Kelele na maoni yamekuwa mengi baada ya Yanga kupoteza lakini tusisahau hii ni ligi ya mabingwa na Yanga anakutana na mabingwa sio looser cup hii!

Kelele na maoni yamekuwa mengi baada ya Yanga kupoteza lakini tusisahau hii ni ligi ya mabingwa na Yanga anakutana na mabingwa sio looser cup hii!

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
Naona maoni na masimango yamekuwa mengi sana hasa hasa kutoka umbumbuni baada ya yanga kupoteza dhidi ya Al hilal lakini nawakumbusha tu hili ni kombe la wanaume haswaa sio kombe la washindwa!
Yanga anapambana na mabingwa wa ligi zao sio washindwa walioshika nafasi za tatu na nne kwenye ligi zao!
Hivyo akuna kutegemea mteremko wa kukutana na zile timu za nyongeza kama bravos ama nyingine za aina iyo tuelewane hapo kwa herufi kubwa!

Yanga ni bingwa wa Tanzania, Al hilal ni bingwa wa sudani, Mc alger ni bingwa wa Algeria, Tp mazembe ni bingwa wa Kongo,, kwa maana iyo yanga isifananishwe na taka taka nyingine yoyote Ile kwenye michuano ya kimataifa Wanayoshiriki!

Kombe la washindwa ndio utazikuta timu aina ya Simba na bravos ambaoi hao bravos Awana tofauti na Dodoma Jiji,,,sasa unapataje ujasiri wa kuisuta yanga wakati wewe unakutana na nyambore? (Nyambore ni wale samaki waliooza kabla awajafika nchi kavu kutoka ziwani)

Unapomfunga mpinzani wa aina iyo alafu unakuja kutamba kwamba uko vizuri inatakiwa upimwe akili yako!
Ugumu wa kucheza na mabingwa ni tofauti na ugumu wa kucheza na Dodoma Jiji wa Angola mlijue hilo,, uku sio mchekea ndio maana ikaitwa ligi ya mabingwa barani afrika sio kombe la shirikisho hili( Shirikisho maana yake unashirikisha Kila kitu ni sawa na kokoro la dagaa linachota Kila kitu ata taka taka litabeba)

Kwaiyo kwa wale wote wanaoibeza yanga wawe na heshima na adabu wanakutana na timu zinazojielewa sio unga unga mwana!

Mambo ya yanga watayamaliza Wana yanga wenyewe sio wale aliowazungumzia bwana Rage!
 
FB_IMG_17326888880456057.jpg
 
Hao Mabingwa waliowapiga Yanga mbona kama walitoa sare na kina Balua kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Simba, au nasema uongo ndugu zanguni?!..

Angalieni Msije mkawa vibonde wa mnaowaita Mabingwa Hahah...
 
Hao Mabingwa waliowapiga Yanga mbona kama walitoa sare na kina Balua kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Simba, au nasema uongo ndugu zanguni?!..
Kilikuwa kikosi kipi ulikiona icho kikosi walichocheza iyo mechi ya kirafiki? Kikosi cha karibu chote cha kwanza kilikuwa kwenye majukumu ya timu ya taifa wachezaji wao 15 wa kikosi cha kwanza awakuwepo kwaiyo iyo sio reference tafuta nyingine!
 
Fuatilia vizuri utaelewa!
Usifanye Kila mtu ni mjinga, waliongoza ligi ya kwao na kutwaa ubingwa ndio kilichowapa tiketi ya kushiriki ligi ya mabingwa vinginevyo angechukuliwa ata al merekh akashiriki ligi ya mabingwa!
 
Naona maoni na masimango yamekuwa mengi sana hasa hasa kutoka umbumbuni baada ya yanga kupoteza dhidi ya Al hilal lakini nawakumbusha tu hili ni kombe la wanaume haswaa sio kombe la washindwa!
Yanga anapambana na mabingwa wa ligi zao sio washindwa walioshika nafasi za tatu na nne kwenye ligi zao!
Hivyo akuna kutegemea mteremko wa kukutana na zile timu za nyongeza kama bravos ama nyingine za aina iyo tuelewane hapo kwa herufi kubwa!
Yanga ni bingwa wa Tanzania, Al hilal ni bingwa wa sudani, Mc alger ni bingwa wa Algeria, Tp mazembe ni bingwa wa Kongo,, kwa maana iyo yanga isifananishwe na taka taka nyingine yoyote Ile kwenye michuano ya kimataifa Wanayoshiriki!
Kombe la washindwa ndio utazikuta timu aina ya Simba na bravos ambaoi hao bravos Awana tofauti na Dodoma Jiji,,,sasa unapataje ujasiri wa kuisuta yanga wakati wewe unakutana na nyambore? (Nyambore ni wale samaki waliooza kabla awajafika nchi kavu kutoka ziwani)
Unapomfunga mpinzani wa aina iyo alafu unakuja kutamba kwamba uko vizuri inatakiwa upimwe akili yako!
Ugumu wa kucheza na mabingwa ni tofauti na ugumu wa kucheza na Dodoma Jiji wa Angola mlijue hilo,, uku sio mchekea ndio maana ikaitwa ligi ya mabingwa barani afrika sio kombe la shirikisho hili( Shirikisho maana yake unashirikisha Kila kitu ni sawa na kokoro la dagaa linachota Kila kitu ata taka taka litabeba)
Kwaiyo kwa wale wote wanaoibeza yanga wawe na heshima na adabu wanakutana na timu zinazojielewa sio unga unga mwana!

