Kelele na maoni yamekuwa mengi baada ya Yanga kupoteza lakini tusisahau hii ni ligi ya mabingwa na Yanga anakutana na mabingwa sio looser cup hii!

Kelele na maoni yamekuwa mengi baada ya Yanga kupoteza lakini tusisahau hii ni ligi ya mabingwa na Yanga anakutana na mabingwa sio looser cup hii!

Umeongea kabla hata hatujacheza
Na kabla hatujasema chochote ,Haya basi sema yote tukusikie
TUNAKUSIKILIZA SASA
Tunaweka risiti zenu sawa maana mnabwata sana kana kwamba michuano anayoshiriki yanga ni sawa na yenu,,na pia aina ya timu anazokutana nazo yanga mnataka kulinganisha na mnazokutana nazo nyie,,lazima tuwakumbushe msijisahau furaha ikawazidi mkaanza kutukosea adabu!
 
Simba mnyama inatisha kiasi icho mpaka mmeanza kutubu
Mbona bado hamjamaliza kusema yote
Hapa ni mpaka mseme yote ndotutawaachia
UBAYA UBWELA saaa kumi iooo
 
Ili kufikia malengo ni vema tukajitathmini kiuweledi na sio kimahaba.

1. Yanga msimu huu ilishaonekana ni mbovu toka mwanzo, ushindi wa goli Moja lakini kwa mahaba yanga wakawa wanajipa moyo kuwa kikubwa pointi tatu kumbe wakasahau kuwa kwenye peak yao ilikuwa ni mwendo wa Kono la nyani.

2. Msimu huu yanga alikuwa hajaonja Radha ya ushindani ya CAFCL kutokana na kupangiwa vibonde katika hatua za awali. Na kibaya walipoambiwa ukweli kuwa wamejipigia vibonde wakaja juu kuwa hao ni mabingwa wenzao. Sawa, ila Radha kamili ilipofika yanga imeonekana.

3. Msimu huu yanga kafungwa na Azam (sio bingwa), kafungwa na tabora (sio bingwa) kafungwa na Al hilal (hakushiriki ligi yoyote msimu uliyopita hivyo nae sio bingwa). Kuendelea kujifichia kichaka cha "mabingwa" wakati kafungwa na timu zisizokuwa bingwa ni kuendelea kukaa na tatizo bila kujua suluhisho lake.

4. Yanga wakubali kuwa timu imeshuka kiwango, muunganiko na morali. Njia pekee ya kuisaidia yanga ni uongozi kufuata maneno ya mwalimu Nyerere. "TUJISAHIHISHE" Vinginevyo, vipigo vikiendelea vitathibitisha ule uvumi wa kwamba "yanga walihama uwanja kwa sababu ya sindano zao kushtukiwa" pale chamazi.

NB: Anayetaka kujenga soka la Tanzania achambue fact na sio kuongea bila kujibu fact zilizopo
 
Naona maoni na masimango yamekuwa mengi sana hasa hasa kutoka umbumbuni baada ya yanga kupoteza dhidi ya Al hilal lakini nawakumbusha tu hili ni kombe la wanaume haswaa sio kombe la washindwa!
Yanga anapambana na mabingwa wa ligi zao sio washindwa walioshika nafasi za tatu na nne kwenye ligi zao!
Hivyo akuna kutegemea mteremko wa kukutana na zile timu za nyongeza kama bravos ama nyingine za aina iyo tuelewane hapo kwa herufi kubwa!
Yanga ni bingwa wa Tanzania, Al hilal ni bingwa wa sudani, Mc alger ni bingwa wa Algeria, Tp mazembe ni bingwa wa Kongo,, kwa maana iyo yanga isifananishwe na taka taka nyingine yoyote Ile kwenye michuano ya kimataifa Wanayoshiriki!
Kombe la washindwa ndio utazikuta timu aina ya Simba na bravos ambaoi hao bravos Awana tofauti na Dodoma Jiji,,,sasa unapataje ujasiri wa kuisuta yanga wakati wewe unakutana na nyambore? (Nyambore ni wale samaki waliooza kabla awajafika nchi kavu kutoka ziwani)
Unapomfunga mpinzani wa aina iyo alafu unakuja kutamba kwamba uko vizuri inatakiwa upimwe akili yako!
Ugumu wa kucheza na mabingwa ni tofauti na ugumu wa kucheza na Dodoma Jiji wa Angola mlijue hilo,, uku sio mchekea ndio maana ikaitwa ligi ya mabingwa barani afrika sio kombe la shirikisho hili( Shirikisho maana yake unashirikisha Kila kitu ni sawa na kokoro la dagaa linachota Kila kitu ata taka taka litabeba)
Kwaiyo kwa wale wote wanaoibeza yanga wawe na heshima na adabu wanakutana na timu zinazojielewa sio unga unga mwana!

