Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Mataga wapi alionao?Ngoja awafukuze wale Mataga wote halafu tuone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mataga wapi alionao?Ngoja awafukuze wale Mataga wote halafu tuone
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Safi sana! Bavicha sasa wanaongea lugha moja na uvccmMama atakuwa Raisi Bora sana
Sasa kama mumeamua kukaa kwenye Madaraka kwa kuiba uchaguzi unataka mimi nifanyeje.Tuliza kota wewe!
Rais wako si Lisu?
Bora Zimwi tulijualo kuliko Ibilisi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Safi sana! Bavicha sasa wanaongea lugha moja na uvccm
Sasa si nmeona umeungana nasi hapa kumsifia mama kwamba ni rais bora?Sasa kama mumeamua kukaa kwenye Madaraka kwa kuiba uchaguzi unataka mimi nifanyeje.
Tuko pamona kiongozi mi 10 tena kwa mother,Bora Zimwi tulijualo kuliko Ibilisi.
Mkuu naona unaleta hoja amabazo ni chuki na mtu sio hoja iliyo mezanTumetoka kutawaliwa na Dikteta mbaya sana kwahiyo ni kama tumetolewa kwenye moto na kutiwa kwenye friji
Katika kusambaratisha Mataga.Sasa si nmeona umeungana nasi hapa kumsifia mama kwamba ni rais bora?
Amewasamabaratishaje?Katika kusambaratisha Mataga.
Chuki ilipandwa na kumwagiliwa mpaka ikakua sasa tunamuangalia Samia na ameanza vizuriMkuu naona unaleta hoja amabazo ni chuki na mtu sio hoja iliyo mezan
SawaChuki ilipandwa na kumwagiliwa mpaka ikakua sasa tunamuangalia Samia na ameanza vizuri
Kama ujui mambo tulia acha kudandia dandia mada,Ajabu iko wapi Mbona ata Mbowe alipokuwa Mbunge bado alibaki kuwa mwenyekiti wa chadema, halafu akaongezewa cheo kingine kiongozi mkuu wa kambi rasmi ya upinzani, kwahiyo ebu tulia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wananchi ni noma sana, walikua wanasema wakimpelekea kero zao yeye anawaimbia nyimbo za Diamond [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Najua kuwa mbowe alikuwa mbunge kwa tiketi ya chadema kupitia jimbo la Hai, vile vile akabaki kuwa mwenyekiti wa chadema bado, halafu vile vile akawa Kiongozi mkuu wa kambi ya upinzani bungeni, sasa njoo uniambie kipi sikijui?Kama ujui mambo tulia acha kudandia dandia mada,