Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Teua teua au beua beua?? Hadi miaka mitano inaishaIramba nafasi ipo wazi
Kazi iendelee
Acha wakaimbiane huko hukowananchi ni noma sana, walikua wanasema wakimpelekea kero zao yeye anawaimbia nyimbo za Diamond 🤣 🤣 🤣
2025 WANAAGA MECHI MAPEMANi Wazi sasa hawa Vijana wamechoka. Kenani Kihongosi DC wa Iramba ateuliwa kuwa Katibu Mkuu UVCCM. Yule Msanii aliyekua Arusha wananchi wakamlalamikia
Mkuu Punguza Haraka CCM Ndio imemteua mkuu wa Wilaya ya Iramba, Kenani Kihongosi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) akichukua nafasi ya Raymond Mwangwala na Sio Kwamba Ameteuliwa na Uvccm Hao Uvccm Na Wao Pia Wameletewa Tu Huyo Unaemuita Msanii [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ni Wazi sasa hawa Vijana wamechoka. Kenani Kihongosi DC wa Iramba ateuliwa kuwa Katibu Mkuu UVCCM. Yule Msanii aliyekua Arusha wananchi wakamlalamikia
Ni vile vile tuMkuu Punguza Haraka CCM Ndio imemteua mkuu wa Wilaya ya Iramba, Kenani Kihongosi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) akichukua nafasi ya Raymond Mwangwala na Sio Kwamba Ameteuliwa na Uvccm Hao Uvccm Na Wao Pia Wameletewa Tu Huyo Unaemuita Msanii [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mambo ya kofia mbili😅😅.Mkuu wa wilaya Kenani Kihongosi ateuliwa kuwa katibu mkuu UVCCM
Hakika huyu ni hazina kwa taifa.
View attachment 1826663
Upewe wewe?Mambo ya kofia mbili[emoji28][emoji28].
CCM ni matahira. Kwanini hiyo nafasi asingepewa mtu mwingine?
Sawa joanNikki wa Pili hujaanza kazi umekalia mitandao tu.
Unataka kumkalia ?Nikki wa Pili hujaanza kazi umekalia mitandao tu.
nini kinachokuuma? uvccm mtajuana wenyewe.Teua teua au beua beua?? Hadi miaka mitano inaisha