Mambo ya yanga watayamaliza Wana yanga wenyewe sio wale aliowazungumzia bwana Rage!
Uko sahihi lakin yanga haijajipanga vizuri haina wachezaji shindani nilimuona Prince Dube hamna kitu na akaendelea kucheza kisa dube day, wachezaji hawana nishati ya kutosha mabadiliko ya wachezaji hayakufanyika kwa muda muafaka, (substitution done not at desired time), kwakifupi yanga hamjajipanga munaokoteza wachezaji ambao mnadhani wataleta matokeo, munaongea sana kumbe timu yenu na uongozi ni dhaifu

Similarly to, in business you have to sale what you know customers are going to buy not what you think they are going to buy

Kwenye biashara inatakiwa uuze bidhaa ambayo unajua wateja watanunua lakini siyo unayo dhani watainunua, mnazitumia akili kama hizi kuokoteza wachezaji ambao mnadhani wataleta matokeo

Vile vile akili zile zile zilizoshindwa kuleta matokeo mnatumia akili hizo hizo ili zilete matoke chanya
 
Usifanye Kila mtu ni mjinga, waliongoza ligi ya kwao na kutwaa ubingwa ndio kilichowapa tiketi ya kushiriki ligi ya mabingwa vinginevyo angechukuliwa ata al merekh akashiriki ligi ya mabingwa!
Msimu ulioisha Sudan kulikuwa na ligi?unaongea vitu usivyovijua
 
Naona maoni na masimango yamekuwa mengi sana hasa hasa kutoka umbumbuni baada ya yanga kupoteza dhidi ya Al hilal lakini nawakumbusha tu hili ni kombe la wanaume haswaa sio kombe la washindwa!
Yanga anapambana na mabingwa wa ligi zao sio washindwa walioshika nafasi za tatu na nne kwenye ligi zao!
Hivyo akuna kutegemea mteremko wa kukutana na zile timu za nyongeza kama bravos ama nyingine za aina iyo tuelewane hapo kwa herufi kubwa!
Yanga ni bingwa wa Tanzania, Al hilal ni bingwa wa sudani, Mc alger ni bingwa wa Algeria, Tp mazembe ni bingwa wa Kongo,, kwa maana iyo yanga isifananishwe na taka taka nyingine yoyote Ile kwenye michuano ya kimataifa Wanayoshiriki!
Kombe la washindwa ndio utazikuta timu aina ya Simba na bravos ambaoi hao bravos Awana tofauti na Dodoma Jiji,,,sasa unapataje ujasiri wa kuisuta yanga wakati wewe unakutana na nyambore? (Nyambore ni wale samaki waliooza kabla awajafika nchi kavu kutoka ziwani)
Unapomfunga mpinzani wa aina iyo alafu unakuja kutamba kwamba uko vizuri inatakiwa upimwe akili yako!
Ugumu wa kucheza na mabingwa ni tofauti na ugumu wa kucheza na Dodoma Jiji wa Angola mlijue hilo,, uku sio mchekea ndio maana ikaitwa ligi ya mabingwa barani afrika sio kombe la shirikisho hili( Shirikisho maana yake unashirikisha Kila kitu ni sawa na kokoro la dagaa linachota Kila kitu ata taka taka litabeba)
Kwaiyo kwa wale wote wanaoibeza yanga wawe na heshima na adabu wanakutana na timu zinazojielewa sio unga unga mwana!

Mambo ya yanga watayamaliza Wana yanga wenyewe sio wale aliowazungumzia bwana Rage!
Teh teh teh
 
Uko sahihi lakin yanga haijajipanga vizuri haina wachezaji shindani nilimuona Prince Dube hamna kitu na akaendelea kucheza kisa dube day, wachezaji hawana nishati ya kutosha mabadiliko ya wachezaji hayakufanyika kwa muda muafaka, (substitution done not at desired time), kwakifupi yanga hamjajipanga munaokoteza wachezaji ambao mnadhani wataleta matokeo, munaongea sana kumbe timu yenu na uongozi ni dhaifu

Similarly in business you have to sale what you customers are going to buy nit what you think there going to buy

Kwenye biashara inatakiwa uuze bidhaa ambayo unayojua wateja watanunua lakini siyo unayo dhani watainunu, mnaokoteza wachezaji ambao mnadgani wataleta matokeo

Vile vile akili zile zile ziluzoshindwa kuleta matokeo mnatumia akili zile zile ili zilete matoke chanya
Ebu tueleze uongozi ni dhaifu kwa hoja zipi? Tunahitaji utuorodheshee hoja zinazoonyesha udhaifu wa uongozi wa yanga alafu tutakujibu,,kueleza tu kiujumla kwamba uongozi wa yanga ni dhaifu utoeleweka,,
Hoja ya kusema yanga Haina wachezaji Wenye ushindani na yenyewe sio hoja ya msingi,,Yanga ndio timu yenye quality ya wachezaji kuliko timu yoyote Ile hapa Tanzania,,ungesema wachezaji wameshuka viwango ningekuelewa na kushuka viwango inachangiwa na mambo mengi ikiwemo fatique,,yanga katumia nguvu kubwa sana kwa misimu 3 iliyopita kujijengea ufalme wake kwaiyo ni kawaida wachezaji kukumbana na hali kama iyo kwa kipindi Fulani lakini aiondoi ubora wao na class waliyonayo!
Kingine utueleze wachezaji waliookotezwa na viwango vyao pia tutakujibu!
 
