoja na ushindi mwingereza amepoteana sana; wamethibitisha kuwa si wale watu tulioamini 'wana akili'.
Labour wakiweza kukwepa mitego hatimaye kutoburuzwa na US nitahisi wameanza kujitambua.
mkuu zinduka usingizini,
british empire haijawahi kufa, na nchi zinazounda hio empire ni UK yenyewe,US, Canada, New Zealand, Australia, na Israeli,....... (hizo nchi zote ni waingereza hao, hakuna myahudi humo)
 
mkuu zinduka usingizini,
british empire haijawahi kufa, na nchi zinazounda hio empire ni UK yenyewe,US, Canada, New Zealand, Australia, na Israeli,....... (hizo nchi zote ni waingereza hao, hakuna myahudi humo)
Duh!...mpya hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…