Mambo ya yanga watayamaliza Wana yanga wenyewe sio wale aliowazungumzia bwana Rage!
Tabora united yupo champions league?
 
Kilikuwa kikosi kipi ulikiona icho kikosi walichocheza iyo mechi ya kirafiki? Kikosi cha karibu chote cha kwanza kilikuwa kwenye majukumu ya timu ya taifa wachezaji wao 15 wa kikosi cha kwanza awakuwepo kwaiyo iyo sio reference tafuta nyingine!
Aliyewafunga Yanga jana goli la tobo ndo aliifungia Al Hilal bao la kusawazisha kwenye mchezo wao na Simba...
 
Usifanye Kila mtu ni mjinga, waliongoza ligi ya kwao na kutwaa ubingwa ndio kilichowapa tiketi ya kushiriki ligi ya mabingwa vinginevyo angechukuliwa ata al merekh akashiriki ligi ya mabingwa!
Sudani ligi inachezwa wapi?
 
Aliyewafunga Yanga jana goli la tobo ndo aliifungia Al Hilal bao la kusawazisha kwenye mchezo wao na Simba...
Acha ujuaji yule aliyesawazisha goli la Simba alikuwa anaitwa serge pokou alisajiliwa kutoka asec mimosas ya Ivory coast!
 
Naona maoni na masimango yamekuwa mengi sana hasa hasa kutoka umbumbuni baada ya yanga kupoteza dhidi ya Al hilal lakini nawakumbusha tu hili ni kombe la wanaume haswaa sio kombe la washindwa!
Yanga anapambana na mabingwa wa ligi zao sio washindwa walioshika nafasi za tatu na nne kwenye ligi zao!
Hivyo akuna kutegemea mteremko wa kukutana na zile timu za nyongeza kama bravos ama nyingine za aina iyo tuelewane hapo kwa herufi kubwa!
Yanga ni bingwa wa Tanzania, Al hilal ni bingwa wa sudani, Mc alger ni bingwa wa Algeria, Tp mazembe ni bingwa wa Kongo,, kwa maana iyo yanga isifananishwe na taka taka nyingine yoyote Ile kwenye michuano ya kimataifa Wanayoshiriki!
Kombe la washindwa ndio utazikuta timu aina ya Simba na bravos ambaoi hao bravos Awana tofauti na Dodoma Jiji,,,sasa unapataje ujasiri wa kuisuta yanga wakati wewe unakutana na nyambore? (Nyambore ni wale samaki waliooza kabla awajafika nchi kavu kutoka ziwani)
Unapomfunga mpinzani wa aina iyo alafu unakuja kutamba kwamba uko vizuri inatakiwa upimwe akili yako!
Ugumu wa kucheza na mabingwa ni tofauti na ugumu wa kucheza na Dodoma Jiji wa Angola mlijue hilo,, uku sio mchekea ndio maana ikaitwa ligi ya mabingwa barani afrika sio kombe la shirikisho hili( Shirikisho maana yake unashirikisha Kila kitu ni sawa na kokoro la dagaa linachota Kila kitu ata taka taka litabeba)
Kwaiyo kwa wale wote wanaoibeza yanga wawe na heshima na adabu wanakutana na timu zinazojielewa sio unga unga mwana!

Mambo ya yanga watayamaliza Wana yanga wenyewe sio wale aliowazungumzia bwana Rage!
Umeongea kabla hata hatujacheza
Na kabla hatujasema chochote ,Haya basi sema yote tukusikie
TUNAKUSIKILIZA SASA
 
Hao Mabingwa waliowapiga Yanga mbona kama walitoa sare na kina Balua kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Simba, au nasema uongo ndugu zanguni?!..

Angalieni Msije mkawa vibonde wa mnaowaita Mabingwa Hahah...
Sare huku wakiwa pungufu na bado wachezaji zaidi ya 7 hawakuwepo walikuwa kwenye timu zao za mataifa
 
Unaniuliza mimi nisiejua tueleze wewe mjuaji!
Ndiyo nakueleza sasa ujue, al hilal ndio bingwa wa ligi ya Sudan, sijawai kuona caf wanaingiza timu kwenye michuano yao kiholela bila kufata utaratibu!
 
Back
Top Bottom