1000288295.jpg
 
... akuna kutegemea mteremko wa kukutana na zile timu za nyongeza
... Yanga ni bingwa wa Tanzania, Al hilal ni bingwa wa sudani, Mc alger ni bingwa wa Algeria, Tp mazembe ni bingwa wa Kongo,,
Wakati mnasema Al Hilal watakula mkono, yaani goli tano, hamkujua kama wao ni mabingwa? Hamkujua kuwa hakuna mteremko? (ingawa umeandika 'akuna')
 
Ebu tueleze uongozi ni dhaifu kwa hoja zipi? Tunahitaji utuorodheshee hoja zinazoonyesha udhaifu wa uongozi wa yanga alafu tutakujibu,,kueleza tu kiujumla kwamba uongozi wa yanga ni dhaifu utoeleweka,,
Hoja ya kusema yanga Haina wachezaji Wenye ushindani na yenyewe sio hoja ya msingi,,Yanga ndio timu yenye quality ya wachezaji kuliko timu yoyote Ile hapa Tanzania,,ungesema wachezaji wameshuka viwango ningekuelewa na kushuka viwango inachangiwa na mambo mengi ikiwemo fatique,,yanga katumia nguvu kubwa sana kwa misimu 3 iliyopita kujijengea ufalme wake kwaiyo ni kawaida wachezaji kukumbana na hali kama iyo kwa kipindi Fulani lakini aiondoi ubora wao na class waliyonayo!
Kingine utueleze wachezaji waliookotezwa na viwango vyao pia tutakujibu!
1. Wanaokoteza wachezaji
2.wamejikita zaidi kwenye vyombo vya habari badala ya kuimarisha benchi la ufundi, (media)
3. Una badilisha kocha mkuu huku ukijua kuna mchezo muhimu unakuja mbele yako, (expecting results from what you know), changamoto huwa hatuzikimbii inatakiwa tukabiliane nazo

Kocha mpya kawaambia, (waandishi wa habari), wachezaji hawana nishati ya kutosha kucheza dakika 90, je hilo lilikuwa jukumu la nani kama siyo viongozi, viongozi kazi yao ni,(monitoring and evaluation), what are they monitoring and evaluating to achieve negative results

Swali fikirishi kwanini wachezaji hawana nishati ya kutosha, kumbuka mwili wa wachezaji wa yanga ni mwili wa yanga, ni jambo la ajabu kama siyo aibu mchezaji analipwa milioni 35 kwa mwezi halafu eti mwli wake hauna nishati ya kutosha?
 
Naona maoni na masimango yamekuwa mengi sana hasa hasa kutoka umbumbuni baada ya yanga kupoteza dhidi ya Al hilal lakini nawakumbusha tu hili ni kombe la wanaume haswaa sio kombe la washindwa!
Yanga anapambana na mabingwa wa ligi zao sio washindwa walioshika nafasi za tatu na nne kwenye ligi zao!
Hivyo akuna kutegemea mteremko wa kukutana na zile timu za nyongeza kama bravos ama nyingine za aina iyo tuelewane hapo kwa herufi kubwa!
Yanga ni bingwa wa Tanzania, Al hilal ni bingwa wa sudani, Mc alger ni bingwa wa Algeria, Tp mazembe ni bingwa wa Kongo,, kwa maana iyo yanga isifananishwe na taka taka nyingine yoyote Ile kwenye michuano ya kimataifa Wanayoshiriki!
Kombe la washindwa ndio utazikuta timu aina ya Simba na bravos ambaoi hao bravos Awana tofauti na Dodoma Jiji,,,sasa unapataje ujasiri wa kuisuta yanga wakati wewe unakutana na nyambore? (Nyambore ni wale samaki waliooza kabla awajafika nchi kavu kutoka ziwani)
Unapomfunga mpinzani wa aina iyo alafu unakuja kutamba kwamba uko vizuri inatakiwa upimwe akili yako!
Ugumu wa kucheza na mabingwa ni tofauti na ugumu wa kucheza na Dodoma Jiji wa Angola mlijue hilo,, uku sio mchekea ndio maana ikaitwa ligi ya mabingwa barani afrika sio kombe la shirikisho hili( Shirikisho maana yake unashirikisha Kila kitu ni sawa na kokoro la dagaa linachota Kila kitu ata taka taka litabeba)
Kwaiyo kwa wale wote wanaoibeza yanga wawe na heshima na adabu wanakutana na timu zinazojielewa sio unga unga mwana!

Mambo ya yanga watayamaliza Wana yanga wenyewe sio wale aliowazungumzia bwana Rage!
'Looser' ndyo nini?
 
Back
Top Bottom