Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Umesema mwafrica wa kwanza kua waziri? Kabla ya Sunak, kulikua na waziri wa fedha mweusi from either Nigeria or Ghana; juzi tu hapa.
Nawenda Nigerians, hata ukikutana nao nje ya nchini kwao, jamaa wanawavimbiaga hadi wenyeji, they don't fear anybody if they know they are right; halafu wao na Ghanaians ni watu wanapenda sana kusoma soma.
Rishi Sunak sio waziri wa kwanza wa fedha coloured, kabla yake alikuwa huyo jamaa hapo βSajid Javidβ na labour ya Tony Blair ilikuwa na mawaziri weusi kama βDavid Εammyβ na βDiane Abbotβ kwa hivyo Kemi kuwa waziri sio maajabu na kushakuwa na wanasiasa popular wenye asili ya Nigeria kabla yake mfano βChuka Umunnaβ.